Martin Mwila
Member
- Nov 12, 2011
- 17
- 1
Nape is such a visionless person, the wind of change is blowing over tanzania,no one under the sun will surpress it,nape is running from his own shadow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0Mnyalukolo wilonga nyoni sana!
Vayago visika ukombozi veve wileta uudala kangi!
Kasombeni watu kwenye magari ili mjitahidi kujaza mkutano na wapate pa kupona kwa siku mbili hizi na sio kulomboka kama uji wa jela
wewe usiku wakati wana haha wewe ulikuwa wapi? hivi kwa nyomi ya jana chadema ni chama cha kuhaha na mkutano wa huyo mzee wa kujichubua..yaani kwasasa hivi nape hata mkutano ukiitishwa na diwani kupitia chadema na nape akawa na mkutano wakati huo huo nakuhakikishia diwani atafunia...
Nape kiboko yao.
masikini...dunderheads
Tunamwachia nape awape za mbavu, sisi tukija ni za uso tu. Mmesahau Jangwani? kwi kwi kwi teh teh teh!
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.
Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.
Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa