The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Huyu ni waziri mkuu mstaafu ndugu F. T. Sumaye aliyeondoka CHADEMA juzi kwa sababu anazosema kuwa amegusa uenyekiti wa CHADEMA taifa usiogusika
Hii inakuja baada ya kukataliwa na Ballot Box la uenyekiti wa kanda ya Mashariki hata baada ya kuwa mgombea pekee kwa kuambulia kura nyingi za HAPANA kumkataa dhidi ya za NDIYO kumkubali...
SUMAYE aliyeondoka CCM mwaka 2015 kwa sababu za uchaguzi na kujiunga CHADEMA baada ya kushindwa na wagombea wenzake na sababu alizozitoa wakati huo, ndizo hizohizo kazitoa juzi wakati anatangaza kuachana na CHADEMA...
Kilichoongezeka na kuonesha rangi yake halisi na sababu za kumleta CHADEMA ni tuhuma zilezile za miaka na miaka zinazosemwa na wapinzani wa CHDEMA siku zote, uchaga na uenyekiti taifa wa Freeman Mbowe...!!
Kumbe Sumaye alitaka kanuni za uchaguzi zipindishwe ili kumpa upendeleo yeye apite ki-CCM bila kupingwa..!!
Haya ndiyo maelezo mazuri ya chama
Hii inakuja baada ya kukataliwa na Ballot Box la uenyekiti wa kanda ya Mashariki hata baada ya kuwa mgombea pekee kwa kuambulia kura nyingi za HAPANA kumkataa dhidi ya za NDIYO kumkubali...
SUMAYE aliyeondoka CCM mwaka 2015 kwa sababu za uchaguzi na kujiunga CHADEMA baada ya kushindwa na wagombea wenzake na sababu alizozitoa wakati huo, ndizo hizohizo kazitoa juzi wakati anatangaza kuachana na CHADEMA...
Kilichoongezeka na kuonesha rangi yake halisi na sababu za kumleta CHADEMA ni tuhuma zilezile za miaka na miaka zinazosemwa na wapinzani wa CHDEMA siku zote, uchaga na uenyekiti taifa wa Freeman Mbowe...!!
Kumbe Sumaye alitaka kanuni za uchaguzi zipindishwe ili kumpa upendeleo yeye apite ki-CCM bila kupingwa..!!
Haya ndiyo maelezo mazuri ya chama