engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Ndugu wana jf,
wabunge wa chadema wapo sahihi kususia hotuba ya mkuu wa muungano,kwani ukisoma katiba vizuri (Ibara ya 41 Ibara ndogo ya 7 ya katiba yetu inakataza matokeo ya urais kuchunguzwa baada ya kutangazwa na Nec…
sasa kama chadema wamefungwa midomo na katiba mlitegemea wabunge hao wazionyeshe vipi hisia zao?, kwa mkuu na wapiga kura kuwa hawakubaliani na kitendo cha nec kumtangaza yeye kuwa mkuu wa muungano?
Ndio maana wasomi wengi ukiachana na wale wa udom tunahitaji katiba hii ibadilishe,kwani rais anaweza kuingia madalakani kwa hila yeyote ile na kwa kuwa katiba inamlinda tutabaki kugugumia tu.
nawasilisha
mapinduziiiiiii daimaaaaa
wabunge wa chadema wapo sahihi kususia hotuba ya mkuu wa muungano,kwani ukisoma katiba vizuri (Ibara ya 41 Ibara ndogo ya 7 ya katiba yetu inakataza matokeo ya urais kuchunguzwa baada ya kutangazwa na Nec…
Ndio maana wasomi wengi ukiachana na wale wa udom tunahitaji katiba hii ibadilishe,kwani rais anaweza kuingia madalakani kwa hila yeyote ile na kwa kuwa katiba inamlinda tutabaki kugugumia tu.
nawasilisha
mapinduziiiiiii daimaaaaa