CHADEMA waelewe kwamba mkubwa ni mkubwa tu!

Mkuu, shetani ni shetani tu, hata ukimsifu na kumuabudu lengo lake kubwa ni kukuangamiza ili uishie kwenye mauti na kuzimu. Ndiyo! Anaweza kukupa burudisho kupitia anasa na raha za maisha ya kidunia lakini moyoni mwake anatambua fika unakwenda kuangamia.

CCM ni kama shetani tu, inajiona ndiyo pekee yenye hati miliki ya kushikilia dola, iwe kwa halali ama hata kwa njia batili. Starehe na "peace of mind" kwake ni kuona ikishindana na vyama dhaifu vya ushindani.

Hata kama Madam President akimaanisha kufanya mazungumzo na CDM, bado mfumo ndani ya chama chake hautakubaliana naye. Yeye ni "figurehead" tu ndani ya chama chake, na wala hana uwezo wa kufanya "ultimate decision" ijapokuwa yeye ndiye mwenyekiti taifa.

Visitafutwe visingizio kupitia CDM. CCM haina nia ya dhati ya kutaka kufanya mazungumzo na vyama vingine, inatambua vyema kuwa hakuna "fair political landscape" hapa nchini. Na jambo hilo ndilo pekee lenye kuihakikishia usalama wake wa kuendelea kushika dola.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
asante umemweleza vema kabisa.
 
Ukubwa upi unaouzungumzia?

Hii ni nchi ya kidemokrasia, no body is above the law.
Lakin mbn marias wanakinga ya kutoshtakiwa ipi maana yake nadharia uliyoisema ya hakuna yoyote aliyejuu ya sheria naomba unifahamishe mkuu bila shaka wew unajua zaidi cheif naomba kuwasilisha

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna niliposema "waombe"...haki hudaiwa kwa akili sio kwa kukurupuka

Wewe ni boya tu. Nilipofikia “hata kabla msiba haujaisha” nikajua kuna upumbavu unafuata, sikuendelea kusoma.

Msiba zaidi ni jambo binafsi na la kifamilia/kidugu zaidi. Kama nchi hatuwezi kushikiliwa na msiba. Kiukweli hata katika familia, msiba si kitu kinachofunga maisha ya familia zinazojitambua, ni changamoto ya aina nyingine tu.

Ni lini msiba ungeisha?? Mbona Rais mwingine aliapishwa haraka na maisha yakaendelea?? Kama nchi hakuna tofauti kati ya kifo cha JPM na kuondoka kwa JK madarakani.

Ni wajinga tu ndio hudhani kifo ni jambo la bahati mbaya na linaloshikilia waliobaki na uhai!!
 
Wewe ni boya tu. Nilipofikia “hata kabla msiba haujaisha” nikajua kuna upumbavu unafuata, sikuendelea kusoma.

Msiba zaidi ni jambo binafsi na la kifamilia/kidugu zaidi. Kama nchi hatuwezi kushikiliwa na msiba. Kiukweli hata katika familia, msiba si kitu kinachofunga maisha ya familia zinazojitambua, ni changamoto ya aina nyingine tu.

Ni lini msiba ungeisha?? Mbona Rais mwingine aliapishwa haraka na maisha yakaendelea?? Kama nchi hakuna tofauti kati ya kifo cha JPM na kuondoka kwa JK madarakani.

Ni wajinga tu ndio hudhani kifo ni jambo la bahati mbaya na linaloshikilia waliobaki na uhai!!
Wewe usiyeboya umeandika kuchangia nini hapa sasa. Naona Kama wewe ndo boya kwa utapiamlo ulioandika hapa
 
Back
Top Bottom