Elections 2010 Chadema wacheni makelele ,tujenge nchi

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Tukubalianeni kabisa kuwa uchaguzi umemalizika kwa salama,kama ni mechi ndio imekwisha na mshindi ameshatangazwa ,ikiwa ni rufaa basi wa kushitakiwa na kukabwa ni refa na sio mshindi ,ndivyo mambo yalivyo siku hizi.

Yale mambo ya lurudiwa mechi hayapo tena au tuseme yameshapitwa na wakati,Kikwete ametangazwa na ameshaunda serikali na sasa wamo katika kutekeleza sera zao na mikakati ya miaka mia ijayo.

Makelele au malalamishi ya kusema Kikwete sio Raisi halali hayana mshiko kwani tuelewavyo tume ikishatangaza kwa maneno ya Uswahilini ndio tunasema imeshatoka.

Mtihani ambao sio mdogo, ni wa kuhakikisha kuwa Katiba na tume vinabadilishwa kwa haraka sana na kila anepinga mabadiliko hayo huyo atangazwe rasmi kuwa ni adui wa Taifa hili la Tanzania.

Hapa tulipo baada ya mayowe ya siku mbili tu ,tayari wapingaji wameshaanza kutapatapa na wanachomoza kila pembe kuleta madai ya kuwa ni gharama kubwa kubadilisha Katiba na tume yake ,wengine wakidai kwa sasa hakuna au suala hilo halina umuhimu.

Kwa kuanzia kauli hizi ndio za kuanza nazo na kuzipinga kwa hali na mikutano na maandamano ya hapa na pale .kuzipinga kauli zenye kukatisha tamaa kama hizi na sio ziachwe ziote mizizi ,musisubiri nikimaanisha vyama vya upinzani viwe vyenye kutoa kauli nzito kupinga maadui hawa,pale wasemapo tu basi wasipewe muda wakazua jingine ,maana vyama vya upinzani vimetoa kauli za kutraka mabadiliko ,serikali na wasemaji wa CCM nao hawakusubiri wakarusha baruti zao,sasa hizi baruti ni lazima zisambaratishwe kwa kauli za papo kwa papo.

Tunasema tunahakikisha tunaingia kwenye uchaguzi 2015 na Katiba mpya na tume mpya.
 
Dhamira yako Mwiba ni nzuri, ila mbinu unayopendekeza ndiyo inayoonekana kupinda; kwani ili hayo madai ya katiba mpya yaweze kuungwa mkono na wote, kunahitajika kujengwa hoja madhubuti inayoonyesha wazi mapungufu ya katiba tuliyo nayo. Hoja hiyo haiwezi kujengeka bila ya kuonyesha ni kwa kiwango gani, katiba ya sasa imechangia katika kuminya uhuru wa wananchi katika kuchagua viongozi wawapendao.
 
Nchi haijengwi kwa matofali ya theluji. Yaani haijengeki kwenye msingi wa uchakachuaji. Chademe hawana makelele. Wenye makelele ni ccm hawajajua hatma yao. Kifupi wamezingirwa hajengi mtu ni bomoa nchi wote tuwe wakimbizi
 
Tukubalianeni kabisa kuwa uchaguzi umemalizika kwa salama,kama ni mechi ndio imekwisha na mshindi ameshatangazwa ,ikiwa ni rufaa basi wa kushitakiwa na kukabwa ni refa na sio mshindi ,ndivyo mambo yalivyo siku hizi.

Yale mambo ya lurudiwa mechi hayapo tena au tuseme yameshapitwa na wakati,Kikwete ametangazwa na ameshaunda serikali na sasa wamo katika kutekeleza sera zao na mikakati ya miaka mia ijayo.

Makelele au malalamishi ya kusema Kikwete sio Raisi halali hayana mshiko kwani tuelewavyo tume ikishatangaza kwa maneno ya Uswahilini ndio tunasema imeshatoka.

Mtihani ambao sio mdogo, ni wa kuhakikisha kuwa Katiba na tume vinabadilishwa kwa haraka sana na kila anepinga mabadiliko hayo huyo atangazwe rasmi kuwa ni adui wa Taifa hili la Tanzania.

Hapa tulipo baada ya mayowe ya siku mbili tu ,tayari wapingaji wameshaanza kutapatapa na wanachomoza kila pembe kuleta madai ya kuwa ni gharama kubwa kubadilisha Katiba na tume yake ,wengine wakidai kwa sasa hakuna au suala hilo halina umuhimu.

