Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
JF haina chama wanachamana wa JF ndio wana vyama na sio wote
mimi sina chama bali napenda ukweli bila unafiki.
kwa habar leo ni kichekesho kusema ni for truth and wisdom kuna jema gani au ukweli gani habari leo na magamba kwa Ujumla? hata nikinunua mandazi wakanifungia na hilo gazeti lenu huwa sipokei.
Hivi CCM ikianguka 2015 mtaandika nini tena?
mimi sina chama bali napenda ukweli bila unafiki.
kwa habar leo ni kichekesho kusema ni for truth and wisdom kuna jema gani au ukweli gani habari leo na magamba kwa Ujumla? hata nikinunua mandazi wakanifungia na hilo gazeti lenu huwa sipokei.
Hivi CCM ikianguka 2015 mtaandika nini tena?
Kumbe inawauma eeh!? Huu mtandao wenu jf-chadema tukiweka maoni mbadala faster wame delete, mbona hamsemi, habari leo for truth and wisdom