MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,257
unadhani Kalenga ni MSALANI?????
Nyie Endeleeni Kukashifu ila KALENGA CHADEMA mnapoteza muda wenu bure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unadhani Kalenga ni MSALANI?????
Utakuwa umechoka kulala sebuleni
Kwa kosa la hawa MATUNYU kutukana nyumbani kwetu nitahakikisha wanaangukia pua.Nyie Endeleeni Kukashifu ila KALENGA CHADEMA mnapoteza muda wenu bure!
Hivi huko UK unafanya nini ? mbona hapa TZ kuna fursa kibao? sikuhizi financial inclusion ndo habari ya mujini, achana na kazi za kusafisha vyoo na kuwatawaza vikongwe vya kizungu jamaa angu... njoo home utafanikiwa tena kwa muda mfupi ...Ndugu zanguni,
Kama mnavyojua kipenga ndio kimepulizwa huko Kwetu na mpaka sasa ni vyama viwili tu vimetangaza kugombea
Nimekuwa nikiona coments zilizochanganyika na harufu ya viroba hapa kuwa eti Chadema watashinda huko
Napenda tu kutoa tamko;
KAMA CHADEMA WAKISHINDA BASI NITATEMBEA KWA MIGUU MPAKA KWETU KALENGA KURUDISHA JIMBO!
Watu wa wa kalenga sio kama watu wa Arusha, hatuchagui vigunzi...
JITAMBUE!
Ndugu zanguni,
Kama mnavyojua kipenga ndio kimepulizwa huko Kwetu na mpaka sasa ni vyama viwili tu vimetangaza kugombea
Nimekuwa nikiona coments zilizochanganyika na harufu ya viroba hapa kuwa eti Chadema watashinda huko
Napenda tu kutoa tamko;
KAMA CHADEMA WAKISHINDA BASI NITATEMBEA KWA MIGUU MPAKA KWETU KALENGA KURUDISHA JIMBO!
Watu wa wa kalenga sio kama watu wa Arusha, hatuchagui vigunzi...
JITAMBUE!
kalenga wameelimika sana siku hiz sio kama zaman na maccm wanapatia kula kwa wasio na elim sasa watazipata wap!! maccm sasa agenda zenu ni namna ya kuiba kula na kupiga kama mlivyo agizwa
cdm tunasinda kalenga
mkuu, mi chadema ikishinda kalenga nitatembea uchi kariakoo, watu wa kalenga sio viazi kama wa arusha.
watu wa kalenga ni wastaarabu sana, hawawezi kuchagua chama cha fujo na vurugu chadema, siasa za fujo na vurugu zinapendwa arusha na moshi tu
Ndugu zanguni,
Kama mnavyojua kipenga ndio kimepulizwa huko Kwetu na mpaka sasa ni vyama viwili tu vimetangaza kugombea
Nimekuwa nikiona coments zilizochanganyika na harufu ya viroba hapa kuwa eti Chadema watashinda huko
Napenda tu kutoa tamko;
KAMA CHADEMA WAKISHINDA BASI NITATEMBEA KWA MIGUU MPAKA KWETU KALENGA KURUDISHA JIMBO!
Watu wa wa kalenga sio kama watu wa Arusha, hatuchagui vigunzi...
JITAMBUE!
Ndugu zanguni,
Kama mnavyojua kipenga ndio kimepulizwa huko Kwetu na mpaka sasa ni vyama viwili tu vimetangaza kugombea
Nimekuwa nikiona coments zilizochanganyika na harufu ya viroba hapa kuwa eti Chadema watashinda huko
Napenda tu kutoa tamko;
KAMA CHADEMA WAKISHINDA BASI NITATEMBEA KWA MIGUU MPAKA KWETU KALENGA KURUDISHA JIMBO!
Watu wa wa kalenga sio kama watu wa Arusha, hatuchagui vigunzi...
JITAMBUE!
mkuu, mi chadema ikishinda kalenga nitatembea uchi kariakoo, watu wa kalenga sio viazi kama wa arusha.
Kabla hujarudi peleka mchango wa rambirambi ya marehemu Mwangosi uliokabidhiwa,sio kuleta maneno mengi la sivyo laana ya kula rambirambi itakuandama.Ndugu zanguni,
Kama mnavyojua kipenga ndio kimepulizwa huko Kwetu na mpaka sasa ni vyama viwili tu vimetangaza kugombea
Nimekuwa nikiona coments zilizochanganyika na harufu ya viroba hapa kuwa eti Chadema watashinda huko
Napenda tu kutoa tamko;
KAMA CHADEMA WAKISHINDA BASI NITATEMBEA KWA MIGUU MPAKA KWETU KALENGA KURUDISHA JIMBO!
Watu wa wa kalenga sio kama watu wa Arusha, hatuchagui vigunzi...
JITAMBUE!
Ndugu zanguni,
Kama mnavyojua kipenga ndio kimepulizwa huko Kwetu na mpaka sasa ni vyama viwili tu vimetangaza kugombea
Nimekuwa nikiona coments zilizochanganyika na harufu ya viroba hapa kuwa eti Chadema watashinda huko
Napenda tu kutoa tamko;
KAMA CHADEMA WAKISHINDA BASI NITATEMBEA KWA MIGUU MPAKA KWETU KALENGA KURUDISHA JIMBO!
Watu wa wa kalenga sio kama watu wa Arusha, hatuchagui vigunzi...
JITAMBUE!
Nawakumbusha tu.ah ah ah mkuu ujue utani mwingine mtatuua mbavu, nimecheka mpaka nataka kulia...jamaa katoa ahadi ww unasema laana itakuwa ime- mature???ah ah ah