Chadema walivyokipigia magoti hadi kesi ya uchaguzi Kawe ikafutwa

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.

Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
  1. Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
  2. Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
  3. Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Wakawapiga changa la macho kabisa pale walipowaambia NCCR kwamba ushirikiano hautaishia hapo na kwamba suala la kuwashirikisha katika kambi rasmi ya upinzani bungeni linaweza kuzumzika baadaye. Kwa nini baadaye?

Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.
 
Thatha, jidediketie wimbo wa majungu
Majungu sio mtaji useme ufanye utajirike,
Ikiwa unaona elimu ni ghali, basi jaribu...
 
NCCR wanavyopenda sifa, wamepima upepo wakaona hawataambulia kiru. bora kumaliza mapema kabisa
 
Inasemekana CHADEMA wameingia mkenge wa kumpigia kura Mbatia awe mbunge wa bunge la Afrika Mashariki; ccm pia wamemuahidi hivyo kama malipo ya usaliti wake kwa vyama vya upinzani!!
 
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.

Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
  1. Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
  2. Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
  3. Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Wakawapiga changa la macho kabisa pale walipowaambia NCCR kwamba ushirikiano hautaishia hapo na kwamba suala la kuwashirikisha katika kambi rasmi ya upinzani bungeni linaweza kuzumzika baadaye. Kwa nini baadaye?

Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.
We sasa unashauri nini?
Kila siku tunashauriana hapa kumaliza migogoro kwenye vyama, wewe unaonyesha kutofurahia hilo!
Ubebwe na mbeleko gani?...huh!
 
NCCR mageuzi na CHADEMA wote ni wale wale..... kaskazini! uchagaism nao umechangia! hata hivyo sawa bana bora yameisha na fedha za walipa kodi zimenusurika kama wanavyotudanganya.
 
We sasa unashauri nini?
Kila siku tunashauriana hapa kumaliza migogoro kwenye vyama, wewe unaonyesha kutofurahia hilo!
Ubebwe na mbeleko gani?...huh!
Mimi nashauri hivi:
-Walioshitakiana( Mbatia na Mdee) wakutanishwe. Wapeane mikono( na busu kidogo na chai).
-KUB Mbowe afumue Cabinet yake kivuli kuwaingiza Wabunge wa NCCR-M.
-NCCR wasameheane wao kwa wao pia. Kafulila afute kesi na Halmashauri ya NCCR imsamehe.
-CHADEMA iwasamehe MADIWANI wake wa Arusha.
-Jimbo la Sumari waunganishe nguvu kule AruMeru.
-KATIBA MPYA waunganishe nguvu Bungeni na nje ya Bunge.
Nawatakia kila kheri kwa masuala yote yenye MASLAHI kwa WATANZANIA na TAIFA.
 
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.

Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
  1. Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
  2. Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
  3. Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Wakawapiga changa la macho kabisa pale walipowaambia NCCR kwamba ushirikiano hautaishia hapo na kwamba suala la kuwashirikisha katika kambi rasmi ya upinzani bungeni linaweza kuzumzika baadaye. Kwa nini baadaye?

Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.

Umekaa kishankupe shankupe sana.......
 
nachofahamu ni kesi alioifungua Mbatia kuhusu kushutumiwa na Halima Mdee kwamba amepokea Bil.Moja ili aje kuzigawa kura za chadema na Ccm kawe..sasa mimi ni mkazi wa kawe unaposema mbatia angeshinda na matokeo yangebadilishwa hata sikuelewi..

Sidhani kama unajua kwamba Halima ni mwanasheria wa serikali mahakama kuu..
 
huu muungano hautadumu mana lengo la cdm ni kufutiwa kesi na lengo la mbatia ni kupigiwa kura ubunge wa afrika mashariki.hayo malengo yakitimia na muungano unavunjika.
 
