CHADEMA wakicheza karata zao vizuri watafufuka kabla ya na kurudi kwenye ubora.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,205
22,249
Nawaamuru wafuasi wa CHADEMA msome kwa makini sana huu uzi na muufanyie kazi.

Hivi karibuni kama mmefuatilia mwenendo wa kisiasa hapa nchini inaonyesha CHADEMA (Chama cha Mbowe) hakina matatizo mengi sana na wala watu wengi hawana ubaya nacho. Na pia inaonekana CHADEMA hawana visasi na watu wanaotuhumiwa kuwaumiza miaka iliyopita. Nilishangaa kwenye tamko la Makonda kuhusu wanaomfuatilia kumuangamiza hakukuwepo na CHADEMA, viongozi wa upinzani au hata makada wa chama hiki cha Mbowe. Tuhuma za Makonda zote zimeelekezwa kwa watu wake wa chama chake kiasi kwamba akawa anakumbusha mazuri aliyowahi kuyafanya. Hata huko bungeni mbunge kibajaji amemlalamikia Zito kuhusu kauli zake dhidi ya hayati JPM pia kuwasuta wabunge wenzie wa CCM kwamba walikuwa wakimsifia wote JPM na wasijifanye kumkana.

Mimi nawashauri CHADEMA kutumia huu upepo vizuri kujijenga kisiasa kwa wananchi na kuachana na siasa zote zisizo na tija. Siasa za kipuuzi za kina Mdude ni za kuepukwa. Pia ingawa chama kipo taabani basi waendelee kumuamini Mbowe kama mwenyekiti. Mbowe ana busara na pia ana mtaji wa huruma za wananchi kwa aliyotendewa kwa miaka mingi. Alisimama imara na chama chake kilichoasisiwa na baba mkwe wake. Kingine ni chama kujitahidi kuwa na msemaji mmoja na kuachana na hii tabia mbaya ya kila mwanachadema kutoa tamko kiholela. Hicho chama kila mtu ni mwenezi wa chama. Pia chama kitengeneze hali ya kuwa na msimamo mmoja linapojitokeza jambo linalotaka wao kuonyesha msimamo wao. Kwa mfano sasa hivi kuhusu Ukraine na Urusi tunaona makada maarufu wakijitahidi kusema wanavyojua wao. Kada Yeriko anapambana kuripoti kutoka Moscow. Je CHADEMA inaunga mkono Urusi? Hadi sasa hivi hakuna kada maarufu wa CCM aliyesema chochote kuhusu hiyo vita maana ni suala zito la kidiplomasia. Siku mkipata dola mkamchagua Yeriko kuwa kiongozi italeta picha gani kwa Ukraine?

Nina mengi ya kuwashauri ila naishia hapa.
 
Magufuli si ameondoka!
mbona hawafanyi mikutano wakati mbaya wao hayupo.
mbona wanaogopa kurudi nyumbani wakati mbaya wao kazikwa.
Mbona mauaji yanaendelea
Mbona hali ndio inazidi kuwa ngumu
Mbona vitu vinazidi kupanda bei
mbona umeme ndio umekua tatzo sugu
 
Ni kweli sasa hivi kuna opportunity nzuri sana kwa chama chochote kizuri cha upinzani kujijenga endapo kitatumia vizuri hali iliyopo nchini.
Kuhusu chadema itawawia vigumu kiasi kwa sababu ya historia yao. Mambo makubwa yatakayowaangusha ni haya:
1. Hawana uongozi imara wenye maono.
2. Kitendo cha kukumbatia na kuwaunga mkono mafisadi na kuwatelekeza wananchi kitawacost.
3. Hawana ajenda yoyote ya maana inayogusa maisha ya kila siku ya wananchi wa kawaida.
Hayo yanawatosha kuwa kikwazo.
 
