CHADEMA Walitumia bilioni 1.3 Uchaguzi wa rais 2010

zitto tutakupa ulinzi huyo mbowe na genge lake walimwondoa wangwe shauri ya kupinga mbowe kuchota mapesa. jihadhari kaka hao wakaskazini ni wabinafsi.

wanapeana mshahara 15 milioni na kuuzia chama mitumba

Hata wewe umeingia kwenye mtego wa ubaguzi !.
 
Unajichosha bure jari familia yako kwanza achana na ya Mbowe na Slaa.

na wewe unajichosha bure au umelipwa. watanzania sio wajinga tena

milioni 15 katibu wa chama za nini kama sio kumlainisha afumbie macho ujambazo wa kaka yenu mbowe.

mbowe ni fisadi miaka na miaka. mnampa shamba la bibi atunze

kwa wangwe alijifanya anakopesha chama pesa kisha anadai pesa baadaye.

sasa anajifanya anatoa magari kama msaada kisha anauzia chama magari hayo hayo.

fisadi ni fisadi hamtaingia ikulu nyie
 
Nina Taarifa za Kiinteljinsia kuwa Mkurugenzi wa TBC, Analipwa sh milion 15, kutoka kwenye kodi zetu, Je Kati ya hao ni nani anaifilisi Nchi? Jamani Tujadili masuala yanayohusu anayemiliki Kodi Zetu na kuzitumia na si wanaojitahidi Kupiga kelele ili zisiporwe Kabisa!! Nawasilisha
 
ni kweli jamaa ana haki ya kukiuzia chama hayo magari ila mie nadhani democrasia ingetendeka ikiwezekana hata kura ipigwe!
Unataka kura gani tena ipigwe wakati kikao cha kamati kuu kimeamua, elewa si kila kitu lazima kipigiwe kura ndipo uone demokrasia imetendeka.
 
na wewe unajichosha bure au umelipwa. watanzania sio wajinga tena

milioni 15 katibu wa chama za nini kama sio kumlainisha afumbie macho ujambazo wa kaka yenu mbowe.

mbowe ni fisadi miaka na miaka. mnampa shamba la bibi atunze

kwa wangwe alijifanya anakopesha chama pesa kisha anadai pesa baadaye.

sasa anajifanya anatoa magari kama msaada kisha anauzia chama magari hayo hayo.

fisadi ni fisadi hamtaingia ikulu nyie
Unachoka bure tena kwa kutaja taja mambo ya wangwe kwa akili yako unafikiri unaweza kuziba ridhiki ya mtu?
 
na wewe unajichosha bure au umelipwa. watanzania sio wajinga tena

milioni 15 katibu wa chama za nini kama sio kumlainisha afumbie macho ujambazo wa kaka yenu mbowe.

mbowe ni fisadi miaka na miaka. mnampa shamba la bibi atunze

kwa wangwe alijifanya anakopesha chama pesa kisha anadai pesa baadaye.

sasa anajifanya anatoa magari kama msaada kisha anauzia chama magari hayo hayo.

fisadi ni fisadi hamtaingia ikulu nyie

Eti ndio maelekezo ya Mukama haya wa chama cha misukule (ccm ) kwamba makuwadi wao wapambane na wapenda mabadiliko kwenye social network, sasa kama kupambana kwenyewe ndio huku basi mmeshaferi kabla hamjaanza. CCM ndio chama pekee duniani wakikwambia twende kulia, wewe nenda kushoto basi utawakuta wote wapo huko.
 
tusipoteze muda tumejua kilichofanyika shebu sasa twende upande wa chama cha magamba...................aka....mafisadi na wafilisi wa nchi yetu iliyofikishwa hapa na kikwete na ccm
 
Magari ya mitumba yaitikisa CHADEMA

Leon Bahati

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kwamba suala la ununuzi wa magari yaliyotumika lilizua mjadala kwenye kikao chake cha Kamati Kuu kilichomalizika Jumatatu wiki hii.

