Chadema wafanye strategic move kuhamishia makao makuu ya chama mwanza

George Maige Nhigula Jr.

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
470
149
Ndugu wana JF,

Napenda kutoa maoni yangu huru juu ya umuhimu wa CHADEMA kuhamishia makao makuu ya chama Kanda ya Ziwa na ofisi kuu ndogo kubaki Dar es salaam na mbeya kwa nyanda za juu kusini.

Hii itakuwa ni mkakati wa makusudi kukifanya chama kuwa karibu na zones za wapiga kura wengi na walio kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini na kuweza ku penetrate vijijini ambako ndio iwe road map ya ushindi wa viti vingi vya serikari za mitaa na uchaguzi mkuu 2014 na 2015 respectively.

Hii itaonesha nia thabiti na utashi wa kisiasa wa chadema kuwa karibu na wapiga kura wengi hususani kanda ya ziwa yaani mwanza, shinyanga, mara, kagera, kigoma na Tabora. na ofisi kuu ndogo Mbeya itasaidia kuhudumia mikoa ya mbeya, iringa, ruvuma, Rukwa na baadhi ya mikoa ya kusini kama mtwara na lindi, hali kadhalika ofisi kuu ndogo ya Dar es salaam, itahudumia mikoa ya dar, pwani, Tanga, morogoro, na kanda ya kati na kazikazini.

Strategy hiyo itaweza kuwaonesha wananchi wa maeneo hayo kuwa Chadema inawathamini na inakwenda kwa wapiga kura sio kulindikana Dar es salaam kama vyama vingine vingi vilivyorundikana Dar es salaam,

Hali kadhalika Chadema watumie RUZUKU watakazozipata kipindi hiki kujenga majengo ya Makao makuu mwanza yenye hadhi ya kuwa kitega uchumi cha chama na sisi wanachama tutajitolea michango ya hali na mali kwa ujenzi wa ofisi za makao makuu ambayo itakuwa landmark ya mapambano ya kuiondoa ccm madarakani 2015, na kuendelea kujenga majengo yatakayokuwa landmark ya chama kwenye ofisi ndogo kuu za kanda Dar es salaam na mbeya.

Hatutaki kuiona chadema inakuwa na sura ya kimaskini wakati uwezo wa kuwekeza kwenye majengo ya kisasa na headquarters za kisasa tunao, hiyo headquarter ya CHADEMA pale kinondoni haifai kabisa kwa hadhi ya chama kikuu cha upinzani Tanzania, hivyo is time now kubadilisha sura na muonekano wa chama towards 2015.

Napenda Mh. Mwenyekiti Freeman Mbowe atumie nafasi hii kwa kuonesha mfano wa kutenga nusu ya 100milioni anazopata kama kiongozi wa upinzani bungeni zichangie ujenzi wa makao makuu ya chama ya kisasa mkoani mwanza, na percentage flani ya ruzuku itengwe kuchangia mfuko huo wa ujenzi wa makao makuu ya kisasa na wanachama tuhamasishwe kuchangia ujenzi huo na mimi nitakuwa mstari wa mbele kuchangia na kutafuta wazamini.

Tunaomba watalamu ambao ni wapenzi wa chadema hapa JF waje na master plan ya majengo hayo ambayo yatakuwa na ofisi, kumbi za mikutano na hoteli za kimataifa, na shopping malls, lengo ni kuwa na headquarter ambayo itakuwa kitega uchumi cha chama, chadema need to aim higher hivi sasa wakati wa small plan imepita lazima tuje na big plans na watueneshe wananchi kuwa wako serious na kujenga chama chenye sura ya kitaifa na kujikita kwa wananchi ambao ndo wapiga kura.

Haya ni mawazo yangu huru, Naomba kama kuna mdau ana mawazo tofauti au ya kuboresha zaidi idea basi tujadiliane, pesa za ruzuku lazima ziwe invested kwenye kujenga ofisi za kudumu za chama, kuna wazalendo watajitolea hata viwanja kwani vuguvugu la ukombozi limepamba moto na wakati wa kufanya mambo makuubwa ni huu.
 
Chadema inahitaji kujitofautisha kabisa na vyama vya kisanii kwa kufanya mambo makubwa ya kukuza image ya chama in two years time hilo linawezekana kabisa kwa kutumia rasirimali za chama kama vile ruzuku na wabunge wote wa chama wapitishe azimio la pamoja la kukubaliana kukatwa percentage kwenye mishahara yao kuchangia ujenzi wa headquarters za kisasa na vitakuwa ndo vitega uchumi vya chama for many years to come, pili watumie nguvu ya umma kwenye kuhamasisha michango ya fedha na nguvu kazi ya watu wenye ujuzi mbalimbali kujitolea kujenga chama.

Nashindwa kuelewa ni kwa nini mpaka sasa CHADEMA wanashindwa kuanza kufanya mambo makubwa wakati wana support kubwa sana ya wananchi, this is an opportunity ambayo inapotea bila kujua, DR. SLAA anatakiwa awe bussy sana hivi sasa kubadilisha sura ya chama towards 2015 in short time, na wananchi watajua kweli hiki ndo chama chenye malengo makubwa and is here to stay.
 
Napenda kutoa maoni yangu huru juu ya umuhimu wa CHADEMA kuhamishia makao makuu ya chama Kanda ya Ziwa na ofisi kuu ndogo kubaki Dar es salaam na mbeya kwa nyanda za juu kusini.

Duh! Muihamishe ile CLUB BILLICANAS pia! Mweee!!!!
 
I agree with idea. Ni kweli CDM wabunifu wazo hili ni jema sana kuhamishia office mwanza na kitawala mwanza vizuri
 
'Executive' kimsingi nakubaliana na wazo lako zuri.

Ili kufanyika hayo yanayopendekezwa na mengine makubwa zaidi ni lazima CHADEMA baada ya kupata mafanikio makubwa ya kuungwa mkono na Watanzania walio wengi ni lazima iwapate viongozi thabiti, wenye upeo na ushawishi, na walio makini katika ngazi za wilaya na mikoa.

Viongozi wa CHADEMA wa mikoa na wilaya katika maeneo mengi hawana upeo mkubwa wa kuweza kusimamia chama kikamilifu. Wazo langu kwa CHADENA ni kuangalia uwezekano wa kuandaa uchaguzi wa chama katika ngazi zote ili kupata viongozi wenye mtazamo mpya wa maendeleo ya chama katika ngazi zote, na wale wa mwanzo waendelee kuheshimiwa kwa dhamira yao njema na jitihada walizozifanya kukifikisha chama katika ngazi hii lakini wasiendelee kupewa uongozi kama shukrani kwa kujitolea kwao kwa siku za huko nyuma kama itaonekana hawana uwezo wa kukabiliana na changamoto za sasa.
 
Ndugu wana JF,

Napenda kutoa maoni yangu huru juu ya umuhimu wa CHADEMA kuhamishia makao makuu ya chama Kanda ya Ziwa na ofisi kuu ndogo kubaki Dar es salaam na mbeya kwa nyanda za juu kusini.

Hii itakuwa ni mkakati wa makusudi kukifanya chama kuwa karibu na zones za wapiga kura wengi na walio kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini na kuweza ku penetrate vijijini ambako ndio iwe road map ya ushindi wa viti vingi vya serikari za mitaa na uchaguzi mkuu 2014 na 2015 respectively.

Hii itaonesha nia thabiti na utashi wa kisiasa wa chadema kuwa karibu na wapiga kura wengi hususani kanda ya ziwa yaani mwanza, shinyanga, mara, kagera, kigoma na Tabora. na ofisi kuu ndogo Mbeya itasaidia kuhudumia mikoa ya mbeya, iringa, ruvuma, Rukwa na baadhi ya mikoa ya kusini kama mtwara na lindi, hali kadhalika ofisi kuu ndogo ya Dar es salaam, itahudumia mikoa ya dar, pwani, Tanga, morogoro, na kanda ya kati na kazikazini.

Strategy hiyo itaweza kuwaonesha wananchi wa maeneo hayo kuwa Chadema inawathamini na inakwenda kwa wapiga kura sio kulindikana Dar es salaam kama vyama vingine vingi vilivyorundikana Dar es salaam,

Hali kadhalika Chadema watumie RUZUKU watakazozipata kipindi hiki kujenga majengo ya Makao makuu mwanza yenye hadhi ya kuwa kitega uchumi cha chama na sisi wanachama tutajitolea michango ya hali na mali kwa ujenzi wa ofisi za makao makuu ambayo itakuwa landmark ya mapambano ya kuiondoa ccm madarakani 2015, na kuendelea kujenga majengo yatakayokuwa landmark ya chama kwenye ofisi ndogo kuu za kanda Dar es salaam na mbeya.

Hatutaki kuiona chadema inakuwa na sura ya kimaskini wakati uwezo wa kuwekeza kwenye majengo ya kisasa na headquarters za kisasa tunao, hiyo headquarter ya CHADEMA pale kinondoni haifai kabisa kwa hadhi ya chama kikuu cha upinzani Tanzania, hivyo is time now kubadilisha sura na muonekano wa chama towards 2015.

Napenda Mh. Mwenyekiti Freeman Mbowe atumie nafasi hii kwa kuonesha mfano wa kutenga nusu ya 100milioni anazopata kama kiongozi wa upinzani bungeni zichangie ujenzi wa makao makuu ya chama ya kisasa mkoani mwanza, na percentage flani ya ruzuku itengwe kuchangia mfuko huo wa ujenzi wa makao makuu ya kisasa na wanachama tuhamasishwe kuchangia ujenzi huo na mimi nitakuwa mstari wa mbele kuchangia na kutafuta wazamini.

Tunaomba watalamu ambao ni wapenzi wa chadema hapa JF waje na master plan ya majengo hayo ambayo yatakuwa na ofisi, kumbi za mikutano na hoteli za kimataifa, na shopping malls, lengo ni kuwa na headquarter ambayo itakuwa kitega uchumi cha chama, chadema need to aim higher hivi sasa wakati wa small plan imepita lazima tuje na big plans na watueneshe wananchi kuwa wako serious na kujenga chama chenye sura ya kitaifa na kujikita kwa wananchi ambao ndo wapiga kura.

Haya ni mawazo yangu huru, Naomba kama kuna mdau ana mawazo tofauti au ya kuboresha zaidi idea basi tujadiliane, pesa za ruzuku lazima ziwe invested kwenye kujenga ofisi za kudumu za chama, kuna wazalendo watajitolea hata viwanja kwani vuguvugu la ukombozi limepamba moto na wakati wa kufanya mambo makuubwa ni huu.
Nikweli, hasa kwenye red, kwasababu wakristo tupo wengi hayo maeneo!. Tusisahau pia Kilimanjaro/Moshi na Iringa.
Tusisahau pia kumfukuza Zito kwa sababu anatuletea kiwingu na chama chetu ili tubaki peke yetu.
CHADEMA THINK TWICE, MSIPUUZIE HAYA MAMBO, OTHERWISE YOU WILL BE DYING INITIATIVELY. TRUST ME NA TUSIUKATAE UKWELI, KWANI KWA KUUKUBALI UTATUWEKA HURU.
 
Duh! Muihamishe ile CLUB BILLICANAS pia! Mweee!!!!

Nikweli, hasa kwenye red, kwasababu wakristo tupo wengi hayo maeneo!. Tusisahau pia Kilimanjaro/Moshi na Iringa.
Tusisahau pia kumfukuza Zito kwa sababu anatuletea kiwingu na chama chetu ili tubaki peke yetu.
CHADEMA THINK TWICE, MSIPUUZIE HAYA MAMBO, OTHERWISE YOU WILL BE DYING INITIATIVELY. TRUST ME NA TUSIUKATAE UKWELI, KWANI KWA KUUKUBALI UTATUWEKA HURU.
While others are scrutinizing to construct new ideas some people are buzy destroying them, siwashangai sana kwa vile ili ulimwengu ukamilike hatuna budi kuishi na mchanganyiko wa wapumbavu na wehu ndani, na ili JF ikamilike lazima watu kama nyie muwepo.
 
Asante Executive kwa hoja nono.

Naiunga hoja mkono mia kwa mia. Kwa kweli hiyo italeta changamoto kubwa kwa wananchi kuliko kulundikana Dar.

Nadhani pia itakuwa rahisi kwa ofisi iliyo Mbeya kuyafikia kwa karibu pia yanayojiri Songea-Tunduru, na ofisi ya Dar ikawajibika moja kwa moja kwa Lindi na mtwara-Masasi.

