Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.
Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.
Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
- Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
- Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
- Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.