johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Katika hili la kutoshiri uchaguzi mimi nakubaliana kabisa na Chadema kwamba wamefanya maamuzi sahihi.
Kwani wale wabunge 20 wa Chadema mule bungeni wanafanya kazi gani yenye maslahi kwa upinzani. Wao muda wote wanarandaranda na viongozi wa CCM akina babu Tale.
CHADEMA komaeni hivyo hivyo hadi 2025.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wale wabunge 20 wa Chadema mule bungeni wanafanya kazi gani yenye maslahi kwa upinzani. Wao muda wote wanarandaranda na viongozi wa CCM akina babu Tale.
CHADEMA komaeni hivyo hivyo hadi 2025.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!