Chadema haijawahi kufa wala kupotea mkuu.Ila marehemu ndio aliharibu utaratibu wa siasa nchini mala tu alipoikanyaga katiba kwa kuweka zuio lisilo la kikatiba mikutano ya kisiasa..sasa chama hakiruhusiwi kufanya siasa popote je utajua vipi kwamba kimekufa au la? chadema hakiwezi kufa nakuhakikishia.tena Chadema ni watiifu sana.raisi alizuia mikutano kinyume na katiba lakini Chama kikatii,mwenyekiti kawekwa ndani zaidi ya miezi saba kwa kesi ya uongo lakini chama kiliendelea kufuata taratibu za nchi(mahakama).bado unaaamini Chadema kimekufa? Ikiruhusiwa mikutano ya kisiasa hapo utaelewa hicho ulichoandika ni upuuzi tu
 
Kamati kuu ya yao imejaa chawa wa wahuni waliom frustrate Hayati Mwamba

sasa hivi ni sehemu ya Walamba asali wanaocheza kama 'adui 'kwny movie
 
Chadema haijawahi kufa wala kupotea mkuu.Ila marehemu ndio aliharibu utaratibu wa siasa nchini mala tu alipoikanyaga katiba kwa kuweka zuio lisilo la kikatiba mikutano ya kisiasa..sasa chama hakiruhusiwi kufanya siasa popote je utajua vipi kwamba kimekufa au la? chadema hakiwezi kufa nakuhakikishia.tena Chadema ni watiifu sana.raisi alizuia mikutano kinyume na katiba lakini Chama kikatii,mwenyekiti kawekwa ndani zaidi ya miezi saba kwa kesi ya uongo lakini chama kiliendelea kufuata taratibu za nchi(mahakama).bado unaaamini Chadema kimekufa? Ikiruhusiwa mikutano ya kisiasa hapo utaelewa hicho ulichoandika ni upuuzi tu
Wewe ni sample tu ya makada walio wengi ndani ya CHADEMA wenye uwezo mdogo wa kujenga hoja.
 
Ni kweli sasa hivi kuna opportunity nzuri sana kwa chama chochote kizuri cha upinzani kujijenga endapo kitatumia vizuri hali iliyopo nchini.
Kuhusu chadema itawawia vigumu kiasi kwa sababu ya historia yao. Mambo makubwa yatakayowaangusha ni haya:
1. Hawana uongozi imara wenye maono.
2. Kitendo cha kukumbatia na kuwaunga mkono mafisadi na kuwatelekeza wananchi kitawacost.
3. Hawana ajenda yoyote ya maana inayogusa maisha ya kila siku ya wananchi wa kawaida.
Hayo yanawatosha kuwa kikwazo.
Hiyo namba 1 & 3 ndo zitawacost zaidi. Sasa hivi unakuta hadi vigogo wa CHADEMA wanacomment ishu za Diamond.
 
Kama unafikiri kumtukana magufuli itakupunguzia ugumu wa maisha basi utachelewa sana! Chadema kilishajifia na watu sio mazuzu kujua kuwa Chadema kinaendeshwa kinafiki
 
Nawaamuru wafuasi wa CHADEMA msome kwa makini sana huu uzi na muufanyie kazi.

Hivi karibuni kama mmefuatilia mwenendo wa kisiasa hapa nchini inaonyesha CHADEMA (Chama cha Mbowe) hakina matatizo mengi sana na wala watu wengi hawana ubaya nacho. Na pia inaonekana CHADEMA hawana visasi na watu wanaotuhumiwa kuwaumiza miaka iliyopita. Nilishangaa kwenye tamko la Makonda kuhusu wanaomfuatilia kumuangamiza hakukuwepo na CHADEMA, viongozi wa upinzani au hata makada wa chama hiki cha Mbowe. Tuhuma za Makonda zote zimeelekezwa kwa watu wake wa chama chake kiasi kwamba akawa anakumbusha mazuri aliyowahi kuyafanya. Hata huko bungeni mbunge kibajaji amemlalamikia Zito kuhusu kauli zake dhidi ya hayati JPM pia kuwasuta wabunge wenzie wa CCM kwamba walikuwa wakimsifia wote JPM na wasijifanye kumkana.

