Heshima yako waambie hawa waliozoea bao la mkono kuwa mwisho wao ni oktoba 2015Sawa. Tukutane tarehe 25.10.2015 ila naomba nikuhakikishie oktoba CCM haishindi, kama mlitegemea kuiba kura, nikupe taarifa tu kuwa kuna watu wataingia hapa Nchini tarehe 23 August mahususi kwa ajili hiyo...
Naona hutanielewa kwa sasa, tusubiri 23 August...