chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
nilikuwa jana kwenye mkutano wa CHADEMA mbongwe shinyanga na haya ndo niliyakuta.
1. Walipew tshs 30mil na ndugu Sabodo na jana ndo zilikuwa zinakabidhiwa kwa jimbo la Mbongwe ili kujenga ofisi za Chama . Mbongwe ipo katikati ya Kahama na Ushirombo hapa Shinyanga.
2.Wageni waalikwa alikuwa Mh.Silverster Mhoja Kasulumbali (MBunge), Mh. Kashindye mgombea wa CHADEMA igunga na Katibu wa CDM shinyanga Mh. Shilungushela
3. Matawa 3 yalifunguliwa ambayo yalipatikana katika uchaguzi ambao cdm ilishinda ccm vibaya sana hapa Masumbwe.
4. Mh.Shibuda alifadhili kwa karibu tukio hilo na Mh. Mhoja alimwakilisha DR. Slaa.
5. Ng'ombe wawili walichinjwa na wlitolewa na wapenzi wa cdm na baadaye kushukuriwa na Mwenyekiti wa cdm MBongwe bwana Omary
1. Walipew tshs 30mil na ndugu Sabodo na jana ndo zilikuwa zinakabidhiwa kwa jimbo la Mbongwe ili kujenga ofisi za Chama . Mbongwe ipo katikati ya Kahama na Ushirombo hapa Shinyanga.
2.Wageni waalikwa alikuwa Mh.Silverster Mhoja Kasulumbali (MBunge), Mh. Kashindye mgombea wa CHADEMA igunga na Katibu wa CDM shinyanga Mh. Shilungushela
3. Matawa 3 yalifunguliwa ambayo yalipatikana katika uchaguzi ambao cdm ilishinda ccm vibaya sana hapa Masumbwe.
4. Mh.Shibuda alifadhili kwa karibu tukio hilo na Mh. Mhoja alimwakilisha DR. Slaa.
5. Ng'ombe wawili walichinjwa na wlitolewa na wapenzi wa cdm na baadaye kushukuriwa na Mwenyekiti wa cdm MBongwe bwana Omary