CHADEMA waitapeli ACT, NCCR Mageuzi, APPT na CUF

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
CHADEMA INATAKA KUJIJENGA KWA KUUA NCCR Mageuzi, ACT, CUF, APPT, CHAUMA n.k NA CCM KUSHINDA MILELE.

Hali ya kisiasa nchini kwasasa haiko salama salimini. Mipango mingi inasukwa kila kona, wakati CCM wanawaza kumiliki nchi kama Monopartism na kupoteza upinzani, upande WA pili CHADEMA wanawaza kuwa na Doublepartism nchini.

Malengo ya CCM na CHADEMA yanategemeana, CHADEMA wakifanikiwa Doublepartism Ruzuku inaweza kupigwa Stop na wakaangukia Choo cha kike, CCM wakifanikiwa Monopartism maisha ya wananchi yatakuwa magumu sana na Silent violence zitakuwa nyingi sana. Nakupinduana itakuwa ni jambo la kawaida sana.

Leo hii tunaona mikakati ya kuhakikisha tunabaki na Chama kimoja cha Upinzani inaendelea ikiwemo kufutia usajili vyama vingine vyote vidogovidogo na vile vyenye nguvu kuhakikisha watu wao mhimu wanahamia CHADEMA na kusababisha vyama hivyo navyo kufa kabisa na kubaki na chama kimoja tu cha upinzani ambacho ni CHADEMA.

Msingi huu unaendelea kuivuruga CUF kwa malengo ya CHADEMA kukubalika Zanzibar, kuivuruga NCCR Mageuzi kwa malengo ya kupoteza historia ya ukongwe WA Siasa za upinzani, kuivuruga ACT ili kupunguza nguvu ya Zitto. Na ndio maana wamefanikiwa kumuacha njia panda Kuga Mzray na Appt yake na Rungwe kazimika na Chauma yake, malengo haya ni hatari kwa msitakabali wa maslahi ya Kambare wa MTO Ruvu kuvua nyoka badala ya samaki.

Leo hii ukiwa uliza wapinzani kwanini mnatoa taarifa za uongo za Deogratius Kisandu ikiwemo kushiriki kumuwekea vikwazo vya kimaisha ninyi na CCM, watakwambia Kisandu tunamjua madhara yake. OK, fine.

Nchi haitakombolewa na CHADEMA na wala haitajengwa na CCM Bali Nchi yetu itajengwa na Watanzania wenyewe. Kwa kuangalia nani ni bora wa kuweza kusimamia rasilimali za Taifa.

Malengo ya CCM na CHADEMA sio mazuri. Wao wanataka tuwe na vyama viwili tu ili wawe wanabadlishana madaraka kama U.S.A bila kujua vyama vyetu vimejaa waganga njaaa kibao. Huu upuuzi WA wakijinga nani atausikiliza na kuufuata? Ili hali tunajua fika ikulu mnagonga cheers kila mkiitwa halafu tukubali Two Party System, haaah, sisi sio wavuta unga kama wasanii. Tunajua Akili zetu zinawaza mapana sana.

Leo hii Mimi Niko tayari kuunda Chama cha Siasa na akina Regina Mengi, Dewji, Bahreza, Abud, Kishimba, n.k najua fika Chama kama hiki ndio kitakuwa chama halisi cha Upinzani kupambana na propaganda za CCM na mbwembwe za CHADEMA na kwa mpango w Mungu tunachukua Nchi kwa sanduku la kura. Natoa mfano tu maana nikianzisha Chama vingine vyote vitakufa na ndio maana niko vizuizini.

Msingi wa kushika dolla ni kujijenga kiuchumi kwa chama husika na kuunda mpango mkakati wa kusambaza chama.

Mipango ya kuua vyama vingine ndio njia ya kujiua wenyewe. Nawatakia Siku njema na mafanikio mema katika siasa uchwara zenye mazingaombwe utapiamulo.

deogratius Nalimi Kisandu

3 Januari 2017.
Kahama-Tanzania.
 
Mkuu nimejitaidi sana kusoma mstari kwa mstari sijaelewa, naona kama ni muendelezo wa matukio tofauti...

Bravo, anzisha chama mkuu, tutaku support sana tu.
 
CHADEMA INATAKA KUJIJENGA KWA KUUA NCCR Mageuzi, ACT, CUF, APPT, CHAUMA n.k NA CCM KUSHINDA MILELE.

Hali ya kisiasa nchini kwasasa haiko salama salimini. Mipango mingi inasukwa kila kona, wakati CCM wanawaza kumiliki nchi kama Monopartism na kupoteza upinzani, upande WA pili Chadema wanaza kuwa na Doublepartism nchini.

Malengo ya CCM na Chadema yanategemeana, Chadema wakifanikiwa Doublepartism Ruzuku inaweza kupigwa Stop na wakaangukia Choo cha kike, CCM wakifanikiwa Monopartism maisha ya wananchi yatakuwa magumu sana na Silent violence zitakuwa nyingi sana. Nakupinduana itakuwa ni jambo la kawaida sana.

Leo hii tunaona mikakati ya kuhakikisha tunabaki na Chama kimoja cha Upinzani inaendelea ikiwemo kufutia usajili vyama vingine vyote vidogovidogo na vile vyenye nguvu kuhakikisha watu wao mhimu wanahamia Chadema na kusababisha vyama hivyo navyo kufa kabisa na kubaki na chama kimoja tu cha upinzani ambacho ni Chadema.

Msingi huu unaendelea kuivuruga CUF kwa malengo ya Chadema kukubalika Zanzibar, kuivuruga NCCR Mageuzi kwa malengo ya kupoteza historia ya ukongwe WA Siasa za upinzani, kuivuruga ACT ili kupunguza nguvu ya Zitto. Na ndio maana wamefanikiwa kumuacha njia panda Kuga Mzray na Appt yake na Rungwe kazimika na Chauma yake, malengo haya ni hatari kwa msitakabali WA maslahi ya Kambare WA MTO Ruvu kuvua nyoka badala ya samaki.

Leo hii ukiwa uliza wapinzani kwanini mnatoa taarifa za uongo za Deogratius Kisandu ikiwemo kushiriki kumuwekea vikwazo vya kimaisha ninyi na CCM, watakwambia Kisandu tunamjua madhara yake. OK, fine.

Nchi haitakombolewa na Chadema na wala haitajengwa na CCM Bali Nchi yetu itajengwa na Watanzania wenyewe. Kwa kuangalia nani ni bora WA kuweza kusimamia rasilimali za Taifa.

Malengo ya CCM na Chadema sio mazuri. Wao wanataka tuwe na vyama viwili tu ili wawe wanabadlishana madaraka kama U.S.A bila kujua vyama vyetu vimejaa waganga njaaa kibao. Huu upuuzi WA wakijinga nani atausikiliza na kuufuata? Ili hali tunajua fika ikulu mnakonga cheers kila mkiitwa halafu tukubali Two Party System, haaah, sisi sio wavuta unga kama wasanii. Tunajua Akili zetu zinawaza mapana sana.

Leo hii Mimi Niko tayari kuunda Chama cha Siasa na akina Regina Mengi, Dewji, Bahreza, Abud, Kishimba, n.k najua fika Chama kama hiki ndio kitakuwa chama halisi cha Upinzani kupambana na propaganda za CCM na mbwembwe za Chadema. Na kwa mpango WA Mungu tunachukua Nchi kwa sanduku la kura. Natoa mfano tuu maana nikianzisha Chama vingine vyote vitakufa na ndio maana niko vizuizini.

Msingi WA kushika dolla ni kujijenga kiuchumi kwa chama husika na kuunda mpango mkakati WA kusambaza chama.

