Kura za CCM zinatoka nec ya chato?yani CCM wamemiliki kura zote kuliko necKiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Hivi mnachofurahia kuona haki ikipindishwa ni nini? Tatizo hapa sio upinzani bali mfumo kandamizi wa serikali inayoongozwa na CCM.No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Waziri mkuu wa Chadema!Jimbo la Hai tayari Free Man Mbowe OUT..
Kwa upande wa Mawakala CHADEMA miaka yote sidhani huwa wanakuwa serious Sana.All in all kwa maoni yangu kwenye vituo vya kupigia kura huwa hakuna wizi wowote wa kuraMtu ukileta tathimini hawa vijana wa ufipa wanakimbilia kukutoa akili na matusi juu ila kwa mtu yoyote aliyefanya tathimini ndogo hasa hapa Dsm ameona jinsi CCM ilivyojiandaa kwenye uchaguzi na hali za vyama vingine .
Mawakala wa CCM wanaonekana kabisa ni watu wenye uzoefu na walioandaliwa huku hawa wengine wakileta 60% teenagers wasio na uzoefu wala kujua nini wanapaswa kutofanya na maeneo mengine hakuna mawakala wa upinzani kabisa .
Kituo nilichopiga mimi mawakala wa vyama upinzani hata chakula na maji ya kunywa waliwategemea CCM nikajiuliza sasa hawa hata posho zao watalipwa kweli !
CCM itapata ushindi wa kishindo DSM
Kila matokeo Yana Nia njema.Huenda kuwafunza CHADEMA au zawadi kwa wananchi au adhabu kwa wananchiChadema asanteni kwa kuja na kushiriki Tanzania ni ya Watanzania tuu nafikiria kuna kitu mmejifunza.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Waoneeni Huruma Hawa ni ndugu zetu Maana walitegemea mitandao sasa wanaikimbiaa barabarani hawapo sijui wapi Anganiiii ...Tundu Lissu hatarudia Tena kuwadharau watanzaniiii
Hebu endelea.Msigwa keshapita.
Mdee keshapita.
Lemma keshapita.
Mbowe keshapita.
Sugu keshapita.
Bulaya keshapita.
Matiko keshapita.
Catherine keshapita.
Niendelee?
Aisee kuna jamaa yangu msimamizi mkuu yupo kagera huko karagwe honest anasema kabisa hakuna wizi wa kura lakn ni terrible result Kwa Lisuu, imagine anascore kura 3 , somtyme 0 kabisa baadh ya vituoKwa upande wa Mawakala CHADEMA miaka yote sidhani huwa wanakuwa serious Sana.All in all kwa maoni yangu kwenye vituo vya kupigia kura huwa hakuna wizi wowote wa kura
Hatuhitaji tena kuwakilishwa kwenye jumba la mijibwaKiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Tayari Mtwara wana kiti tayari kupitia CUF. Pia Pemba kuna viti vya kutosha kupitia ACT hivyo watapata zaidi ya 20No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
sijui kazimia huyo pressure inasoma 180/97Hebu endelea.