Maelezo ya mvutano huo yalitolewa jana na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari baada ya gazeti hili toleo la Jumatatu kuandika juu ya suala hilo.

Hata hivyo, Dk Slaa alisisitiza kuwa mvutano huo ulikuwa wa kawaida hasa ikizingatiwa kuwa ni suala ambalo haliepukiki penye mjadala wa watu wengi akisisitiza kwamba demokrasia ndiyo iliyoamua.

Gazeti hili liliripoti kuwa mkutano huo ulitokana na baadhi ya wajumbe kupinga na wengine kuunga mkono suala la ununuzi wa magari yaliyotumika yenye thamani ya Sh480 milioni.

Baadhi ya waliokuwa wanapinga mkakati huo walisema kuwa ulikuwa unalenga kumnufaisha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe ambaye alikuwa achukue nafasi hiyo kukiuzia chama magari ambayo tayari ameyatumia.

Miongoni mwa wajumbe wa Baraza hilo, Profesa Mwesiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo walinukuliwa wakisema kwamba isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kufanya ufisadi kwa kununua magari chakavu wakati wamekuwa wakiibana serikali.

Akitoa ufafanuzi huo jana, Dk Slaa alisema msuguano huo ulikuwa ni wa kawaida na ulikuwa sehemu ya kuwezesha demokrasia kuchukua mkondo wake. Alikiri kuwa kwenye mchakato huo, Mbowe ana magari matatu ambayo chama kinataka kuyanunua.

Alisema hoja hiyo ilimalizika kwa Baraza kuamua kuwa Mbowe aendelee kushawishiwa ili akubali kukiuzia chama magari hayo. Alielezea kuwa magari hayo aliyanunua na yakaanza kutumiwa na chama kwenye kampeni za uchaguzi uliopita.

"Magari hayo Mheshimiwa Mbowe aliyanunua kwa ajili ya biashara zake lakini kwa kuwa chama kilikuwa katika matatizo ya usafiri, akakubali kuyatoa yakisaidie ili baadaye tumrejeshee," alisema Dk Slaa na kuongeza kuwa magari mawili yanaendelea kutumiwa na chama hivyo ni vyema wayanunue.

Kuhusu chama hicho kununua vitu vilivyotumika wakati kimekuwa kikiipinga vikali serikali kutumia vitu vilivyotumika, Dk Slaa alisema njia inayotumiwa na Chadema iko wazi zaidi ukilinganisha na ile ya serikali.

Alidai kuwa kwenye michakato ya ununuzi serikalini kuna mazingira mengi yanayoruhusu ufisadi hasa katika kujadili bei lakini suala la kununua magari ya Mbowe, suala kama hilo haliwezi kupata nafasi.

Mshahara wa Dk Slaa

Katika hatua nyingine, Mbowe alisema kuwa chama hicho kimeamua kumlipa Dk Slaa mshahara na maslahi yanayolingana na anayopata mbunge.

Alisema hiyo ni kwa sababu chama hicho ndicho kilichokuwa kimemshawishi aache kugombea ubunge katika Jimbo la Karatu, Arusha ambako alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda na kumtaka agombee urais ambao mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete alitangazwa kuwa mshindi.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mbowe alisema uamuzi huo ulifuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na vikao vikuu vya chama hicho, kama vile Kamati Kuu na kisha kuidhinisha malipo hayo.

"Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Dk Slaa hakuomba nafasi ya kugombea uraisi, aliombwa. Tunajua alikuwa mbunge na alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda tena nafasi hiyo, lakini akakubali ombi la chama," alisema Mbowe na kuongeza: "Hii siyo mchezo!

Uamuzi wa namna hiyo ni wa kujitoa. Ndiyo maana Kamati Kuu ikakubali apate mshahara na marupurupu sawa na yale ya mbunge."

Mbunge anakadiriwa kuwa anapata mshahara pamoja na marupurupu yanayokaribia kufikia Sh7 milioni kwa mwezi.
Chadema kilitumia Sh1.3 bilioni kusaka urais 2010

Akizungumzia Uchaguzi Mkuu uliopita, Mbowe aliwaambia waandishi wa habari kuwa chama chake kilitumia Sh1.3 bilioni katika kampeni za uras.

Alivitaja vyanzo vya fedha hizo kuwa ni Sh 338.9 milioni za ruzuku, Sh 235.9 milioni kutoka kwa marafiki, Sh32 milioni michango mbalimbali ya wanachama na mali mbalimbali za watu zenye thamani ya Sh719.7 milioni.

Makubwa halafu mnasema CDM hakuna ufisadi, utakuwa hauna akili sawa sawa aisee !
 
Ni kweli,ukweli hujitenga, naona jamaa amekasirikaaaa!! nadhani aliyeandika hapo juu ni kwakara tu,hajui lolote,anayedai eti mbowe alikopesha chama ili alipwe baadae,mimi najua hii ilikuwa usanii wa kweli pumbafuuuuuuuuuu kabisaaa,eti tujadili wanaokura kodi sio wanaotumia pesa za ruzuku ya chama hovyp kwa manufaa yao binafsi, kumtegemea mbowe hakuna ikulu,hata kwa miujiza gani. coma.
 
Piganeni,toeni mapovu,singizieni,danganyeni,fanyeni spinning,tukaneni lakini CHADEMA ni Chama chenye mkono wa MUNGU kitasimimama tu.Kila kitu kimewekwa wazi,tumeeleza hali halisi bado hamuelewi.Tulitarajia haya na tunaendelea kuyatarajia,tutaandikwa sana,Makala nyingi zitaandikwa,vipindi redioni vitajadili lakini wenzenu tunasonga mbele.Nyie mkiwa mnayaendeleza hayo wenzenu kesho tunaenda kuwasha moto Nyanda za Juu Kusini,tunatoa elimu ya Uraia,Tunakomba wanachama,tunasimika Viongozi na Tunajiimarisha Kisiasa.

Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke,Mbowe Kanyaga twende!!!
 
Eti ndio maelekezo ya Mukama haya wa chama cha misukule (ccm ) kwamba makuwadi wao wapambane na wapenda mabadiliko kwenye social network, sasa kama kupambana kwenyewe ndio huku basi mmeshaferi kabla hamjaanza. CCM ndio chama pekee duniani wakikwambia twende kulia, wewe nenda kushoto basi utawakuta wote wapo huko.
CCM imeshazeeka na ubongo wake wote hawana think tank, kina Msekwa na Mkama waliposema watakwenda na mabadiliko kwa kupambana na social networks walifikiri ni kujaza watu wasio na hoja kama kina Jenifa na GeniusBrain and Co. ambao wanatoka mapovu tupu almradi wamejaza page za thread, CCM inabidi ijiangalie upya na strategies za kijinga jinga kama hizi zilizopitwa na wakati.
 
zitto tutakupa ulinzi huyo mbowe na genge lake walimwondoa wangwe shauri ya kupinga mbowe kuchota mapesa. jihadhari kaka hao wakaskazini ni wabinafsi.

wanapeana mshahara 15 milioni na kuuzia chama mitumba
Mtampa ulinzi kama kina nani? Jilinde wewe na Chama chako, ulishindwa kumlinda Amina Chifupa na Marehemu Mbatia halafu umlinde Zitto. UNatamani Mil 15 za Slaa?
 
