johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,785
- 141,674
Najaribu tu kutafakari kama CCM wana uvumilivu wa kifipa linapokuja swala la utovu wa nidhamu kwa wabunge wao
Pamoja na ukweli kwamba Chadema walijua wakiwafukuza akina Kubenea na Komu majimbo yale yataenda CCM, lakini bado Chadema ni chama cha kubembelezana sana.
Maendeleo hayana vyama!
Pamoja na ukweli kwamba Chadema walijua wakiwafukuza akina Kubenea na Komu majimbo yale yataenda CCM, lakini bado Chadema ni chama cha kubembelezana sana.
Maendeleo hayana vyama!