CHADEMA walivyorejesha fomu za ubunge Kinondoni kwa mbwembwe

..kweli.

..lakini tunaye Hussein Mwinyi aliwahi kuwa mbunge Mkuranga.

..sasa hivi Mh.Mwinyi ni mbunge huko Zanzibar.

..ndugu zetu wa Zanzibar wana "dual citizenship" wana haki za Uzanzibari na haki za Utanzania sisi waTanganyika hatuna.
Tanzania hatuna kitu kinachoitwa dual citizenship, ukiwa bara na visiwani wewe ni mtanzania tuu
 
Ulitakiwa uanze na akina husseni mwinyi na mzee mwinyi

Samia suluhu na Ghalib Bilani

Wanafanya nini huku bara?

Wale wabunge wa zanzibari pale dodoma wanafata nini? Mbona hatumuoni makamba au nape ndani ya bunge la zanzibar watuwakilishe na kututetea watanganyika
Kuna majimbo yao huko zanzibar ya bunge la jamhuri na la baraza la wawakilishi, sasa mzenji huku bara hatakiwi kugombea kwenye nafasi ya ubunge,
 
Kuna majimbo yao huko zanzibar ya bunge la jamhuri na la baraza la wawakilishi, sasa mzenji huku bara hatakiwi kugombea kwenye nafasi ya ubunge,

Watu wenye akili fupi hufikiria kitu......bila context

Watu wenye akili ndefu hufikiria kitu... Na context

Maana halisi hao wote hawahitaji kitu jimbo isipokuwa ndani ya jimbo wanaoongozwa na kusimamiwa ni Wazanzibar na wantanganyika

Dhana sahihi ni wanawakilisha watu gani.

Huenda wewe huuwi binadamu ila unakula nyama ya binadamu unapoletewa na wauwaji......kimantiki wewe pia nimuuji na utahukumiwa sawa na wauwaji.

Uwe unaongoza jimbo, Taifa, wizara, wilaya au kijiji kwapamoja mnawaongoza watu walele (watanganyika na wazanzibari)
 
Tofautisha kati ya mzanzibar na mtanganyika ndo hoja yangu ilipo

Tofauti yao kuu

Niwazanzibari kupewa uhuru kupitia katiba ya ccm

1. Kuwa na bendera yao

2. Katiba yao

3. Bunge lao

Nk

Lakini pia wanauhalali wa kuitumia katiba ya Tanzania, bunge la Tanzania, bendera ya Tanzania nk na hapa ndipo panawapa uhalali akina mwinyi, karume, mwalim Suluhu, Ghalib bilal nk kuja kututawala huku. Watanganyika hutawaona wakienda kisiasa kuwatawala wazanzibar kule wete, chakechake, mivinjeni wala kojani unless nipolisi au mjesshi
 
Ndo hapo hata mimi nashindwa kuelewa,hivi Mtanganyika anaweza kwenda kugombea Ubunge Zanzibar?
Uko sahihi ndugu nadhani tuna shida kwenye Muungano ambazo kwa wananchi wa kawaida ni kero sana!
nimekaa Zanzibar miaka 7.
maisha ya watu wanaotoka bara sio rafiki sana kama ya wale wanaotoka Zanzibar wanavyoishi huku Bara.!
hasa ikifika wakati wa ramadhani ni tatizo kubwa kuna chembechembe za kibaguzi za wazi wazi.
Mfano..
1: uchumi..
Mtanzania anayetoka bara kwenda kuishi Zanzibar atakutana na changamoto kadhaa za manunuzi..hata kodi tu ya chumba yamkini kwake ikawa kubwa kisa (mbongo) yapo mengine lakini hili nimeliongelea katika mazingira ya kawaida.. nenda kiembe samaki, mbweni, kwa mchina, ama fuoni..!

2: Kijamii.
Japo tuna muingiliano kati ya jamii za bara na pwani lakini kwa watu watokao bara wanahesabika kama watu wa daraja la pili katika maeneo mengi ya Zanzibar.! hasa wanyamwezi na wasukuma walioko maeneo ya kati ya visiwa hivyo mfano maeneo ya Donge.!
hata ukienda Jambiani na baadhi ya maeneo ya kati..

4: Kisiasa.
kuna tatizo la kiuongozi kisiasa zanzibar kati ya watu wa Asili ya bara na Wazanzibar.!
kuna watu kutoka bara wengi walioshi Zanzibar kwa miaka nenda rudi lakini katika uongozi wa kisiasa majina ya Wabongo hawa ni ngumu sana kuyapata je hawana uwezo.?
Zaidi ya Marehemu Mwakanjuki.. na Mzee Mwakyembe.! Sio rahisi tena kupata jina la mtu anayetoka bara katika wadhifa fulani wa kisiasa.!
Huenda aliyebakia ni Mzee Sylivesta Mabumba.! Balozi Nchini Commoro kwa sasa! Lakini nae ukimuuliza machungu aliyopitia katika maisha yake ya kawaida. Ni siri yake!

5: Nafasi za kazi serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
hii pia ni changamoto ya wazi kabisa mwenye macho haambiwi tazama.
kuna watu kutoka Bara ama wenye asili ya Bara wangapi walioshika nafasi za juu katika serikali ya mapinduzi ya zanzibar..! Anzia wizara ya Fedha nenda Afya nenda Elimu ukiweza pitia na Wizara nyingine jibu liko wazi zaidi ya yule Dada pale wizara ya Elimu uhasibu sijui kama kuna wengine.
(ntakuwa tayari kukosolewa katika hili) kama siko sahihi.
swali je hakuna watu wenye asili ya bara walio na uwezo wa kuwa watendaji serikalini katika nafasi zisizo za kisiasa?

6: kidini.
kuna changamoto za kidini.
japo ni kweli naomba kukiri kuwa baadhi ya waanzishaji wa madhehebu hasa ya kikristo zanzibar ni kero na wanachangia kwa kiasi kikubwa umomonyoaji wa maadili..
lakini upande wa pili wa shilingi jambo hili ni kikwazo kwa watu wengi wasio kuwa waislam zanzibar!

7:Umiliki wa ardhi.
sheria za umiliki wa ardhi zanzibar sio rafiki sana ukilinganisha na hizi za bara katika hili wenye ujuzi nalo ni kama wapo wanaweza kulifafanua zaidi. Sina hakika ila najua kuna malalamiko sana kwa wananchi hasa watokao upande wa bara.

Mwisho:
hii ni Nchi yetu sote sisi sote ni raia wa Tanzania ni rai yangu kuwa endapo kuna changamoto zozote ambazo zinaweza kuondolewa basi ni vema zitatuliwe kwa faida ya Wananchi wote
Mungu Ibariki Tanzania.
 
Uko sahihi ndugu nadhani tuna shida kwenye Muungano ambazo kwa wananchi wa kawaida ni kero sana!
nimekaa Zanzibar miaka 7.
maisha ya watu wanaotoka bara sio rafiki sana kama ya wale wanaotoka Zanzibar wanavyoishi huku Bara.!
hasa ikifika wakati wa ramadhani ni tatizo kubwa kuna chembechembe za kibaguzi za wazi wazi.
Mfano..
1: uchumi..
Mtanzania anayetoka bara kwenda kuishi Zanzibar atakutana na changamoto kadhaa za manunuzi..hata kodi tu ya chumba yamkini kwake ikawa kubwa kisa (mbongo) yapo mengine lakini hili nimeliongelea katika mazingira ya kawaida.. nenda kiembe samaki, mbweni, kwa mchina, ama fuoni..!

2: Kijamii.
Japo tuna muingiliano kati ya jamii za bara na pwani lakini kwa watu watokao bara wanahesabika kama watu wa daraja la pili katika maeneo mengi ya Zanzibar.! hasa wanyamwezi na wasukuma walioko maeneo ya kati ya visiwa hivyo mfano maeneo ya Donge.!
hata ukienda Jambiani na baadhi ya maeneo ya kati..

4: Kisiasa.
kuna tatizo la kiuongozi kisiasa zanzibar kati ya watu wa Asili ya bara na Wazanzibar.!
kuna watu kutoka bara wengi walioshi Zanzibar kwa miaka nenda rudi lakini katika uongozi wa kisiasa majina ya Wabongo hawa ni ngumu sana kuyapata je hawana uwezo.?
Zaidi ya Marehemu Mwakanjuki.. na Mzee Mwakyembe.! Sio rahisi tena kupata jina la mtu anayetoka bara katika wadhifa fulani wa kisiasa.!
Huenda aliyebakia ni Mzee Sylivesta Mabumba.! Balozi Nchini Commoro kwa sasa! Lakini nae ukimuuliza machungu aliyopitia katika maisha yake ya kawaida. Ni siri yake!

5: Nafasi za kazi serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
hii pia ni changamoto ya wazi kabisa mwenye macho haambiwi tazama.
kuna watu kutoka Bara ama wenye asili ya Bara wangapi walioshika nafasi za juu katika serikali ya mapinduzi ya zanzibar..! Anzia wizara ya Fedha nenda Afya nenda Elimu ukiweza pitia na Wizara nyingine jibu liko wazi zaidi ya yule Dada pale wizara ya Elimu uhasibu sijui kama kuna wengine.
(ntakuwa tayari kukosolewa katika hili) kama siko sahihi.
swali je hakuna watu wenye asili ya bara walio na uwezo wa kuwa watendaji serikalini katika nafasi zisizo za kisiasa?

6: kidini.
kuna changamoto za kidini.
japo ni kweli naomba kukiri kuwa baadhi ya waanzishaji wa madhehebu hasa ya kikristo zanzibar ni kero na wanachangia kwa kiasi kikubwa umomonyoaji wa maadili..
lakini upande wa pili wa shilingi jambo hili ni kikwazo kwa watu wengi wasio kuwa waislam zanzibar!

7:Umiliki wa ardhi.
sheria za umiliki wa ardhi zanzibar sio rafiki sana ukilinganisha na hizi za bara katika hili wenye ujuzi nalo ni kama wapo wanaweza kulifafanua zaidi. Sina hakika ila najua kuna malalamiko sana kwa wananchi hasa watokao upande wa bara.

Mwisho:
hii ni Nchi yetu sote sisi sote ni raia wa Tanzania ni rai yangu kuwa endapo kuna changamoto zozote ambazo zinaweza kuondolewa basi ni vema zitatuliwe kwa faida ya Wananchi wote
Mungu Ibariki Tanzania.
Uko sahihi ndugu nadhani tuna shida kwenye Muungano ambazo kwa wananchi wa kawaida ni kero sana!
nimekaa Zanzibar miaka 7.
maisha ya watu wanaotoka bara sio rafiki sana kama ya wale wanaotoka Zanzibar wanavyoishi huku Bara.!
hasa ikifika wakati wa ramadhani ni tatizo kubwa kuna chembechembe za kibaguzi za wazi wazi.
Mfano..
1: uchumi..
Mtanzania anayetoka bara kwenda kuishi Zanzibar atakutana na changamoto kadhaa za manunuzi..hata kodi tu ya chumba yamkini kwake ikawa kubwa kisa (mbongo) yapo mengine lakini hili nimeliongelea katika mazingira ya kawaida.. nenda kiembe samaki, mbweni, kwa mchina, ama fuoni..!

2: Kijamii.
Japo tuna muingiliano kati ya jamii za bara na pwani lakini kwa watu watokao bara wanahesabika kama watu wa daraja la pili katika maeneo mengi ya Zanzibar.! hasa wanyamwezi na wasukuma walioko maeneo ya kati ya visiwa hivyo mfano maeneo ya Donge.!
hata ukienda Jambiani na baadhi ya maeneo ya kati..

