Elections 2010 CHADEMA walishindwa kulinda kura au matokeo

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Sioni sababu ya Chadema kupita na kulalami au kuilalamikia NEC kuwa ilibadili matokeo,hivi kosa lilikuwa la nani ? Matangazo yalitangazwa direct punde yanapopokelewa na sote tuliona kwenye runinga ambazo zilikuwa live ,sasa hawa Chadema baada ya kuona wameshindwa wamekuja na hoja za kukataa matokeo ,hivi hawakuelewa kuwa katika mchuano kunatokea mshindi na mshindwa.???

Hivi hawa Chadema wanaelewa au hawaelewi ni kwenye point gani walishindwa ? Je walilinda kura vituoni ? Je walilinda Matokeo vituoni ? Je walilinda utangazaji wa matukio hayo ? Hapa utaona kuna point walishinda na kuna pointi walishindwa ni bora wajipange upya ili kutafuta njia za kulinda matokeo kwenye point zote.Kama ni mpira walikuwa wakishambulia tu huku wakisahau kulinda lango kuu ,pale ambapo magoli yakipitishwa !
 
Cdm wazushi,walitakiwa wawe talling mbadala kwa sababu matokeo yalikuwa yanabandikwa vituoni,HAMKUJIPAnga subirini 2015
 
Cdm wazushi,walitakiwa wawe talling mbadala kwa sababu matokeo yalikuwa yanabandikwa vituoni,HAMKUJIPAnga subirini 2015

NEC ya nani!! KAtiba inailinda NEC. NEC iwe huru CCM sio chama bali kilikuwepo zamani za KANU.
 
Sioni sababu ya Chadema kupita na kulalami au kuilalamikia NEC kuwa ilibadili matokeo,hivi kosa lilikuwa la nani ? Matangazo yalitangazwa direct punde yanapopokelewa na sote tuliona kwenye runinga ambazo zilikuwa live ,sasa hawa Chadema baada ya kuona wameshindwa wamekuja na hoja za kukataa matokeo ,hivi hawakuelewa kuwa katika mchuano kunatokea mshindi na mshindwa.???

Hivi hawa Chadema wanaelewa au hawaelewi ni kwenye point gani walishindwa ? Je walilinda kura vituoni ? Je walilinda Matokeo vituoni ? Je walilinda utangazaji wa matukio hayo ? Hapa utaona kuna point walishinda na kuna pointi walishindwa ni bora wajipange upya ili kutafuta njia za kulinda matokeo kwenye point zote.Kama ni mpira walikuwa wakishambulia tu huku wakisahau kulinda lango kuu ,pale ambapo magoli yakipitishwa !

Kwenye bold ndiyo kwenye makosa na walipopatia. Chadema walifanya vizuri, na kubalance mambo hayo niliyobold maeneo yafuatayo. Arusha mjini, Mbeya mjini, Ubungo, Kawe, Nyamagana na Ilemela. Hakika sehemu hizi kama si nguvu ya wananchi CCM hawakuwa tayari kuwatanga wapinzani washindi ila waliogopa madhara ya kiuchumi na kimiundombinu inayoweza kutokea kama watalazimisha vinginevyo.

Kwa point hiyohiyo chadema walitakiwa kuionesha CCM na vyombo vyake vya dola kuwa wajiandae kwa worse kama watabadili will of the people. badala yake Dr Slaa na viongozi wa CHADEMA wakajifungia ndani na wake zao ulitaka nani alianzishe?. Laila odinga alitumia vizuri sana nguvu ya umma kwani kila neno alilolisema lilikuwa na shockwave kubwa sana miongoni mwa wafuasi wake na ndiyo wafuasi wa CHADEMA walivyojipanga. Kwa point hiyo CHADEMA watakuwa wamewakatisha tamaa wafuasi na wapenda mageuzi na 2015 watarajie the worse believe me or not. CCM wameishapata antidote ya kupunguza people's power nayo ni results announcement delay.
 
Hawa Chadema ni "mfa maji haishi kutapatapa". Hawajijui hawajitambui.
 
Kwenye bold ndiyo kwenye makosa na walipopatia. Chadema walifanya vizuri, na kubalance mambo hayo niliyobold maeneo yafuatayo. Arusha mjini, Mbeya mjini, Ubungo, Kawe, Nyamagana na Ilemela. Hakika sehemu hizi kama si nguvu ya wananchi CCM hawakuwa tayari kuwatanga wapinzani washindi ila waliogopa madhara ya kiuchumi na kimiundombinu inayoweza kutokea kama watalazimisha vinginevyo.

Kwa point hiyohiyo chadema walitakiwa kuionesha CCM na vyombo vyake vya dola kuwa wajiandae kwa worse kama watabadili will of the people. badala yake Dr Slaa na viongozi wa CHADEMA wakajifungia ndani na wake zao ulitaka nani alianzishe?. Laila odinga alitumia vizuri sana nguvu ya umma kwani kila neno alilolisema lilikuwa na shockwave kubwa sana miongoni mwa wafuasi wake na ndiyo wafuasi wa CHADEMA walivyojipanga. Kwa point hiyo CHADEMA watakuwa wamewakatisha tamaa wafuasi na wapenda mageuzi na 2015 watarajie the worse believe me or not. CCM wameishapata antidote ya kupunguza people's power nayo ni results announcement delay.

