Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwiiii kufikia mwakani watani zangu CCM watakuwa chali ile mbaya na inawezekana tukafanya mazishi kabla ya 2015.
Ni mikutano ya hadhara iliyokuwa inarindima kata 4 mfululizo katika jimbo la urambo mashariki. Mikutano hiyo ilikuwa ikiongozwa na Paul Andrew Maganga baadae kuhitimishwa na mkutano mkubwa wa urambo mjini uliohutubiwa na Dr. Slaa.
wapo wanapanga plan B baada ya ile ya mwangosi,soweto na morogoro kutokuwa materialized.
sijui itakuwaje huko mbele ya safari.
kwani kwao sasa ni matumbo joto.
ref nchembe linakurupuka kwa kusema mambo ya hovyo utadhani limekoswakoswa na mshale kwenye fumanizi la ngono kwa wake za makada wenzake wa gambaz party.
wapo wanapanga plan B baada ya ile ya mwangosi,soweto na morogoro kutokuwa materialized.
sijui itakuwaje huko mbele ya safari.
kwani kwao sasa ni matumbo joto.
ref nchembe linakurupuka kwa kusema mambo ya hovyo utadhani limekoswakoswa na mshale kwenye fumanizi la ngono kwa wake za makada wenzake wa gambaz party.
Kura zingekua zinapgiwa jamii forums,chadema ingepita lakin saiv ni kwenye sanduku kura kwa kweli CDM kamwe hamtapita kwenda ikulu.
Kiukweli bado hamjajipanga na bahati mbaya mmeingia kwenye migogoro huku uchaguzi wa serikali za mitaa uko mbioni na hamna strategies zozote zile za ushindi.
Na kwa bahati mbaya saiv mnatumia neno ambalo litawaumiza sana,neno USALITI,kumbukeni tu mchimba kisima huingia mwenyewe.
Ni mikutano ya hadhara iliyokuwa inarindima kata 4 mfululizo katika jimbo la urambo mashariki. Mikutano hiyo ilikuwa ikiongozwa na Paul Andrew Maganga baadae kuhitimishwa na mkutano mkubwa wa urambo mjini uliohutubiwa na Dr. Slaa.
uwiiii kufikia mwakani watani zangu CCM watakuwa chali ile mbaya na inawezekana tukafanya mazishi kabla ya 2015.