Mimi nawashauri CHADEMA kutumia huu upepo vizuri kujijenga kisiasa kwa wananchi na kuachana na siasa zote zisizo na tija. Siasa za kipuuzi za kina Mdude ni za kuepukwa. Pia ingawa chama kipo taabani basi waendelee kumuamini Mbowe kama mwenyekiti. Mbowe ana busara na pia ana mtaji wa huruma za wananchi kwa aliyotendewa kwa miaka mingi. Alisimama imara na chama chake kilichoasisiwa na baba mkwe wake. Kingine ni chama kujitahidi kuwa na msemaji mmoja na kuachana na hii tabia mbaya ya kila mwanachadema kutoa tamko kiholela. Hicho chama kila mtu ni mwenezi wa chama. Pia chama kitengeneze hali ya kuwa na msimamo mmoja linapojitokeza jambo linalotaka wao kuonyesha msimamo wao. Kwa mfano sasa hivi kuhusu Ukraine na Urusi tunaona makada maarufu wakijitahidi kusema wanavyojua wao. Kada Yeriko anapambana kuripoti kutoka Moscow. Je CHADEMA inaunga mkono Urusi? Hadi sasa hivi hakuna kada maarufu wa CCM aliyesema chochote kuhusu hiyo vita maana ni suala zito la kidiplomasia. Siku mkipata dola mkamchagua Yeriko kuwa kiongozi italeta picha gani kwa Ukraine?

Nina mengi ya kuwashauri ila naishia hapa.
Chadema hakijawahi kuwa chama cha Mbowe , na wala Chadema haiwezi kufanya siasa zake kwa kumtumia Mtu duni kama Makonda , halafu unachotakiwa kufahamu ni kwamba Chadema haijawahi kufa , ilikuwepo , ipo na 2025 inachukua nchi kwa msaada wa wapiga kura

Hifadhi hili andiko
 
Nawaamuru wafuasi wa CHADEMA msome kwa makini sana huu uzi na muufanyie kazi.

Hivi karibuni kama mmefuatilia mwenendo wa kisiasa hapa nchini inaonyesha CHADEMA (Chama cha Mbowe) hakina matatizo mengi sana na wala watu wengi hawana ubaya nacho. Na pia inaonekana CHADEMA hawana visasi na watu wanaotuhumiwa kuwaumiza miaka iliyopita. Nilishangaa kwenye tamko la Makonda kuhusu wanaomfuatilia kumuangamiza hakukuwepo na CHADEMA, viongozi wa upinzani au hata makada wa chama hiki cha Mbowe. Tuhuma za Makonda zote zimeelekezwa kwa watu wake wa chama chake kiasi kwamba akawa anakumbusha mazuri aliyowahi kuyafanya. Hata huko bungeni mbunge kibajaji amemlalamikia Zito kuhusu kauli zake dhidi ya hayati JPM pia kuwasuta wabunge wenzie wa CCM kwamba walikuwa wakimsifia wote JPM na wasijifanye kumkana.

Mimi nawashauri CHADEMA kutumia huu upepo vizuri kujijenga kisiasa kwa wananchi na kuachana na siasa zote zisizo na tija. Siasa za kipuuzi za kina Mdude ni za kuepukwa. Pia ingawa chama kipo taabani basi waendelee kumuamini Mbowe kama mwenyekiti. Mbowe ana busara na pia ana mtaji wa huruma za wananchi kwa aliyotendewa kwa miaka mingi. Alisimama imara na chama chake kilichoasisiwa na baba mkwe wake. Kingine ni chama kujitahidi kuwa na msemaji mmoja na kuachana na hii tabia mbaya ya kila mwanachadema kutoa tamko kiholela. Hicho chama kila mtu ni mwenezi wa chama. Pia chama kitengeneze hali ya kuwa na msimamo mmoja linapojitokeza jambo linalotaka wao kuonyesha msimamo wao. Kwa mfano sasa hivi kuhusu Ukraine na Urusi tunaona makada maarufu wakijitahidi kusema wanavyojua wao. Kada Yeriko anapambana kuripoti kutoka Moscow. Je CHADEMA inaunga mkono Urusi? Hadi sasa hivi hakuna kada maarufu wa CCM aliyesema chochote kuhusu hiyo vita maana ni suala zito la kidiplomasia. Siku mkipata dola mkamchagua Yeriko kuwa kiongozi italeta picha gani kwa Ukraine?

Nina mengi ya kuwashauri ila naishia hapa.

Unatoa ushauri huku unalengo lako baya. Ni lini chadema ilikufa?. Tatizo lako ni unafiki, hivi chama Cha siasa ukikizuia kufanya siasa na vyombo vyote vya dola kuwa dhidi yake, unategemea kifanyeje?.