Mimi nashauri hivi:
-Walioshitakiana( Mbatia na Mdee) wakutanishwe. Wapeane mikono( na busu kidogo na chai).
-KUB Mbowe afumue Cabinet yake kivuli kuwaingiza Wabunge wa NCCR-M.
-NCCR wasameheane wao kwa wao pia. Kafulila afute kesi na Halmashauri ya NCCR imsamehe.
-CHADEMA iwasamehe MADIWANI wake wa Arusha.
-Jimbo la Sumari waunganishe nguvu kule AruMeru.
-KATIBA MPYA waunganishe nguvu Bungeni na nje ya Bunge.
Nawatakia kila kheri kwa masuala yote yenye MASLAHI kwa WATANZANIA na TAIFA.

mambo yashaisha jamani tujadili issue zingine!!!!!!!!khraaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Inasemekana CHADEMA wameingia mkenge wa kumpigia kura Mbatia awe mbunge wa bunge la Afrika Mashariki; ccm pia wamemuahidi hivyo kama malipo ya usaliti wake kwa vyama vya upinzani!!

Kwani Mbatia akipata ubunge wa afrika mashariki kuna kosa gani? na hapo chadema watakuwa wameingia mkenge gani fikiria kabla ya kusema halafu kumbuka chadema ina wasomi waliobobea. Chadema kwanza ndio wameshinda kwasababu lengo la ccm ilikuwa kutengua matokeo ya jimbo la kawe ili waweze kulichukua. Lakini chama makini likaliona hilo na kuwahi sasa hapo nani mwerevu. chadema, ccm au nccr.
 
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.

Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
  1. Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
  2. Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
  3. Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Wakawapiga changa la macho kabisa pale walipowaambia NCCR kwamba ushirikiano hautaishia hapo na kwamba suala la kuwashirikisha katika kambi rasmi ya upinzani bungeni linaweza kuzumzika baadaye. Kwa nini baadaye?

Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.


Jamaa ni vigeu geu sana; ngoja 2015 Mbatia atakapodai asimamishwe kama mgombea wa kuiwakilisha ndoa hii ktk jimbo la kawe; Ikija ishu ya kuachiana majimbo ndoa hii itaingia kaburini kifo cha mende
 
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.

Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
  1. Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
  2. Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
  3. Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Wakawapiga changa la macho kabisa pale walipowaambia NCCR kwamba ushirikiano hautaishia hapo na kwamba suala la kuwashirikisha katika kambi rasmi ya upinzani bungeni linaweza kuzumzika baadaye. Kwa nini baadaye?

Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.

ungekata rufaa wewe na chama chako kwanini utume chama kingine?
 
Kumbe kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kubatilishwa kwa matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Kawe ambapo Halima Mdee alishinda, ila Chadema wakalazimika kukipigia magoti Chama cha NCCR.

Hizi sababu zilizotolewa na SLAA zinadhihirisha wazi kwamba walipiga magoti:
  1. Eti Lengo siyo wapinzani kupingana, bali kupinga Chama tawala:
  2. Eti kesi hiyo haikuwa na maslahi kwa pande zote mbili yaani CDM na NCCR
  3. Eti wamehurumia fedha za walipa kodi endapo uchaguzi ungerudiwa.
Wakawapiga changa la macho kabisa pale walipowaambia NCCR kwamba ushirikiano hautaishia hapo na kwamba suala la kuwashirikisha katika kambi rasmi ya upinzani bungeni linaweza kuzumzika baadaye. Kwa nini baadaye?

Mimi ningeshauri maamuzi ya kesi za kisiasa yawe yanaamuliwa na mahakama kutoa adhabu upande wenye makosa hata kama kuna maridhiano baina ya pande mbili kwani wanasiasa watafanya kama mazoea kwa vile watakuwa wanafanya rafu wakati wa uchaguzi ili baadaye wakafanya kama ilivyotokea Kawe.

kweli wewe ni thatha
 
Back
Top Bottom