nzitunga
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 193
- 53
Pamoja na kuzunguka na chopa, mie nashauri pia kufungua ofisi kwa kuanzia kila kata hapa nchini, ofisi hii itatumika pia kuelemisha umma elimu ya uraia. Wote tunajua ushindi wa CCM unategemea ukosefu wa elimu ya uraia vijijini. Watu wanatishwa wasichague upinzani eti kutakuwa na vita, watu wanatishwa shule zote zitafungwa, nk, na chama cha siasa ambacho kinategemea ujinga kutawala hakina muda mrefu, kitaanguka tu.
Naunga mkono hoja.
Naunga mkono hoja.