Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Kwani umekatazwa nawe kutoa ushauri wako, au vema kabisa kupuuza huu unaoukandia? Andiko hili ni bora kabisa KWA WENYE AKILI na si vilaza waliokwepa umandeUkiona maneno meeengi kama haya eti ni "USHAURI" ujue ni Uzandiki mkubwa...
Uzuri decision makers wa Chadema sio wajinga unawewa-swing kwa paragraph hovyo kama hivi.....
Ndio maana nawakubali sana CDM....Kuna vichwa wenye kufanya decision making