Milanzi2018
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 388
- 381
Mrema aliwahi kuwa Mbunge wa TemekeHuyu jamaa si ni mzanzibar, inakuwa je agombee ubunge huku bara
Mrema aliwahi kuwa Mbunge wa TemekeHuyu jamaa si ni mzanzibar, inakuwa je agombee ubunge huku bara
Kwa hiyo John mnyika anaweza kuwa Rais wa zanzibarMrema aliwahi kuwa Mbunge wa Temeke
Temeke ni tanganyika hakuwahi kuvuka maji, kuwabunge wa kibanda maiti..!Ukihoji hivyo usisahau kuhoji kwanini mrema alikuwa mbunge wa Temeke
Hapa chedema mumechemka vibaya mno..!Huyo hakuna haja ya kuweka kipingamizi wala kwenda mahakamani,dawa ni "kumsurubu" tu kwenye ballot box ili kuweka na record sawa
Ukiwa na kisogo hata haki ya kupiga kura Zanzibar huna iweje leo waje kutujazia nzi huku?View attachment 680710.
Kanyaga kibanda maiti uone moto wake..!Mwanakwerekwe
Kojani
Fuoni
Mudhamil.. natumai upo Zenj hebu nambie hakuna Wazanzbr wenye asili ya Tanganyika walio zanzibr walio na uwezo hata wa kuwa makatibu wakuu katika wizara za huko!? Mie namfahamu Marehemu Mzee Mwakanjuki. Na Mzee Mwakyembe. Aliyekuwa mawasiliano na Uchukuzi hebu nitajie wengine unao wafahamu wewe!Tatizo lenu nyny watanganyika kila kitu mnadhani ni udini wakati katiba inaeleza kila kitu sas iyo hoja ya ukristo kaileta nan apa ?
Getrusa.... Labda tu nikwambia kuwa hata ukaishi Znz miaka elfu 1000 kama sio mzanzibar huwezi kupata kitambulisho za ukaazi cha Zanzibar ambacho icho ndo kinakupatia fursa ya kuajiriwa kama mzanzibar maaana unapokwenda kuomba ajira popote ktk eneo la znz kitambulisho cha ukaazi cha Znz ni moja wapo ya sharti unalokutana nalo na ujue kila mzanzibar anahaki uko bara kama mntanzania ndio maana ukaona wanamiliki ardhi Tz popote anapotaka coz hata kitambulisho cha taifa cha Tanzania yeye anacho ambacho ww kama mtanzania cha uzanzibar huna ila mzanzibari cha Tz anachoMudhamil.. natumai upo Zenj hebu nambie hakuna Wazanzbr wenye asili ya Tanganyika walio zanzibr walio na uwezo hata wa kuwa makatibu wakuu katika wizara za huko!? Mie namfahamu Marehemu Mzee Mwakanjuki. Na Mzee Mwakyembe. Aliyekuwa mawasiliano na Uchukuzi hebu nitajie wengine unao wafahamu wewe!
kisha tuzungumze suala la ubaguzi..!
Usisahau mnapodai masuala ya haki sawa kwenye Muungano kuna watu kutoka Unguja wanamiliki hekta za mashamba kule Mpanda katavi, kigoma wana mashamba ya viazi Mbeya! Wanalima Mpunga Morogoro wanamiliki majengo Dare salaam.!
Hawa watanganyika hawajaanza bado kudai usawa wa huo Muungano.!
hawajadai bendera yao wimbo wao Rais wao Katiba yao.! Nk..
si kuwa hawana akili ila ni wastaarabu, wakarimu na wapole kiasili.!
endapo kuna ubaguzi bayana namna hiyo kwa maelezo yako je wanajisikiaje dada na kaka zetu wanaoshi zanzibar na kujiona wao ni wananchi wa Daraja la pili (watwana) wakati ninyi ni mabwana?