Maestrojr
Member
- Jan 3, 2018
- 7
- 3
Mwandishi umeonyesha una logic kuna some points upo vizuri ni kweli now upinzani unakosa pa kusimamia zaidi ya kunyimwa democrasia na matamko yanayotrend tu ndo imekuwa agenda kuu ya upinzani hakuna ile amsha amsha kama ya kipindi cha nyuma za kupambana na ufisadi, rushwa, elimu, maji, umeme na n.k. Now kabla ya kwenda kwenye uchaguzi wowote kuwe na strategies itakayopelekea wananchi kuielewa na kuikubali kwenye kuwaletea maendeleo ya ukweli