Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Ahaa sasa hata wakikosa mbunge kule kijijini Wazazi wako Baba na Mama wataacha kuvaa kandambili zilizotoboka

Mambo mengine ni vichekesho

Wakipata wabunge wawili wewe ndie utakuwa tajiri kama Barhresa au Mo Dewji

Mkuu kama wewe na ukoo wako ni choka mbaya ni choka mbaya tu

Jaribu kuwasaidia watoto wa ndugu zako kijijini iwe Dada, Binamu au Mjomba

Yaani badala ya kuwaza umaskini wa ukoo wa akina Baptist John wewe unawaza wabunge wa CHADEMA

Kabla ya ubunge wa chadema kwanini wazazi wako hawakuwa matajiri kama Bahresa au Mo Dewji? Miaka ya 1980 au mwanzoni mwa 1990

Wazazi wako walikuwa wapi achana na story za CHADEMA ,

CHADEMA ni taasi imemfanya hata mzazi wako leo apate lami na taa kwa kuwatisha CCM
Mshikaji ana stress sana!
 
Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.

Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.

Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.

Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.

Maendeleo hayana vyama!
Nnasubiri yule binti aliyekuwa anamchachafya sana mwana FA kwenye kampeini. Kwa sasa akina Sugu, Haule na Msigwa ambao ndio nilikuwa nawategemea sana kushinda wameshatoka KO. ACT inaweza kupata wabunge kadhaa kutoka Pemba!!
 
Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.

Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.

Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.

Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.

Maendeleo hayana vyama!
Tulipungukiwa uwezo wa kuwalipa mawakala
 
Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.

Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.

Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.

Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.

Maendeleo hayana vyama!
Narudia tena, Tanzania hatuna upinzani wa kweli.
 
Ccm wanadhani chadema ndo adui yao mkubwa mnajidanganya sana yawezekana ni kweli wasipate mbunge hata mmoja unadhani madhara ni ya mbowe? Lissu ? au sugu? ,tunaenda kuzika rasmi muhimili wa bunge cz wakibaki ccm wenyew itakuwa ni ndiooooooooo kwenda mbele,naililia Tanzania yangu tukutane 2025
Kwani Chadema walileta utofauti gani wakisema siyooo. Maana wamekuwa wakisema hivyo, kutoka nje ya bunge, kufunga midomo tangu 1995.
 
Kwani Chadema walileta utofauti gani wakisema siyooo. Maana wamekuwa wakisema hivyo, kutoka nje ya bunge, kufunga midomo tangu 1995.
Dah nakuonea huruma sana jinsi gani ulivyo empty kichwani bt umekaa kama bendera fuata upepo 2, zile kashfa za Richmond,meremeta,esrow nani alikuwa founder mpk Zzk alisimamishwa ubunge? Leo hii Sera ya elimu bure mmeicopy wapi? Hoja za kufufua shirika la ndege zimetoka wapi? Usijifanye ujui umuhimu wa vyama mbadala
 
Nadhani Sasa utakuwa umeelewa alie kichwa tupu kati yako, na hiyo uliemquote.
mkuu mbona unasahau mapema kauli ya jiwe kufuta upinzani 2020 ama kauli ya T.L kwamba jiwe atapewa kura mil. 12 haya yalisha pangwa
 
Back
Top Bottom