Wewe huitakiii mema nchi hii wala hujui thamani ya damu au uhai wa mwanadamu mwenzio
 
Wewe huitakiii mema nchi hii wala hujui thamani ya damu au uhai wa mwanadamu mwenzio

Acha unafiki kijana, tena hunifahamu sikufahamu so usiniite mimi wewe£$%^&^$%^, Maeneo niliyoyataja hapo juu nani alikufa, wewe utakuwa pandikizi la chakachua, wapi niliposema watu wamwage damu huu ni uzushi wako. Watawala kila siku huwa wanapiga mahesabu ya madhara ya maamuzi yao kabla ya kuyatoa. Kilichofanyika Arusha, Mbeya et al kilitakiwa kifanyike nchi nzima na hakuna hata mtu angefanya fujo bila ya vyombo vya dola kuwa chanzo cha fujo hizo.
 
Sioni sababu ya Chadema kupita na kulalami au kuilalamikia NEC kuwa ilibadili matokeo,hivi kosa lilikuwa la nani ? Matangazo yalitangazwa direct punde yanapopokelewa na sote tuliona kwenye runinga ambazo zilikuwa live ,sasa hawa Chadema baada ya kuona wameshindwa wamekuja na hoja za kukataa matokeo ,hivi hawakuelewa kuwa katika mchuano kunatokea mshindi na mshindwa.???

Hivi hawa Chadema wanaelewa au hawaelewi ni kwenye point gani walishindwa ? Je walilinda kura vituoni ? Je walilinda Matokeo vituoni ? Je walilinda utangazaji wa matukio hayo ? Hapa utaona kuna point walishinda na kuna pointi walishindwa ni bora wajipange upya ili kutafuta njia za kulinda matokeo kwenye point zote.Kama ni mpira walikuwa wakishambulia tu huku wakisahau kulinda lango kuu ,pale ambapo magoli yakipitishwa !

Ulevi mwingine mbaya, wakati Dr. Slaa anakataa kuya tambua matokeo hata kabla ya final results haijatolewa ulikuwa umelala fofo kwenye mtaro? Acha ujinga angalia tunavyoporwa madini yetu na umasikini unatamalaki ndo ujue cha kuandika-siyo bange bange hizi!
 
Acha unafiki kijana, tena hunifahamu sikufahamu so usiniite mimi wewe£$%^&^$%^, Maeneo niliyoyataja hapo juu nani alikufa, wewe utakuwa pandikizi la chakachua, wapi niliposema watu wamwage damu huu ni uzushi wako. Watawala kila siku huwa wanapiga mahesabu ya madhara ya maamuzi yao kabla ya kuyatoa. Kilichofanyika Arusha, Mbeya et al kilitakiwa kifanyike nchi nzima na hakuna hata mtu angefanya fujo bila ya vyombo vya dola kuwa chanzo cha fujo hizo.

Hayo maeneo uliyotaja wananchi walilinda kura zao kwa utashi au kwa kuitikia wito uongozi wa Kitaifa? Tuko pamoja ila kauli yeyote toka uongozi wa juu wa Chadema kuhusiana na hatua za kuchukua dhidi ya matokeo yaliyochakachuliwa ingeleta maafa makubwa kuliko hata yaliyotokea Zanzibar January 27, 2001.
 
Cdm mmepigwa bao kwa viongozi wenu kushindwa kutumia nguvu ya umma(waoga sana),ccm walikuwa na matokeo ya kila kituo kwa kutumia mawakala na hivo waliweza jua waongeze ngapi ili hesabu itimie ,nyie mnasubiri nec iwatangazie uchakachuzi,KUWENI WAPOLE,OPORTUNITY NEVER COME 2CE KAJIFUNZE KWA RAILA VINGIVYO HAKUNA CHA KATIBA WALA CHOCHOTE KULENI POSHO TUTAZOEA
 
Cdm mmepigwa bao kwa viongozi wenu kushindwa kutumia nguvu ya umma(waoga sana),ccm walikuwa na matokeo ya kila kituo kwa kutumia mawakala na hivo waliweza jua waongeze ngapi ili hesabu itimie ,nyie mnasubiri nec iwatangazie uchakachuzi,KUWENI WAPOLE,OPORTUNITY NEVER COME 2CE KAJIFUNZE KWA RAILA VINGIVYO HAKUNA CHA KATIBA WALA CHOCHOTE KULENI POSHO TUTAZOEA

Sasa huna Raila aliingia Ikulu?
 
Raila hakuingia ikulu lkn kenya ya wakati ule sio ya sasa,wameweka misingi endelevu kwa kizazi cha sasa na kesho(katiba,tume huru etc sio haba,the kind of legacy our leaders must sought.)
 
Back
Top Bottom