CHADEMA wagomee ruzuku ili kudhihirisha hawautambui Uchaguzi Mkuu

Wewe unayetoa ruzuku unajua kuwa ili wapate ruzuku inatakiwa wakubali pia matokeo. Sasa watu hawajakubali matokeo utawapaje ruzuku?
Hii ni bonge la pointi. Nami naunga mkono na namshauri Msajili wa Vyama asitoe cheki ya ruzuku mpaka wameyakubali matokeo na wamepeleka Wabunge wa Viti Maalum Bungeni.
 
Ni haki ya CHADEMA kama chama kuwa na msimamo wa kisiasa ili kutimiza malengo yao ya kisiasa.

CHADEMA kutotambua matokeo yaUchaguzi Mkuu 2020 ni haki yao ya kisiasa lakini haki hiyo lazima iende na wajibu.

Huwezi kusema hautambui Uchaguzi Mkuu halafu hapo hapo ukaanza kupokea pesa zitokanazo na matokeo ya uchaguzi huo.

Ieleweke kuwa "Unapomkataa shetani ni lazima pia uyakatae mambo yake yote na fahari zake zote"

Sio unamkataa shetani halafu unaanza kuyakubali mambo yake na fahari zake!

Wahenga husema, "Yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa”

CHADEMA lazima waanze kuonyesha uaminifu kwa mambo madogo madogo ili pia wawe waaminifu kwa mambo makubwa!

Kama tujuavyo, Vyama vinavyopata ruzuku kutoka serikalini ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali za Udiwani, Ubunge na Urais zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na pia vyama vyenye Wabunge au Madiwani.

Kwa kura ilizopata CHADEMA katika uchaguzi uliomalizika ni wazi kuwa inastahili kupata ruzuku kutoka serikalini.

Kama kweli CHADEMA hawautambui Uchaguzi Mkuu 2020 basi ni vizuri pia wasitambue ruzuku itokanayo na matokeo ya uchaguzi huo!
Wee vp ruzuku ya kiti kimoja tu wala haisaidii kitu 😂😂
 
Eti uende pale shivaz kwa wale wadada wanaojiuza umwambie twende..

nitakupa 1m kwa usiku mmoja tu,jinsi huyo dada atavyokurukia shingoni..

hutoamini kwa furaha ya taarifa njema na bora kuwahi kusikia tangu dunia iumbwe..
 
Bila Ruzuku CHADEMA haiwezi kusurvive.

Hiki ndio kipimo sahihi cha upinzani,

Watakaobakia wamesimama watakua wamejitolea kweli ila sioni hilo likitokea.

Hata kama likitokea itakua kwa kuficha aibu tu na si vinginevyo.
EU wanaangalia uwezekano wa kusupport NGO na wapigania demokrasia hakika dodo.itadondokea sehemu.za madafu za kazi gani
 
Ni haki ya CHADEMA kama chama kuwa na msimamo wa kisiasa ili kutimiza malengo yao ya kisiasa.

CHADEMA kutotambua matokeo yaUchaguzi Mkuu 2020 ni haki yao ya kisiasa lakini haki hiyo lazima iende na wajibu.

Huwezi kusema hautambui Uchaguzi Mkuu halafu hapo hapo ukaanza kupokea pesa zitokanazo na matokeo ya uchaguzi huo.

Ieleweke kuwa "Unapomkataa shetani ni lazima pia uyakatae mambo yake yote na fahari zake zote"

Sio unamkataa shetani halafu unaanza kuyakubali mambo yake na fahari zake!

Wahenga husema, "Yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa”

CHADEMA lazima waanze kuonyesha uaminifu kwa mambo madogo madogo ili pia wawe waaminifu kwa mambo makubwa!

Kama tujuavyo, Vyama vinavyopata ruzuku kutoka serikalini ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali za Udiwani, Ubunge na Urais zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na pia vyama vyenye Wabunge au Madiwani.

Kwa kura ilizopata CHADEMA katika uchaguzi uliomalizika ni wazi kuwa inastahili kupata ruzuku kutoka serikalini.

Kama kweli CHADEMA hawautambui Uchaguzi Mkuu 2020 basi ni vizuri pia wasitambue ruzuku itokanayo na matokeo ya uchaguzi huo!
Hivi nyinyi hamjawahi kuwaza beyond ruzuku ?
 
Kuwazuia akina mama wa viti maalumu kwenda Bungeni wakati huohuo bi Aida yupo Bungeni kama mwanachama hai na Mbunge wa CHADEMA ni kupractice double standards

Time will tell na ni busara kuweka akiba ya maneno maana watu hawakawii kupiga U-turn
 
Bila Ruzuku CHADEMA haiwezi kusurvive.

Hiki ndio kipimo sahihi cha upinzani,

Watakaobakia wamesimama watakua wamejitolea kweli ila sioni hilo likitokea.