Kwa kuanzia kauli hizi ndio za kuanza nazo na kuzipinga kwa hali na mikutano na maandamano ya hapa na pale .kuzipinga kauli zenye kukatisha tamaa kama hizi na sio ziachwe ziote mizizi ,musisubiri nikimaanisha vyama vya upinzani viwe vyenye kutoa kauli nzito kupinga maadui hawa,pale wasemapo tu basi wasipewe muda wakazua jingine ,maana vyama vya upinzani vimetoa kauli za kutraka mabadiliko ,serikali na wasemaji wa CCM nao hawakusubiri wakarusha baruti zao,sasa hizi baruti ni lazima zisambaratishwe kwa kauli za papo kwa papo.

Tunasema tunahakikisha tunaingia kwenye uchaguzi 2015 na Katiba mpya na tume mpya.
Nchi ipi unayozungumzia? Sie tunazungumzia habari za nchi yetu Tanganyika. Wewe na mmeo endeleeni kuijenga zenji. Tuachieni mstakabali wa Tanganyika yetu. You have no right to speak on Tanganyika affairs!
 
Nchi ipi unayozungumzia? Sie tunazungumzia habari za nchi yetu Tanganyika. Wewe na mmeo endeleeni kuijenga zenji. Tuachieni mstakabali wa Tanganyika yetu. You have no right to speak on Tanganyika affairs!

well done,
Tupo pamoja kuidai Tanganyika yetu,
 
nchi ipi unayozungumzia? Sie tunazungumzia habari za nchi yetu tanganyika. Wewe na mmeo endeleeni kuijenga zenji. Tuachieni mstakabali wa tanganyika yetu. You have no right to speak on tanganyika affairs!
mkuuu sasa kikwete ni raisi wa muungano au tanganyika?? Na je tanganyika raisi wake ni nani?? Mi huwa nachanganyikiwa na haya mambo, au sielewi tanganyika iko wapi masikini tanganyika yangu! Mbona mwiba anashabikia zanzibar yao mimi tanganyika uko wapi?? Kuna siku utarudi tanganyika au ndo uchakachuaji tuu!?
 
Nchi ipi unayozungumzia? Sie tunazungumzia habari za nchi yetu Tanganyika. Wewe na mmeo endeleeni kuijenga zenji. Tuachieni mstakabali wa Tanganyika yetu. You have no right to speak on Tanganyika affairs!
Yap! mkuu, hapa tuna-deal na Tanganyika tu, Zenji kivyao...:embarrassed:
 
mwiba ni fisadi la ccm

mwiba unazungumza usichokijua kimsingi naona unaropoka na kukurupuka tuuu-madai ya chadema na kila mzalendo -watu wenye fikra finyu na malengo binafsi ndio wana mawazo kama yako. Hutuwezi kumtetea mnyongaji na dictator eti kwa sababu mechi imeisha. Si vema unavyochukulia kirahisi eti mechi imeisha...sawa amefanya mapinduzi ya kijeshi na kubadili matokeo lakini kwa faida ya nani? Yaani ameshinda kwa nguvu ya dola kwa manufaa ya nani?? Ndio maana chadema anawakilisha umma kudai katiba na watanzania sio mabwege tena tunajua haki zetu
 
Ninaposema wacheni makelele basi msilete uswahiba kama baadhi yenu mnavyoonekana kana kwamba ni wapenzi wa dhati wa Chadema kumbe ni wale msioitakia mema.Wengi wa wakuu wa Chadema wameonekana kuelewa hali tuliyonayo na baadhi ya kauli zao za kuitaka serikali kushiriki katika baadhi ya mambo.

Nilitegemea Wabunge wa Chadema wangelikataa kuingia kwenye bunge hadi pale madai yao yatakapo sikilizwa hilo halikufanyika wala halikujaribiwa ,kwa maana hiyo uhalali wa wao kuwepo ndani ya bunge na kugombania kuwa chama pinzani ni kukubali na kuikubali serikali iliyopo madarakani.

Sasa kuwepo kwa wingi kwa wabunge wa upinzani na kushirikiana katika hoja za maana na zenye kuwezesha uwepo wa muamsho wa kudai katiba mpya na tume mpya ,hapo bungeni sio mahala muafaka lakini ndipo ambapo cheche za kudai mabadiliko zinapohitaji kuwashwa na baada ya hapo ni kuzifikisha kwa wananchi ili kutoa msisimko kwa wananchi na kuwaelewesha kwa kina umuhimu na faida za kuwepo katiba mpya.

Mabadiliko yakatiba ndio ngao ambayo itailinda Tanzania isizidi kuyoyoma katika mabonde ya umasikini,ni mwega ambao WaTanzania wategemea ili kuvuta pumzi na kutweta ili kujipanga kwa kuijenga Tanzania mpya.

Sasa ikiwa leo wengine watajiona ni wao tu basi mjue CCM itakuwa haina shida kubwa zaidi ya kutugonganisha vichwa.
 
mwiba unazungumza usichokijua kimsingi naona unaropoka na kukurupuka tuuu-madai ya chadema na kila mzalendo -watu wenye fikra finyu na malengo binafsi ndio wana mawazo kama yako. Hutuwezi kumtetea mnyongaji na dictator eti kwa sababu mechi imeisha. Si vema unavyochukulia kirahisi eti mechi imeisha...sawa amefanya mapinduzi ya kijeshi na kubadili matokeo lakini kwa faida ya nani? Yaani ameshinda kwa nguvu ya dola kwa manufaa ya nani?? Ndio maana chadema anawakilisha umma kudai katiba na watanzania sio mabwege tena tunajua haki zetu

Ni wapi Chadema imewakilisha umma ? Ni uma gani umeituma Chadema mbona ndugu unapotea kiasi hicho ? Madai ya Katiba usiyapeleke upande wa Chadema au CUF au kwenye Chama chochote kile ,kama tujuavyo hili jambo la katiba haliwahusu Chadema au CUF peke yao ,hili ni suala nyeti na linamhusu kila mzalendo wa Taifa hili la Tanzania ,sasa unapolichukua na kuliweka Chadema peke yake utakuwa unakosea kwani WaTanzania wote si Chadema ,upo ndugu mwananchi ?

Madai mazito kama haya yanahitaji umoja tenaa umoja wa kweli ulio na msimamo thabiti,usio tetereka wala kuwagawa wananchi kama ambavyo mnalivutia suala hili upande wenu ,kusema Chadema ndio wameanza hapo mtakuwa mnakosea sana sana na haifai kabisa kusema hivyo. Tuwe wamoja katika kupeleka maddai haya na kuwashawishi wananchi wayapokee bila ya kujali itikadi za kichama.
 
Ni wapi Chadema imewakilisha umma ? Ni uma gani umeituma Chadema mbona ndugu unapotea kiasi hicho ? Madai ya Katiba usiyapeleke upande wa Chadema au CUF au kwenye Chama chochote kile ,kama tujuavyo hili jambo la katiba haliwahusu Chadema au CUF peke yao ,hili ni suala nyeti na linamhusu kila mzalendo wa Taifa hili la Tanzania ,sasa unapolichukua na kuliweka Chadema peke yake utakuwa unakosea kwani WaTanzania wote si Chadema ,upo ndugu mwananchi ?

Madai mazito kama haya yanahitaji umoja tenaa umoja wa kweli ulio na msimamo thabiti,usio tetereka wala kuwagawa wananchi kama ambavyo mnalivutia suala hili upande wenu ,kusema Chadema ndio wameanza hapo mtakuwa mnakosea sana sana na haifai kabisa kusema hivyo. Tuwe wamoja katika kupeleka maddai haya na kuwashawishi wananchi wayapokee bila ya kujali itikadi za kichama.

mafisadi wa ccm kwa pumba bana hamuwezekaniki
 
Tukubalianeni kabisa kuwa uchaguzi umemalizika kwa salama,kama ni mechi ndio imekwisha na mshindi ameshatangazwa ,ikiwa ni rufaa basi wa kushitakiwa na kukabwa ni refa na sio mshindi ,ndivyo mambo yalivyo siku hizi.

Yale mambo ya lurudiwa mechi hayapo tena au tuseme yameshapitwa na wakati,Kikwete ametangazwa na ameshaunda serikali na sasa wamo katika kutekeleza sera zao na mikakati ya miaka mia ijayo.

Makelele au malalamishi ya kusema Kikwete sio Raisi halali hayana mshiko kwani tuelewavyo tume ikishatangaza kwa maneno ya Uswahilini ndio tunasema imeshatoka.

Mtihani ambao sio mdogo, ni wa kuhakikisha kuwa Katiba na tume vinabadilishwa kwa haraka sana na kila anepinga mabadiliko hayo huyo atangazwe rasmi kuwa ni adui wa Taifa hili la Tanzania.

Hapa tulipo baada ya mayowe ya siku mbili tu ,tayari wapingaji wameshaanza kutapatapa na wanachomoza kila pembe kuleta madai ya kuwa ni gharama kubwa kubadilisha Katiba na tume yake ,wengine wakidai kwa sasa hakuna au suala hilo halina umuhimu.

Kwa kuanzia kauli hizi ndio za kuanza nazo na kuzipinga kwa hali na mikutano na maandamano ya hapa na pale .kuzipinga kauli zenye kukatisha tamaa kama hizi na sio ziachwe ziote mizizi ,musisubiri nikimaanisha vyama vya upinzani viwe vyenye kutoa kauli nzito kupinga maadui hawa,pale wasemapo tu basi wasipewe muda wakazua jingine ,maana vyama vya upinzani vimetoa kauli za kutraka mabadiliko ,serikali na wasemaji wa CCM nao hawakusubiri wakarusha baruti zao,sasa hizi baruti ni lazima zisambaratishwe kwa kauli za papo kwa papo.

Tunasema tunahakikisha tunaingia kwenye uchaguzi 2015 na Katiba mpya na tume mpya.

Du stinkst wie ein Ziegenbock!
 
Tukubalianeni kabisa kuwa uchaguzi umemalizika kwa salama,kama ni mechi ndio imekwisha na mshindi ameshatangazwa ,ikiwa ni rufaa basi wa kushitakiwa na kukabwa ni refa na sio mshindi ,ndivyo mambo yalivyo siku hizi.

Yale mambo ya lurudiwa mechi hayapo tena au tuseme yameshapitwa na wakati,Kikwete ametangazwa na ameshaunda serikali na sasa wamo katika kutekeleza sera zao na mikakati ya miaka mia ijayo.

Makelele au malalamishi ya kusema Kikwete sio Raisi halali hayana mshiko kwani tuelewavyo tume ikishatangaza kwa maneno ya Uswahilini ndio tunasema imeshatoka.

Mtihani ambao sio mdogo, ni wa kuhakikisha kuwa Katiba na tume vinabadilishwa kwa haraka sana na kila anepinga mabadiliko hayo huyo atangazwe rasmi kuwa ni adui wa Taifa hili la Tanzania.

Hapa tulipo baada ya mayowe ya siku mbili tu ,tayari wapingaji wameshaanza kutapatapa na wanachomoza kila pembe kuleta madai ya kuwa ni gharama kubwa kubadilisha Katiba na tume yake ,wengine wakidai kwa sasa hakuna au suala hilo halina umuhimu.

Kwa kuanzia kauli hizi ndio za kuanza nazo na kuzipinga kwa hali na mikutano na maandamano ya hapa na pale .kuzipinga kauli zenye kukatisha tamaa kama hizi na sio ziachwe ziote mizizi ,musisubiri nikimaanisha vyama vya upinzani viwe vyenye kutoa kauli nzito kupinga maadui hawa,pale wasemapo tu basi wasipewe muda wakazua jingine ,maana vyama vya upinzani vimetoa kauli za kutraka mabadiliko ,serikali na wasemaji wa CCM nao hawakusubiri wakarusha baruti zao,sasa hizi baruti ni lazima zisambaratishwe kwa kauli za papo kwa papo.

Tunasema tunahakikisha tunaingia kwenye uchaguzi 2015 na Katiba mpya na tume mpya.

Acha unafiki, wewe huu si muda wa kuyasema hayo si tumeshawachoka na hizi dhuluma za CCM
.
 
Tanganyika ipi unayoizungumzia ??

Tanganyika ni nchi huru iliyopata uhuru wake tarehe 9/12/1961 kutoka kwa waingereza,nchi hii ipo Africa mashariki na kati.Tanganyika ilikuwepo,ipo na itaendelea kuwepo daima na milele,hakuna awezaye kufuta historia ya Tanganyika.CCM wamejalibu kufanya ujinga huo lakini wameshashindwa vibaya!!!
 
Tanganyika ni nchi huru iliyopata uhuru wake tarehe 9/12/1961 kutoka kwa waingereza,nchi hii ipo Africa mashariki na kati.Tanganyika ilikuwepo,ipo na itaendelea kuwepo daima na milele,hakuna awezaye kufuta historia ya Tanganyika.CCM wamejalibu kufanya ujinga huo lakini wameshashindwa vibaya!!!
Hakuna awezae kuifuta Tanganyika ? Sio ipo ilikuwepo !! Imesita kuwepo Historia haifutwi bali inabakia kama ilivyo Tanganyika imebaki kwenye historia ,yaani sasa mnachezea Muungano ???

Nyie Chadema vipi ? Au mmechanganyikiwa ? Yaani hamueleweki mala Katiba mala uchaguzi mra Tanganyika,haya tuwasikie kwenye majukwaa mkisema Tanganyika ni Nchi ,hapo ndio nitakubaliana.
 
Back
Top Bottom