Elections 2010 Chadema wajipange kwa kutoa dira nzuri kwa miji waliyochukua - 2015

Kisendi

JF-Expert Member
Jan 29, 2009
699
178
Wana chadema, Tuwaombe Viongozi wote wa chadema wasome hii topic kuwa kwa majiji na halmashauri walizochukua wahakikishe wanafanya vizuri sana ili mwaka 2015 iwe sample kwa miji mingine pia kwa kuwa wana madiwani wengi kama ARUSHA MJINI, MWANZA (ILEMELA NA NYAMAGANA) pia BIHARAMULO, MBEYA MJINI etc wahakikishe wanajipanga kuhakikisha huduma za msingi, kuwashirikisha wananchi kwenye urekebishaji wa barabara, maji na afya ili angalau ifikapo 2014 tuwe na muonekano mzuri.

PILI WAHAKIKISHE CHAMA HAKIFI WAOGOPE WANACHAMA BANDIO, AMBAO WATAHARIBU CHAMA NA MWAKA 2015 WATAFITE MTU AMBAYE ATAGOMBEA NA KUKIOMBA CHAMA CHA CUF WAUNGANE.

TATU Dr SLAA AHAKIKISHE WILAYA ZOTE NCHINI TUNA WANAMITANDAO WA CHAMA NA VIJANA WENGI WANAOMALIZA VYUO KUWASHAWISHI WAWE WANACHMA WA CHADEMA KUPITIA VYUO VYOTE NCHI KAMA ILIVYOTOKEA KWA HABIB NA SAMSON WA ILEMELA NI MFANO WA KUIGWA MAANA NI VIJANA AMBAO WAMEGRADUATE SOON.

NNE KILA KATA TUWE NA MADIWINI TAYARI KWA UCHAGUZI WA 2015.

NI HAYO TU YANGU. KWA SASA TUIACHE CCM IONGOZE WALA TUSIKATAE MATOKEO YA URAIS ILI KUONYESHA NJIA.
MAWAZO YENU WADAU MNASEMAJE.
 
Na wajitahidi kwenda mikoa ya wajinga ie. Singida,Tabora et al na vijijini kuwaelimisha kuwa CCM ya sasa si ya Nyerere...nasikia mpaka sasa huko vijijini wanajua CCM inaongozwa na Nyerere-RIP.Wasikate tamaa juhudi zao zimeonekana,na sie tulio ughaibuni hivi vishina vyetu vya CCM ni ujinga hebu tuamuke jamani hivi hamuoni maendeleo ya wenzetu??????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom