CHADEMA wanakwenda kwa Ratiba na wana strategies. Hawakurupuki, hawaendeshwi na matukio.Kama Dar haipo kwenye ratiba yao kwa sasa hawawawezi kufanya.Kwa vile dalilizote zinaonesha kuwa serikali ina lengo la kuwakamata Chadema kwa uhaini, ni vizuri wafanye mkutano mkubwa Dar es Salaam, wahamasishe peoples power ili pindi tu akikamatwa kiongozi yeyote wa Chadema, maandamano yaanzie hapohapo, vilevile naona serikali ya ccm inajiyafutia kifo chake yenyewe. Kwani Chadema hawajafanya uhaini wowote, wanachokiongea ni cha kawaida kabisa, sasa uhaini umetoka wapi? Hali ni mbaya kila mtu anaona. kwa hiyo ni dhambi kusema na kuwaeleza watanzania kuwa hali ni mbaya? Kwa nini watu hawataki kukosolewa? Anayesema hivyo nadhani hajaudhuria mkutano hata mmoja wa CDM. Mie sijaona baya lolote.
Sasa peoples powerrr iko hivi, mkijidanganya mkawakamata CDM, tunaanzia hapo kuingia barabarani nchi nzima. Naomba ufanywe nkutano mkubwa Dar fasta maana mambo yote yanaweza kuanzia hapo. Serikali muache vitisho ....... sasa wakamateni CDM muone .................cha .........moto.