Aibu kuu hii!
Kiongozi/Kada mzima kama wewe na mamlaka uliyopewa huyatumii vema! Kunda serikali na kuongoza wananchi mapa 2015.
Ndugu kama CHADEMA ni wauwaji na wewe unayodhamana ya kulinda raia na mali zao kwa nini hujawakamata wote akiwemo Mwita? Ni wazi CCM imeshindwa kutawala hili unalijua ! Any way anajua utakuwa atumikia cheo cha sandakalawe kama U-RC, UDC, na vingine visivyo na TBS. Ndiyo maana sisi wananchi wengi tulikukataa CCM! Msirudiei tena 2015 ni mwisho wenu.
badala ya kuusema ukweli unadaganya utakuta ni msomi mzuri tu! Mshauri vyema JK hata kama shule yako ni ya kuunga unga na vyuo vikuu vya kata. Shame upon U!