Piganeni,toeni mapovu,singizieni,danganyeni,fanyeni spinning,tukaneni lakini CHADEMA ni Chama chenye mkono wa MUNGU kitasimimama tu.Kila kitu kimewekwa wazi,tumeeleza hali halisi bado hamuelewi.Tulitarajia haya na tunaendelea kuyatarajia,tutaandikwa sana,Makala nyingi zitaandikwa,vipindi redioni vitajadili lakini wenzenu tunasonga mbele.Nyie mkiwa mnayaendeleza hayo wenzenu kesho tunaenda kuwasha moto Nyanda za Juu Kusini,tunatoa elimu ya Uraia,Tunakomba wanachama,tunasimika Viongozi na Tunajiimarisha Kisiasa.

Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke,Mbowe Kanyaga twende!!!
Regia nyie piganeni tu, chura wanaopiga kelele humu hawazuii ng'ombe kunywa maji Chadema kimekuwa chama cha kwanza Tanzania kuweka mambo yake wazi kabisa, mmefanya jambo la busara sana kwa hilo naipongeza kamati kwa kuona mbele bila hivyo watu wabaya wangezitumia habari hizi kwa manufaa yao lakini sasa yako wazi watalalamika watapiga kelele lakini mwisho watalala.
 
Chadema kilitumia Sh1.3 bilioni kusaka urais 2010
Akizungumzia Uchaguzi Mkuu uliopita, Mbowe aliwaambia waandishi wa habari kuwa chama chake kilitumia Sh1.3 bilioni katika kampeni za uras.
Alivitaja vyanzo vya fedha hizo kuwa ni Sh 338.9 milioni za ruzuku, Sh 235.9 milioni kutoka kwa marafiki, Sh32 milioni michango mbalimbali ya wanachama na mali mbalimbali za watu zenye thamani ya Sh719.7 milioni.


ina maana mpango wote wa changia chadema sms na wanachama umezaa milioni 32 tu. hapo changa la macho

marafiki wa chadema 235.9 milioni. sabodo pekee milioni 200 ina maana wengine wote 35 milioni tu. changa la macho

haiwezekani misafara yote ile ya chadema kuzunguka nchi nzima walitumia 1.3 bilioni ni changa la macho.

zile pesa walizopewa na watu wa nje wameficha. changa lingine la macho.

cag wachunguze waongo hawa wanaficha mapesa au mengine mbowe kayaficha
 
Chadema kilitumia Sh1.3 bilioni kusaka urais 2010
Akizungumzia Uchaguzi Mkuu uliopita, Mbowe aliwaambia waandishi wa habari kuwa chama chake kilitumia Sh1.3 bilioni katika kampeni za uras.
Alivitaja vyanzo vya fedha hizo kuwa ni Sh 338.9 milioni za ruzuku, Sh 235.9 milioni kutoka kwa marafiki, Sh32 milioni michango mbalimbali ya wanachama na mali mbalimbali za watu zenye thamani ya Sh719.7 milioni.


ina maana mpango wote wa changia chadema sms na wanachama umezaa milioni 32 tu. hapo changa la macho

marafiki wa chadema 235.9 milioni. sabodo pekee milioni 200 ina maana wengine wote 35 milioni tu. changa la macho

haiwezekani misafara yote ile ya chadema kuzunguka nchi nzima walitumia 1.3 bilioni ni changa la macho.

zile pesa walizopewa na watu wa nje wameficha. changa lingine la macho.

cag wachunguze waongo hawa wanaficha mapesa au mengine mbowe kayaficha
Toa unafiki wako wewe ulichanga shilingi ngapi leta receipts zako otherwise usipigie mahesabu michango ya watu wengine.
 
Chadema kilitumia Sh1.3 bilioni kusaka urais 2010
Akizungumzia Uchaguzi Mkuu uliopita, Mbowe aliwaambia waandishi wa habari kuwa chama chake kilitumia Sh1.3 bilioni katika kampeni za uras.
Alivitaja vyanzo vya fedha hizo kuwa ni Sh 338.9 milioni za ruzuku, Sh 235.9 milioni kutoka kwa marafiki, Sh32 milioni michango mbalimbali ya wanachama na mali mbalimbali za watu zenye thamani ya Sh719.7 milioni.


ina maana mpango wote wa changia chadema sms na wanachama umezaa milioni 32 tu. hapo changa la macho

marafiki wa chadema 235.9 milioni. sabodo pekee milioni 200 ina maana wengine wote 35 milioni tu. changa la macho

haiwezekani misafara yote ile ya chadema kuzunguka nchi nzima walitumia 1.3 bilioni ni changa la macho.

zile pesa walizopewa na watu wa nje wameficha. changa lingine la macho.

cag wachunguze waongo hawa wanaficha mapesa au mengine mbowe kayaficha
toka makalioni mwa Sofia Simba yaan amekukalia kiasi huwezi hata kunjuka awaze kwa ubongo wako
 
Chadema kilitumia Sh1.3 bilioni kusaka urais 2010
Akizungumzia Uchaguzi Mkuu uliopita, Mbowe aliwaambia waandishi wa habari kuwa chama chake kilitumia Sh1.3 bilioni katika kampeni za uras.
Alivitaja vyanzo vya fedha hizo kuwa ni Sh 338.9 milioni za ruzuku, Sh 235.9 milioni kutoka kwa marafiki, Sh32 milioni michango mbalimbali ya wanachama na mali mbalimbali za watu zenye thamani ya Sh719.7 milioni.


ina maana mpango wote wa changia chadema sms na wanachama umezaa milioni 32 tu. hapo changa la macho

marafiki wa chadema 235.9 milioni. sabodo pekee milioni 200 ina maana wengine wote 35 milioni tu. changa la macho

haiwezekani misafara yote ile ya chadema kuzunguka nchi nzima walitumia 1.3 bilioni ni changa la macho.

zile pesa walizopewa na watu wa nje wameficha. changa lingine la macho.

cag wachunguze waongo hawa wanaficha mapesa au mengine mbowe kayaficha

hukumbuki kuwa sms zilikuwa zinagoma kwenda hadi wakawa wanalalamika,na utofautishe kati ya miichango kwa ajili ya uraisi na ya ubunge mara nyingi watu walikuwa wanajitolea magari kwenda nao wao wenyewe.
sisi hatukubeba watu kwenye malori ivyo hatuna hatukutumia fedha kwa ajili ya kukodi magari ya abiria
 
Piganeni,toeni mapovu,singizieni,danganyeni,fanyeni spinning,tukaneni lakini CHADEMA ni Chama chenye mkono wa MUNGU kitasimimama tu.Kila kitu kimewekwa wazi,tumeeleza hali halisi bado hamuelewi.Tulitarajia haya na tunaendelea kuyatarajia,tutaandikwa sana,Makala nyingi zitaandikwa,vipindi redioni vitajadili lakini wenzenu tunasonga mbele.Nyie mkiwa mnayaendeleza hayo wenzenu kesho tunaenda kuwasha moto Nyanda za Juu Kusini,tunatoa elimu ya Uraia,Tunakomba wanachama,tunasimika Viongozi na Tunajiimarisha Kisiasa.

Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke,Mbowe Kanyaga twende!!!
JEe,wewe ulipiga kura ya ndio au hapana?Kama si mjumbe,unaonaje swala hili la kununua magari mitumba kutoka India?Unaonaje suala hili linavyo potray image ya chadema as a shadow government?..akhsante,
Kobelo,kibungo
 
JEe,wewe ulipiga kura ya ndio au hapana?Kama si mjumbe,unaonaje swala hili la kununua magari mitumba kutoka India?Unaonaje suala hili linavyo potray image ya chadema as a shadow government?..akhsante,
Kobelo,kibungo
Hata kama alipiga kura ya Hapana lakini si alitumia haki yake na demokrasia ikachukua mkondo wake!!!! hizo siasa zenu za CCM za kutajana majina fulani kapinga hakuungi mkono hazina nafasi CDM ni mwendelezo wa majungu tunayoshuhudia leo.
 
Back
Top Bottom