Kuna kipindi chadema walichukuliwa Kama sio raia wa nchi hi, mahakama, bunge na serikali vyote vilipambana na CHADEMA. Ikafikia hatua Viongozi wake wakashambuliwa, kupotezwa na hata kufunguliwa kesi za jinai zisizokuwa na mashiko.

Tuache unafiki wa kuangalia matokeo baadala ya sababu. Chadema imeteswa Sana kipindi Cha Magufuli, kiasi kwamba ilikuwa ngumu kufanya siasa na bado hata chaguzi ziliingiliwa na kuharibiwa. Leo unapata wapi ujasiri wa kusema chadema imekufa? Ruhusu mikutano, Tume Huru na KATIBA mpya ndipo utajua chadema imekufa au lah.
 
Nawaamuru wafuasi wa CHADEMA msome kwa makini sana huu uzi na muufanyie kazi.

Hivi karibuni kama mmefuatilia mwenendo wa kisiasa hapa nchini inaonyesha CHADEMA (Chama cha Mbowe) hakina matatizo mengi sana na wala watu wengi hawana ubaya nacho. Na pia inaonekana CHADEMA hawana visasi na watu wanaotuhumiwa kuwaumiza miaka iliyopita. Nilishangaa kwenye tamko la Makonda kuhusu wanaomfuatilia kumuangamiza hakukuwepo na CHADEMA, viongozi wa upinzani au hata makada wa chama hiki cha Mbowe. Tuhuma za Makonda zote zimeelekezwa kwa watu wake wa chama chake kiasi kwamba akawa anakumbusha mazuri aliyowahi kuyafanya. Hata huko bungeni mbunge kibajaji amemlalamikia Zito kuhusu kauli zake dhidi ya hayati JPM pia kuwasuta wabunge wenzie wa CCM kwamba walikuwa wakimsifia wote JPM na wasijifanye kumkana.

Mimi nawashauri CHADEMA kutumia huu upepo vizuri kujijenga kisiasa kwa wananchi na kuachana na siasa zote zisizo na tija. Siasa za kipuuzi za kina Mdude ni za kuepukwa. Pia ingawa chama kipo taabani basi waendelee kumuamini Mbowe kama mwenyekiti. Mbowe ana busara na pia ana mtaji wa huruma za wananchi kwa aliyotendewa kwa miaka mingi. Alisimama imara na chama chake kilichoasisiwa na baba mkwe wake. Kingine ni chama kujitahidi kuwa na msemaji mmoja na kuachana na hii tabia mbaya ya kila mwanachadema kutoa tamko kiholela. Hicho chama kila mtu ni mwenezi wa chama. Pia chama kitengeneze hali ya kuwa na msimamo mmoja linapojitokeza jambo linalotaka wao kuonyesha msimamo wao. Kwa mfano sasa hivi kuhusu Ukraine na Urusi tunaona makada maarufu wakijitahidi kusema wanavyojua wao. Kada Yeriko anapambana kuripoti kutoka Moscow. Je CHADEMA inaunga mkono Urusi? Hadi sasa hivi hakuna kada maarufu wa CCM aliyesema chochote kuhusu hiyo vita maana ni suala zito la kidiplomasia. Siku mkipata dola mkamchagua Yeriko kuwa kiongozi italeta picha gani kwa Ukraine?

Nina mengi ya kuwashauri ila naishia hapa.

Halafu tofautisha maoni ya wanachama na kauli ya chama. Mpaka Sasa CHADEMA haijatoa msimamo kuhusu Ukraine na Russia. Maoni ya Twitter ya Jericho Nyerere sio kauli rasmi ya chama. Halafu kitu kingine usipende kunyamaza a watu kusema machungu yao. Kama mlishindwa kumshauri Magufuli aache kuwaumiza Chadema basi hunakosa uhalali wa kuwazuia chadema wasiseme mabaya ya Magufuli kwao.
 
Magufuli si ameondoka!
mbona hawafanyi mikutano wakati mbaya wao hayupo.
mbona wanaogopa kurudi nyumbani wakati mbaya wao kazikwa.
Mbona mauaji yanaendelea
Mbona hali ndio inazidi kuwa ngumu
Mbona vitu vinazidi kupanda bei
mbona umeme ndio umekua tatzo sugu
Umeandika kama hauna kichwa.
 
Kama unafikiri kumtukana magufuli itakupunguzia ugumu wa maisha basi utachelewa sana! Chadema kilishajifia na watu sio mazuzu kujua kuwa Chadema kinaendeshwa kinafiki

Magufuli ana haki ya kutukana wengine na kuwaumiza ila yeye asitukanwe?. Kifo Cha Magufuli kimeonesha Ni jinsi gani wa Tanzania Ni wanafiki. Yeye wakati anasema Ndugai awashughulikie chadema bungeni na yeye atawashughulikia nje ya mbunge mliona Ni sahihi? Rais wa nchi anapiga marufuku chama kisifanye siasa miaka sita sasa, halafu wewe unaamka unasema chadema imekufa, imekufaje?

Leo unasema chadema kimejifia, lakini Ni Magufuli huyo alipata asilimia 57 na chadema 40 2015 Tena baaada ya wizi na Tume ya CCM . Na 2019 na 2020 akaharibu uchaguzi kabisa na kufanya alichofanya . Kipimo Cha kifo Cha chadena ni pale ambapo Kuna Uhuru wa siasa, Tume Huru na KATIBA mpya. Weka hivyo ndio utajua nguvu ya CHADEMA iliyomfanya Magufuli apate asilimia 57 ya Kura na kuwa mgombea urais wa CCM aliyepata asilimia chache za Kura kuliko marais wote waliomtangulia.
 
Magufuli si ameondoka!
mbona hawafanyi mikutano wakati mbaya wao hayupo.
mbona wanaogopa kurudi nyumbani wakati mbaya wao kazikwa.
Mbona mauaji yanaendelea
Mbona hali ndio inazidi kuwa ngumu
Mbona vitu vinazidi kupanda bei
mbona umeme ndio umekua tatzo sugu

CHADEMA watafanyaje siasa wakati Kuna zuio la miaka sita? Halafu hayo mengine Ni matatizo ya CCM sio chadema. Walaumu CCM ndio wanaongoza nchi na ndio wapo kwenye Bunge na halmashauri. Chadema haihusiki huko.
 
Ni kweli sasa hivi kuna opportunity nzuri sana kwa chama chochote kizuri cha upinzani kujijenga endapo kitatumia vizuri hali iliyopo nchini.
Kuhusu chadema itawawia vigumu kiasi kwa sababu ya historia yao. Mambo makubwa yatakayowaangusha ni haya:
1. Hawana uongozi imara wenye maono.
2. Kitendo cha kukumbatia na kuwaunga mkono mafisadi na kuwatelekeza wananchi kitawacost.
3. Hawana ajenda yoyote ya maana inayogusa maisha ya kila siku ya wananchi wa kawaida.
Hayo yanawatosha kuwa kikwazo.

Mafisadi gani? Wa CCM . Yani mafisadi wawe CCM lawama wapewe chadema. CHADEMA ndio mhimili wa siasa za Tanzania. Muulize hata Magufuli atajwambia, ndio maana aliishia kupta asilimia 57 na kuamua kuweka zuio la kufanya mikutano ya siasa akihofia chadema kujipanua na kuongeza ushawishi. Kumbuka Chadema ilipata asilimia 40 Yani walihitaji asilimia 10 kumalizia mchezo 2020.

Ndio maana Magufuli alijitahidi Sana kuisambaratisha ndani ya miaka mitano akashindwa. Mwishoni ikabidi aharibu chaguzi za 2919 na 2020. CHADEMA ingekuwa haina nguvu leo hata Time Huru ingekuwepo.
 
Ni kweli sasa hivi kuna opportunity nzuri sana kwa chama chochote kizuri cha upinzani kujijenga endapo kitatumia vizuri hali iliyopo nchini.
Kuhusu chadema itawawia vigumu kiasi kwa sababu ya historia yao. Mambo makubwa yatakayowaangusha ni haya:
1. Hawana uongozi imara wenye maono.
2. Kitendo cha kukumbatia na kuwaunga mkono mafisadi na kuwatelekeza wananchi kitawacost.
3. Hawana ajenda yoyote ya maana inayogusa maisha ya kila siku ya wananchi wa kawaida.
Hayo yanawatosha kuwa kikwazo.

Hata Magufuli alidhani ataiua chadema lakini kafa yeye kaiacha inaendelea.
 
Back
Top Bottom