YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
CHADEMA BAWACHA ndio ilibaki nguzo pekee ya CHADEMA ya kuaminiwa.
CHADEMA walilisifu sana BAWACHA kuwa eti wabunge na madiwani wote eti kwa kile kinachoitwa kununuliwa wabunge na madiwani walikuwa ni wanaume tu wanawake wa BAWACHA hawakukubali.
Msimamo huo ulisababisha wabunge wanawake wawekwe wengi kwenye majimbo kuliko wanaume na ikapata baraka ya kamati kuu ikituhumu kuwa mianaume mingi inauzika inafika bei!
Sasa hilo limetokea yuko mbunge Aida KHATAN na wabunge viti maalumu 19 wote kwa mpigo wameingia.
CHADEMA wengine wanasema wamenunuliwa wengine wanasema hao wabunge wote 20 ni maafisa kipenyo wa serikali waliokuwa ndani ya CHADEMA!
Ina maana kwa sasa CHADEMA haitawaamini wanawake wala wanaume kwa kuwatuhumu kuwa wananunulika au ni maafisa kipenyo wa serikali!
Kwa muktadha huo CHADEMA sasa hivi wanatakiwa kwenda retreat kujipanga upya kisiasa badala ya kupigia mikelele CCM!
CHADEMA walilisifu sana BAWACHA kuwa eti wabunge na madiwani wote eti kwa kile kinachoitwa kununuliwa wabunge na madiwani walikuwa ni wanaume tu wanawake wa BAWACHA hawakukubali.
Msimamo huo ulisababisha wabunge wanawake wawekwe wengi kwenye majimbo kuliko wanaume na ikapata baraka ya kamati kuu ikituhumu kuwa mianaume mingi inauzika inafika bei!
Sasa hilo limetokea yuko mbunge Aida KHATAN na wabunge viti maalumu 19 wote kwa mpigo wameingia.
CHADEMA wengine wanasema wamenunuliwa wengine wanasema hao wabunge wote 20 ni maafisa kipenyo wa serikali waliokuwa ndani ya CHADEMA!
Ina maana kwa sasa CHADEMA haitawaamini wanawake wala wanaume kwa kuwatuhumu kuwa wananunulika au ni maafisa kipenyo wa serikali!
Kwa muktadha huo CHADEMA sasa hivi wanatakiwa kwenda retreat kujipanga upya kisiasa badala ya kupigia mikelele CCM!