4: Kisiasa.
kuna tatizo la kiuongozi kisiasa zanzibar kati ya watu wa Asili ya bara na Wazanzibar.!
kuna watu kutoka bara wengi walioshi Zanzibar kwa miaka nenda rudi lakini katika uongozi wa kisiasa majina ya Wabongo hawa ni ngumu sana kuyapata je hawana uwezo.?
Zaidi ya Marehemu Mwakanjuki.. na Mzee Mwakyembe.! Sio rahisi tena kupata jina la mtu anayetoka bara katika wadhifa fulani wa kisiasa.!
Huenda aliyebakia ni Mzee Sylivesta Mabumba.! Balozi Nchini Commoro kwa sasa! Lakini nae ukimuuliza machungu aliyopitia katika maisha yake ya kawaida. Ni siri yake!

5: Nafasi za kazi serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
hii pia ni changamoto ya wazi kabisa mwenye macho haambiwi tazama.
kuna watu kutoka Bara ama wenye asili ya Bara wangapi walioshika nafasi za juu katika serikali ya mapinduzi ya zanzibar..! Anzia wizara ya Fedha nenda Afya nenda Elimu ukiweza pitia na Wizara nyingine jibu liko wazi zaidi ya yule Dada pale wizara ya Elimu uhasibu sijui kama kuna wengine.
(ntakuwa tayari kukosolewa katika hili) kama siko sahihi.
swali je hakuna watu wenye asili ya bara walio na uwezo wa kuwa watendaji serikalini katika nafasi zisizo za kisiasa?

6: kidini.
kuna changamoto za kidini.
japo ni kweli naomba kukiri kuwa baadhi ya waanzishaji wa madhehebu hasa ya kikristo zanzibar ni kero na wanachangia kwa kiasi kikubwa umomonyoaji wa maadili..
lakini upande wa pili wa shilingi jambo hili ni kikwazo kwa watu wengi wasio kuwa waislam zanzibar!

7:Umiliki wa ardhi.
sheria za umiliki wa ardhi zanzibar sio rafiki sana ukilinganisha na hizi za bara katika hili wenye ujuzi nalo ni kama wapo wanaweza kulifafanua zaidi. Sina hakika ila najua kuna malalamiko sana kwa wananchi hasa watokao upande wa bara.

Mwisho:
hii ni Nchi yetu sote sisi sote ni raia wa Tanzania ni rai yangu kuwa endapo kuna changamoto zozote ambazo zinaweza kuondolewa basi ni vema zitatuliwe kwa faida ya Wananchi wote
Mungu Ibariki Tanzania.
Hoja yako namba 5 ni kwamba katiba ya Zanzibar hairuhusu watanganyika kuajiriwa ktk serekali ya Mapinduzi ya Znz labda kwenye ofice za muungano
Na hoja yako namba 7 pia ni vile vile katiba ya Znz hairuhusu mtanganyika kumiliki ardhi ndani ya Znz
 
Hoja yako namba 5 ni kwamba katiba ya Zanzibar hairuhusu watanganyika kuajiriwa ktk serekali ya Mapinduzi ya Znz labda kwenye ofice za muungano
Na hoja yako namba 7 pia ni vile vile katiba ya Znz hairuhusu mtanganyika kumiliki ardhi ndani ya Znz
Mtanganyika ni yupi?
Kuna watu wamezaliwa Zanzibar wamesoma Zanzibar na wanaishi Zanzibar! hawa pia hawana haki ya kuajiriwa Zanzibar? Huenda hoja mficho ikawa majina yao ya kikristo. Zaidi ya huo Uzanzibar..
hata hivyo..
ahsante kwa kunijuza pale juu nilikuwa sijui kama ni kwa mujibu wa katiba
 
Mtanganyika ni yupi?
Kuna watu wamezaliwa Zanzibar wamesoma Zanzibar na wanaishi Zanzibar! hawa pia hawana haki ya kuajiriwa Zanzibar? Huenda hoja mficho ikawa majina yao ya kikristo. Zaidi ya huo Uzanzibar..
hata hivyo..
ahsante kwa kunijuza pale juu nilikuwa sijui kama ni kwa mujibu wa katiba
Tatizo lenu nyny watanganyika kila kitu mnadhani ni udini wakati katiba inaeleza kila kitu sas iyo hoja ya ukristo kaileta nan apa ?
 
Back
Top Bottom