Hata kama likitokea itakua kwa kuficha aibu tu na si vinginevyo.
Kumbuka upinzani siyo chadema Wala vyama,upinzani ni watu,
Mataga wakitaka upinzani ufe,inabidi uwauwe wananchi wote ubaki peke yako.
 
Bora taratibu mmeanza kuelewa uchafuzi mloufanya tarehe October,28. Mmeiba,mkala mkasaza sasa mnaanza kujadili upuuzi....

Na wewe pia kwa akili zako ukapoteza muda kujadili upuuzi!

Kwa mantiki hii ni nani anaonekana mpuuzi zaidi?
 
Habarin wana jamvi kichwa cha habar chahusika maandishi mengi niliyoyasoma humu ndani hususan kuhusu swala la hawa wabunge ambao wameenda bungen bila ridhaa ya chama yanatanabaisha fika kuwa cdm kimejizuia kupeleka wabunge bungen kutokana na kutoridhishwa na mchakato wa uchaguz lkn ktk mchakato huo huo wa uchaguz cdm Kuna kias cha pesa ya ruzuku watapata lkn sijaona km kuhusu swala wamelitolea ufafanuz km chama kitapokea hiyo pesa au hawataipokea na km hawataipokea chama kitaishi vp ikiwa hapo kabla ruzuku ilikuwepo na bado hali ilikua tete,NAWAKILISHA.
 
Hawawezi gomea sababu uchaguzi wameukubali ulikua wa haki kupitia mbunge wao wa nkasi Aida khenani!
Ni haki ya CHADEMA kama chama kuwa na msimamo wa kisiasa ili kutimiza malengo yao ya kisiasa.

CHADEMA kutotambua matokeo yaUchaguzi Mkuu 2020 ni haki yao ya kisiasa lakini haki hiyo lazima iende na wajibu.

Huwezi kusema hautambui Uchaguzi Mkuu halafu hapo hapo ukaanza kupokea pesa zitokanazo na matokeo ya uchaguzi huo.

Ieleweke kuwa "Unapomkataa shetani ni lazima pia uyakatae mambo yake yote na fahari zake zote"

Sio unamkataa shetani halafu unaanza kuyakubali mambo yake na fahari zake!

Wahenga husema, "Yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa”

CHADEMA lazima waanze kuonyesha uaminifu kwa mambo madogo madogo ili pia wawe waaminifu kwa mambo makubwa!

Kama tujuavyo, Vyama vinavyopata ruzuku kutoka serikalini ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali za Udiwani, Ubunge na Urais zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na pia vyama vyenye Wabunge au Madiwani.

Kwa kura ilizopata CHADEMA katika uchaguzi uliomalizika ni wazi kuwa inastahili kupata ruzuku kutoka serikalini.

Kama kweli CHADEMA hawautambui Uchaguzi Mkuu 2020 basi ni vizuri pia wasitambue ruzuku itokanayo na matokeo ya uchaguzi huo!
 
Ni haki ya CHADEMA kama chama kuwa na msimamo wa kisiasa ili kutimiza malengo yao ya kisiasa.

CHADEMA kutotambua matokeo yaUchaguzi Mkuu 2020 ni haki yao ya kisiasa lakini haki hiyo lazima iende na wajibu.

Huwezi kusema hautambui Uchaguzi Mkuu halafu hapo hapo ukaanza kupokea pesa zitokanazo na matokeo ya uchaguzi huo.

Ieleweke kuwa "Unapomkataa shetani ni lazima pia uyakatae mambo yake yote na fahari zake zote"

Sio unamkataa shetani halafu unaanza kuyakubali mambo yake na fahari zake!

Wahenga husema, "Yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa”

CHADEMA lazima waanze kuonyesha uaminifu kwa mambo madogo madogo ili pia wawe waaminifu kwa mambo makubwa!

Kama tujuavyo, Vyama vinavyopata ruzuku kutoka serikalini ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali za Udiwani, Ubunge na Urais zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na pia vyama vyenye Wabunge au Madiwani.

Kwa kura ilizopata CHADEMA katika uchaguzi uliomalizika ni wazi kuwa inastahili kupata ruzuku kutoka serikalini.

Kama kweli CHADEMA hawautambui Uchaguzi Mkuu 2020 basi ni vizuri pia wasitambue ruzuku itokanayo na matokeo ya uchaguzi huo!
Acha ujinga,luzuku ni haki ya vyama,inatolewa kwa mujibu wa Sheria,kila mwezi chama kinapewa luzuku,sio wakati wa uchaguzi tu,
Vigome kupokea luzuku,harafu vitajiendeshaje?
Unafikiri luzuku ni fedha ya ccm,ni fedha ya umma,fedha ya walipa kodi.sio pesa ya ccm,
Ungeanza kuwaambia ccm,waache kuiba kura kwenye uchaguzi,hii nchi sio mali ya ccm,tupo watu 55M,ccm inawanachama 8M tu,tumia akili.
Luzuku sio hisani,
 
Back
Top Bottom