Bila shaka hii itasaidia kufikia sehemu zote za nchi yetu, pia itasaidia kutohitaji kutumia nguvu nyingi za kampeni 2015, kwani Chama kitakuwa kimekwisha enea vya kutosha.

Pia napendekeza kando ndogo kwa Arusha kuratibu shughuli zote za kanda ya kaskazini, mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara tukizingatia umuhimu wa eneo hilo kisiasa.

Ombi kwa uongozi wa Chadema, suala hili lisichukue miaka kutekelezwa.
 
Executive nimekupa tano mwana!
Ningependa kuanza kupata mrejesho wa mawazo yetu kutoka kwa Mbowe na Dr. Slaa.
Supu huwa tamu when served ikiwa moto, wasiache upepo huu upite!
 
Unaposema Chadema wafocus na wapiga kura wa kwanda ya ziwa, vipi wale wasiopo ktk kanda ya ziwa? Mwanza siyo center ya TZ, hiyo strategy yako itakiumiza chama.
 
Nami naunga mkono wazo hili, ni kukusudia na kujiamini yote ynawezekana. Mbona watu wanakwenda mwezini na wengine kwenye space na kutundika vitu huko!
 
Naunga mkono hoja 100%. Huu ni wakati wa kutumia vema ruzuku zilizopo kutanua chama ili kufanikisha ukombozi wa nchi yetu kutoka kwenye mikono ya majambazi.

Hii iambatane na kukipa hadhi chama kimsingi wa ofisi zao. Nilioneshwa ofisi ya CHADEMA ya mojawapo ya mkoa wa Tanzania niliotembelea hivi karibuni nikajisikia vibaya na chama ambacho nimekiamini kufanya mambo. Hebu angalia hii ndiyo ofisi yenyewe, sijui mikoa mingine
 

Attachments

  • IMG0074A.jpg
    IMG0074A.jpg
    40.3 KB · Views: 46
naunga mkono hoja! na hii italeta mwamko nchi nzima na kuondoa mambo ya everything in dar!
 
Mie siungi mkono hilo wazo. Napinga kwa sababu inabidi kupeleka msukumo zaidi kwa mikoa iliyolala na iwe katikati mwa nchi. Na hii inafanya niseme kuwa sehemu inapotakiwa kuwepo Makao Makuu ya Chadema ni TABORA.

Mkoa huu unafikika kiurahisi.

Ni mkoa masikini na kuwepo Makao Makuu, italeta changamoto kubwa sana.

Ni katikati ya Tanzania na ardhi si ya shida sana kupata sehemu ya kujenga Offisi na nyumba za kufikia wageni kama Investment ya Chama. Hali ya hewa ya Tabora ni nzuri tu.
Mwanza wameshaamka tayari. Huko iwepo Makao Makuu madogo kama itakavyokuwa Mbeya, Dar, Kilimanjaro/Arusha na Kigoma/Rukwa.

Twawakaribisha Tabora wakuu wote wa CHADEMA.
 
Mie siungi mkono hilo wazo. Napinga kwa sababu inabidi kupeleka msukumo zaidi kwa mikoa iliyolala na iwe katikati mwa nchi. Na hii inafanya niseme kuwa sehemu inapotakiwa kuwepo Makao Makuu ya Chadema ni TABORA.

Mkoa huu unafikika kiurahisi.

Ni mkoa masikini na kuwepo Makao Makuu, italeta changamoto kubwa sana.

Ni katikati ya Tanzania na ardhi si ya shida sana kupata sehemu ya kujenga Offisi na nyumba za kufikia wageni kama Investment ya Chama. Hali ya hewa ya Tabora ni nzuri tu.
Mwanza wameshaamka tayari. Huko iwepo Makao Makuu madogo kama itakavyokuwa Mbeya, Dar, Kilimanjaro/Arusha na Kigoma/Rukwa.

Twawakaribisha Tabora wakuu wote wa CHADEMA.

Nkhoi Sikonge you are complicated, you have complicated suggestions; rejea Slaa for presidency.

Inabidi sometime kuwa makini na maoni, mapendekezo, tusijali wishes zetu tu. Hii kwa kuzingatia kuwa viongozi wa CHADEMA wanatumia JF kama kitovu cha fikra, maujuzi na maushauri.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom