Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,993
Ilikuokoa soka la Tanzania hatua za dharula za kumng'oa Wallace Karia zichukuliwe
What a waste, sio shabiki wa karia but kwa hili ni kama mtoto x katukaniwa babake na mtoto y alaf mashtaka kapelekewa baba y, expectations zake sijui ni nini,bila kujua baba y nae anamtegemea y wke kwa malengo flani ya Future.
Hapo tu ndipo naChadema nawapendea hapo tu, mko mbele mile 1000 kwa kila jambo.
Hilo povu linaonesha tu jinsi ulivyoshiwa na bado uniita ni minor issue huku povu linakutoka.What a waste, sio shabiki wa karia but kwa hili ni kama mtoto x katukaniwa babake na mtoto y alaf mashtaka kapelekewa baba y, expectations zake sijui ni nini,bila kujua baba y nae anamtegemea y wke kwa malengo flani ya Future.
Akili ndogo tu ilihitajika kbla ya kuunda hii tissue paper kwanza, " know your enemy before attacking them" ,
Ushauri mwingine mdgo tu,minor issues waachiwe mataei ya vijana iwe chadema,cuf au ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Buku Saba onesha kosa hapo!!Afadhali wangetafsiri na Google. Wazee kama akina Baregu hawawezi kupitia hicho Kiingereza kwanza?
Sio kwajili ya maslai yenu hivi nyinyi si ndo mnapampana kutafuta uhuru wa kuongea Au mnataka nyie tu?Ilikuokoa soka la Tanzania hatua za dharula za kumng'oa Wallace Karia zichukuliwe
Wangeifungia TFF milele, najua atateuliwa kuwa mkuu wa wilaya lakini katuchosha huko TFFSiku za Karia TFF zinahesabika
Yaani hiki chama kinahangaika sana! Hakina vision completely!! Mara wahangaike na mashoga mara kutetea mafisadi. Halafu eti tuwape nchi kweli??!! Labda wakaanzie porini ila naogopa wanaweza kuliwa na simba mapema tu!
Hivi Uhuru wa kuongea Una application kwa wapinzani wa Tanzania?Ilikuokoa soka la Tanzania hatua za dharula za kumng'oa Wallace Karia zichukuliwe
Je huo ni uhuru wa kuongea alioufanya Karia? Je angesema kuna mapombe magufuli kwenye michezo, tuyaache na upombe magufuli wao. Je ingekuwa ni sawa!?Hivi Uhuru wa kuongea Una application kwa wapinzani wa Tanzania?
Naona wako ki nadharia Sana.
Naanza kuelewa Ile wanasaikolojia wanasema kuwa mtu anaepinga Sana juu ya tabia na mwenendo wa mwenzie kwa kutumia nguvu hata pasipo hitajika au kwenye minor issue hiyo ni reflection ya tabia yake halisi ya ndani.....
Maoni mbadala hayatakiwi kabisa kwa wanasiasa wetu na wafuasi wao halafu hawaachi kunyosheana vidole kwa expense ya wananchi wapiga debe wasiojielewa.....
Rehema inahitajika hakika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mnachokipigania ni nini ambacho pombe hakifanyi?Je huo ni uhuru wa kuongea alioufanya Karia? Je angesema kuna mapombe magufuli kwenye michezo, tuyaache na upombe magufuli wao. Je ingekuwa ni sawa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli hawa watu ndio wanaochanganya propaganda na mpira adi timu zetu zinashindwa kufanya vizuri sijawai kusikia hata siku moja Taifa stars imechukua kombeIlikuokoa soka la Tanzania hatua za dharula za kumng'oa Wallace Karia zichukuliwe
Unataka itafsiriwe ili hilo dude lenu lielewe??Afadhali wangetafsiri na Google. Wazee kama akina Baregu hawawezi kupitia hicho Kiingereza kwanza?
Daaaaaah sasa wewe umeandika nini ? Hivi umesoma content ya barua kweli au umekuja tu kucomment.?hahahaha Chadema kila siku huwa nawaambia mambo ya uhuru wa maoni ni rahisi kuyaongea lakini si kutenda