Mipango ya kuua vyama vingine ndio njia ya kujiua wenyewe. Nawatakia Siku njema na mafanikio mema katika Siasa Uchwara zenye mazingaombwe utapiamulo.

deogratius Nalimi Kisandu

3 Januari 2017.
Kahama-Tanzania.



SCHIZOPHRENIA
Is a long-term mental disorder of a type involving a breakdown in the relation between thought, emotion, and behavior, leading to faulty perception, inappropriate actions and feelings, withdrawal from reality and personal relationships into fantasy and delusion, and a sense of mental fragmentation.
 
Leo hii ukiwa uliza wapinzani kwanini mnatoa taarifa za uongo za Deogratius Kisandu ikiwemo kushiriki kumuwekea vikwazo vya kimaisha ninyi na CCM, watakwambia Kisandu tunamjua madhara yake. OK, fine.
Hapa tu ndio pamenifanya nishindwe kuendelea na makala yako, Rudi Kanisani ukatubu.
 
Duh!
Halafu kina Mwele wakisema Tanzania tuna matatizo wanatumbuliwa! Inaonekana Kisandu ana ubongo mdogo.
 
Sijaelewa kabisa,umerukaruka kama kuku anaetaka kufa.yaani lengo lako nini hasa?kama kuanzisha chama ungekuwa tu straight ueleweke
 
CHADEMA INATAKA KUJIJENGA KWA KUUA NCCR Mageuzi, ACT, CUF, APPT, CHAUMA n.k NA CCM KUSHINDA MILELE.

Hali ya kisiasa nchini kwasasa haiko salama salimini. Mipango mingi inasukwa kila kona, wakati CCM wanawaza kumiliki nchi kama Monopartism na kupoteza upinzani, upande WA pili Chadema wanaza kuwa na Doublepartism nchini.

Malengo ya CCM na Chadema yanategemeana, Chadema wakifanikiwa Doublepartism Ruzuku inaweza kupigwa Stop na wakaangukia Choo cha kike, CCM wakifanikiwa Monopartism maisha ya wananchi yatakuwa magumu sana na Silent violence zitakuwa nyingi sana. Nakupinduana itakuwa ni jambo la kawaida sana.

Leo hii tunaona mikakati ya kuhakikisha tunabaki na Chama kimoja cha Upinzani inaendelea ikiwemo kufutia usajili vyama vingine vyote vidogovidogo na vile vyenye nguvu kuhakikisha watu wao mhimu wanahamia Chadema na kusababisha vyama hivyo navyo kufa kabisa na kubaki na chama kimoja tu cha upinzani ambacho ni Chadema.

Msingi huu unaendelea kuivuruga CUF kwa malengo ya Chadema kukubalika Zanzibar, kuivuruga NCCR Mageuzi kwa malengo ya kupoteza historia ya ukongwe WA Siasa za upinzani, kuivuruga ACT ili kupunguza nguvu ya Zitto. Na ndio maana wamefanikiwa kumuacha njia panda Kuga Mzray na Appt yake na Rungwe kazimika na Chauma yake, malengo haya ni hatari kwa msitakabali WA maslahi ya Kambare WA MTO Ruvu kuvua nyoka badala ya samaki.

Leo hii ukiwa uliza wapinzani kwanini mnatoa taarifa za uongo za Deogratius Kisandu ikiwemo kushiriki kumuwekea vikwazo vya kimaisha ninyi na CCM, watakwambia Kisandu tunamjua madhara yake. OK, fine.

Nchi haitakombolewa na Chadema na wala haitajengwa na CCM Bali Nchi yetu itajengwa na Watanzania wenyewe. Kwa kuangalia nani ni bora WA kuweza kusimamia rasilimali za Taifa.

Malengo ya CCM na Chadema sio mazuri. Wao wanataka tuwe na vyama viwili tu ili wawe wanabadlishana madaraka kama U.S.A bila kujua vyama vyetu vimejaa waganga njaaa kibao. Huu upuuzi WA wakijinga nani atausikiliza na kuufuata? Ili hali tunajua fika ikulu mnakonga cheers kila mkiitwa halafu tukubali Two Party System, haaah, sisi sio wavuta unga kama wasanii. Tunajua Akili zetu zinawaza mapana sana.

Leo hii Mimi Niko tayari kuunda Chama cha Siasa na akina Regina Mengi, Dewji, Bahreza, Abud, Kishimba, n.k najua fika Chama kama hiki ndio kitakuwa chama halisi cha Upinzani kupambana na propaganda za CCM na mbwembwe za Chadema. Na kwa mpango WA Mungu tunachukua Nchi kwa sanduku la kura. Natoa mfano tuu maana nikianzisha Chama vingine vyote vitakufa na ndio maana niko vizuizini.

Msingi WA kushika dolla ni kujijenga kiuchumi kwa chama husika na kuunda mpango mkakati WA kusambaza chama.

Mipango ya kuua vyama vingine ndio njia ya kujiua wenyewe. Nawatakia Siku njema na mafanikio mema katika Siasa Uchwara zenye mazingaombwe utapiamulo.

deogratius Nalimi Kisandu

3 Januari 2017.
Kahama-Tanzania.
Wewe tokea utoke chadema umekosa uelekeo na umebaki kutapatapa tu. Chadema haiwezi kuwakataa watu wanaohamia kisa walikuwa watu muhimu kwenye vyama vya upinzani. Mbona hivyo vyama vilipokea hao watu muhimu kutokana chadema na hukuongelea? Kama ni kina kafurila walitoka chadema na alikuwa kiongozi chadema sasa kurudi chadema unaanza kuropoka.
 
Naaminu kampeni hio itafeli tu kubaki na vyama 2 ni hatari kwa nadicteta wa vyama vya siasa akutakua na uhuru wa kujieleza mbele ya viongozi vijana wengi watapotea kusiasa ilhali wana vipaji
 
Weka sera za chama chako unachotaka kuanzisha, preliminary policy
 
Fr Kisandu heshima kwako.
Imani na siasa ni lazima uchague ki1.
Unaongoza watu katika dini hapo hapo unaingia siasani hakika utapoteza watu.
Kanisani tunaongelea siasa lkn sio kuonesha mapenzi ya waz waz wa mrengo flan hakika hapo utatofautiana na waumini wako au nao wawe vichaa.
Naam nasema hata sasa tazama umekuwa ni m1 kati ya wachumia tumbo kwa kaisari.... Achana na mawazo yako nawe umrudie aliye juu.
Ya nini kujitaabisha na ya kaisari angali aliye juu ajua kesho yako? Basi chagua fungu lililo jema.

Amani iwe kwako



CHADEMA INATAKA KUJIJENGA KWA KUUA NCCR Mageuzi, ACT, CUF, APPT, CHAUMA n.k NA CCM KUSHINDA MILELE.

Hali ya kisiasa nchini kwasasa haiko salama salimini. Mipango mingi inasukwa kila kona, wakati CCM wanawaza kumiliki nchi kama Monopartism na kupoteza upinzani, upande WA pili Chadema wanaza kuwa na Doublepartism nchini.

Malengo ya CCM na Chadema yanategemeana, Chadema wakifanikiwa Doublepartism Ruzuku inaweza kupigwa Stop na wakaangukia Choo cha kike, CCM wakifanikiwa Monopartism maisha ya wananchi yatakuwa magumu sana na Silent violence zitakuwa nyingi sana. Nakupinduana itakuwa ni jambo la kawaida sana.

Leo hii tunaona mikakati ya kuhakikisha tunabaki na Chama kimoja cha Upinzani inaendelea ikiwemo kufutia usajili vyama vingine vyote vidogovidogo na vile vyenye nguvu kuhakikisha watu wao mhimu wanahamia Chadema na kusababisha vyama hivyo navyo kufa kabisa na kubaki na chama kimoja tu cha upinzani ambacho ni Chadema.

Msingi huu unaendelea kuivuruga CUF kwa malengo ya Chadema kukubalika Zanzibar, kuivuruga NCCR Mageuzi kwa malengo ya kupoteza historia ya ukongwe WA Siasa za upinzani, kuivuruga ACT ili kupunguza nguvu ya Zitto. Na ndio maana wamefanikiwa kumuacha njia panda Kuga Mzray na Appt yake na Rungwe kazimika na Chauma yake, malengo haya ni hatari kwa msitakabali WA maslahi ya Kambare WA MTO Ruvu kuvua nyoka badala ya samaki.

Leo hii ukiwa uliza wapinzani kwanini mnatoa taarifa za uongo za Deogratius Kisandu ikiwemo kushiriki kumuwekea vikwazo vya kimaisha ninyi na CCM, watakwambia Kisandu tunamjua madhara yake. OK, fine.

Nchi haitakombolewa na Chadema na wala haitajengwa na CCM Bali Nchi yetu itajengwa na Watanzania wenyewe. Kwa kuangalia nani ni bora WA kuweza kusimamia rasilimali za Taifa.

Malengo ya CCM na Chadema sio mazuri. Wao wanataka tuwe na vyama viwili tu ili wawe wanabadlishana madaraka kama U.S.A bila kujua vyama vyetu vimejaa waganga njaaa kibao. Huu upuuzi WA wakijinga nani atausikiliza na kuufuata? Ili hali tunajua fika ikulu mnakonga cheers kila mkiitwa halafu tukubali Two Party System, haaah, sisi sio wavuta unga kama wasanii. Tunajua Akili zetu zinawaza mapana sana.

Leo hii Mimi Niko tayari kuunda Chama cha Siasa na akina Regina Mengi, Dewji, Bahreza, Abud, Kishimba, n.k najua fika Chama kama hiki ndio kitakuwa chama halisi cha Upinzani kupambana na propaganda za CCM na mbwembwe za Chadema. Na kwa mpango WA Mungu tunachukua Nchi kwa sanduku la kura. Natoa mfano tuu maana nikianzisha Chama vingine vyote vitakufa na ndio maana niko vizuizini.

Msingi WA kushika dolla ni kujijenga kiuchumi kwa chama husika na kuunda mpango mkakati WA kusambaza chama.

Mipango ya kuua vyama vingine ndio njia ya kujiua wenyewe. Nawatakia Siku njema na mafanikio mema katika Siasa Uchwara zenye mazingaombwe utapiamulo.

deogratius Nalimi Kisandu

3 Januari 2017.
Kahama-Tanzania.
 
NI RAHISI KUIRUBUNI CCM LAKINI SIYO ACT. NI CHAMA CHENYE MISINGI YAKE MIZURI.
 
Hivi Kisandu umeangalia kichwa cha habari kweli????CHADEMA inaitapeli CHADEMA?????au umetumia WANZUKI???
 
sijakuelewa mtoa mada. mimi ni muumini wa demokrasia na utawala bora. lakini siungi mkono kuwa na vyama lukuki. ningependa nchi yetu iwe na vyama vingi visivyozidi vitatu vyenye nguvu. kuwa na vyama vingi visivyo na nguvu ni kazi bureee...
 
Huyu mbona anahangaika kama samaki aliyetolewa majini na kutupwa mchangani. Au ndiyo anaupigia jaramba udc wa misenyi kwani kuna harufu ya huyo wa sasa kutumbuliwa.
 
Huyu mbona anahangaika kama samaki aliyetolewa majini na kutupwa mchangani. Au ndiyo anaupigia jaramba udc wa misenyi kwani kuna harufu ya huyo wa sasa kutumbuliwa.

Mimi sina habari na vyeo vyao.Nataka Uhuru WA maisha yangu na wanangu.
 
Back
Top Bottom