Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Ujue Chadema mtafuta sana kura na mnakusanya watu, lakini mnafahamu tulimpoteza Aqwillina kwa sababu gani?
Mnawaandaje MAWAKALA wenu wa kuhesabu kura kuhusu kurubuniwa, kuoapishwa na kunyimwa forms?
Mnajua kua CCM wana options za mbinu zaidi ya 10 kuhakikisha kuwa wanashinda?
Mna kazi nzito sana mbeleni. Nawapa pole kubwa, mlipotoka ni rahisi sana kuliko mnajoelekea. Nadhani maneno ya NEC mmeyasikia kabisa ambayo kwa upande wangu ni biased kabisa.
Jipangeni sawasawa. Hili suala la watu wa kusimamia kura ni jambo gumu sana mpaka mpinzani ashinde.
MAWAKALA na WASIMAMIZI wa uchaguzi ndio watakaosababisha kushinda na kushindwa kwa mtu.
Take care!
Mnawaandaje MAWAKALA wenu wa kuhesabu kura kuhusu kurubuniwa, kuoapishwa na kunyimwa forms?
Mnajua kua CCM wana options za mbinu zaidi ya 10 kuhakikisha kuwa wanashinda?
Mna kazi nzito sana mbeleni. Nawapa pole kubwa, mlipotoka ni rahisi sana kuliko mnajoelekea. Nadhani maneno ya NEC mmeyasikia kabisa ambayo kwa upande wangu ni biased kabisa.
Jipangeni sawasawa. Hili suala la watu wa kusimamia kura ni jambo gumu sana mpaka mpinzani ashinde.
MAWAKALA na WASIMAMIZI wa uchaguzi ndio watakaosababisha kushinda na kushindwa kwa mtu.
Take care!