janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.