Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Sioni sababu ya Chadema kupita na kulalami au kuilalamikia NEC kuwa ilibadili matokeo,hivi kosa lilikuwa la nani ? Matangazo yalitangazwa direct punde yanapopokelewa na sote tuliona kwenye runinga ambazo zilikuwa live ,sasa hawa Chadema baada ya kuona wameshindwa wamekuja na hoja za kukataa matokeo ,hivi hawakuelewa kuwa katika mchuano kunatokea mshindi na mshindwa.???
Hivi hawa Chadema wanaelewa au hawaelewi ni kwenye point gani walishindwa ? Je walilinda kura vituoni ? Je walilinda Matokeo vituoni ? Je walilinda utangazaji wa matukio hayo ? Hapa utaona kuna point walishinda na kuna pointi walishindwa ni bora wajipange upya ili kutafuta njia za kulinda matokeo kwenye point zote.Kama ni mpira walikuwa wakishambulia tu huku wakisahau kulinda lango kuu ,pale ambapo magoli yakipitishwa !
Hivi hawa Chadema wanaelewa au hawaelewi ni kwenye point gani walishindwa ? Je walilinda kura vituoni ? Je walilinda Matokeo vituoni ? Je walilinda utangazaji wa matukio hayo ? Hapa utaona kuna point walishinda na kuna pointi walishindwa ni bora wajipange upya ili kutafuta njia za kulinda matokeo kwenye point zote.Kama ni mpira walikuwa wakishambulia tu huku wakisahau kulinda lango kuu ,pale ambapo magoli yakipitishwa !