CHADEMA wahaha usiku kucha kuhujumu mkutano wa Nape Iringa

Nape is such a visionless person, the wind of change is blowing over tanzania,no one under the sun will surpress it,nape is running from his own shadow
 
Jana gari la nape lilikuja mpaka ruaha university nadhani walikua wanataka kuwahonga vijana waende kujaza mkutano wao kesho wakatukuta tupo kontena tunakula gambe na hakuna aliye angaika nao wakaona sooo wakasepa watu tulika tumetoka kwaenye m4c full furaha
 
Mimi naamini kuwa watu tumetofautiana sana. Hivi huyu jamaa anayesema jana makamanda walimshambulia Nape, alikuwepo mkutanoni au hakuwepo? Ukweli ni kuwa hakuna aliyemshambulia Nape ila tu ukweli uliongelewa na hasa kuhusu bajeti iliyosomwa na Mgimwa. Wanahaha kuzuia mkutano wa nape kwa kufanya nini? Mtu mwenye hekima hutoa taarifa iliyojiri na siyo fabrications zisizo na mashiko. Halafu ujue wengi wa unaowaambia walikuwepo mkutanoni!
 
Kasombeni watu kwenye magari ili mjitahidi kujaza mkutano na wapate pa kupona kwa siku mbili hizi na sio kulomboka kama uji wa jela
 
Wewe giza kuu ulishaona maiti ikichapwa viboko? Nape na CCM yenu ni sawa maiti,haitupi tabu. RIP CCM.
 

ajabu ilioje mikutano ya ccm ni ya pesa unapewa mafuta lita kumi na 10,000 mnagawana yeye 5000 na wewe 5000
kwa maoni yangu nape hata hajui nini anachotakiwa kufanya kazi yake kuzunguka tu ....tangu aseme wanahama ccm ni oil chafu ina maana wale aliokuwa anawapokea toka vyama vingine atawaitaje?
yaani yeye atafaidi kuijuwa nchi ...ili akimaliza kuiharibu ccm arudi ccj yake
 
wewe usiku wakati wana haha wewe ulikuwa wapi? hivi kwa nyomi ya jana chadema ni chama cha kuhaha na mkutano wa huyo mzee wa kujichubua..yaani kwasasa hivi nape hata mkutano ukiitishwa na diwani kupitia chadema na nape akawa na mkutano wakati huo huo nakuhakikishia diwani atafunia...

kaka hapo kwenye red pleasee. nape nae anatafuta ugali kwa vuvuzela lake ila umeenda mbali sana kumtukana kwa hivyo hii ni siasa tu najua una uchungu sana ila maneno makali namna hiyo please msamehe bure akiacha kulivumisha vuvuzela lake ujue ugali hana.
 
Jamani Tanzania ya leo ni ya .com siyo ya miaka ya sabini ya RTD mliwadanganya wananchi leo ni mambo hadharani. angalia nyomi hapo Iringa harafu lete hizo propaganda zako.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

Peeeoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssss.......una taka za Mtwara, Lindi, Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Songea, Kigoma, Dodoma, Manyara, Tanga,Bukoba, Shinyanga, Mara............chezea chadema wewe
 
Tunamwachia nape awape za mbavu, sisi tukija ni za uso tu. Mmesahau Jangwani? kwi kwi kwi teh teh teh!

wacha we....muambie michuzi acheze na photoshop tena watu waonekane wamejaaa...mmebanwa kabari hamuhemi..mtajamba sana mwaka huu
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na kasi ya Nape kufuta nyayo za cdm mikoani, cdm wakiongozwa na makamanda wao kadhaa wamehaha usiku kucha kuamkia leo kujaribu kuzuia mkutano wa CCM mjini Iringa utakaohutubiwa na Nape Nnauye.

Purukushani ilianza kwa kumbeba Zito na baadhi ya vijana wa cdm kina Millya na kufanya mkutano mjini Iringa ambao mkutano mzima uliishia kwa kumshambulia Nape na kuwataka watu wasihudhurie mkutano wa Nape leo.

Tuone leo mwitikio wa wana Iringa kwenye wito wa Nape au Msigwa

Mawazo yako yanaoneka ni vuvuzela kama Nape mwenyewe..nakushauri ukapime uwezo wako wa kuongea na kujenga hoja kwenye forum kama hii. Wewe kwako facebook hapa umepotea njia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom