Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Bashe ni Mtanzania?Ndo hapo hata mimi nashindwa kuelewa,hivi Mtanganyika anaweza kwenda kugombea Ubunge Zanzibar?
Bashe ni Mtanzania?Ndo hapo hata mimi nashindwa kuelewa,hivi Mtanganyika anaweza kwenda kugombea Ubunge Zanzibar?
Bashe Nzega, Jituson Babati vijijini.sisi wote ndugu
- Hassan Nassoro Moyo-Songea Ruvuma
- Omary Ramadhan Mapuri-Geita karibu na Chato
Kumbuka na huseni mwinyi alishakuwaga mbunge bars miaka kibao tuHuyu jamaa si ni mzanzibar, inakuwa je agombee ubunge huku bara
Mkuu siku zote nimekua nikiamini wewe Ni akili kubwa, lakini kwa komenti hii unanipa mashaka makubwaMakame Mbarawa ni kabila gani ?
Kwani Zanzibar ni Kenya?!Huyu jamaa si ni mzanzibar, inakuwa je agombee ubunge huku bara
Makame Mbarawa ni kabila gani ?
Ananishawishi nikapige kura japo nilishaweka maamuzi magumu ya kutopiga kura tenaMwalimu yuko vizuri atawasumbua sana wagombea wengine.Utakuwa uchaguzi mtamu
Nyingine hii ili mashaka yako yaongezeke zaidi , Husein Mwinyi kwao wapi ?Mkuu siku zote nimekua nikiamini wewe Ni akili kubwa, lakini kwa komenti hii unanipa mashaka makubwa
Huyo ni Mtanzania mzanzibari,kwani sheria inamzui au,,unashangaa usichokijuaNdo hapo hata mimi nashindwa kuelewa,hivi Mtanganyika anaweza kwenda kugombea Ubunge Zanzibar?
Unamfahamu mbunge wa zamani wa Mkuranga aitwaye Hussein Mwinyi ambaye sasa ni mbunge kutokea Zanzibar ?Hilo siyo jibu, Makame hana jimbo lolote bara.
Hoja ni kwamba kinahogombewa ni ubunge wa Jamhuri na si wa Baraza la wawakilishi la Zanzibar.
thubutuUshindi mapema tu!!!!!
Hivi mwinyi si mzanzibar ikikuwaje akagombea urais wa tanzania??Huyu jamaa si ni mzanzibar, inakuwa je agombee ubunge huku bara
Wamepanic huko walipo hawaamini kilichotokea..Nyingine hii ili mashaka yako yaongezeke zaidi , Husein Mwinyi kwao wapi ?
Unamfahamu mbunge wa zamani wa Mkuranga aitwaye Hussein Mwinyi ambaye sasa ni mbunge kutokea Zanzibar ?
Anatokea huko ungujaMakame Mbarawa ni kabila gani ?