Ngomo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 200
- 95
Baada ya ziara ya chadema mkoani mbeya. Mpango wa kuwasha mwenge umefutika na sasa mwenge utawashwa butiama. Kuna tetesi hapa mwenge hautowashwa hapa kwasababu ya nguvu kubwa ya chadema. Hivyo ni mikoa mingapi itakimbiwa kwa nguvu hii ya cdm. Kumbuka hatakikao cha uwekezaji kilihamishwa arusha na kufanyika dar kwa sababu hii pia. Je tutafika?