Haya sasa, ndio michango ya kulipa deni la hela mlizokopa za kampeni ya Igunga. Hao wa vijijini mtawanunulia na TV pia?Ndugu wana JF
wote mnajua kuwa CDM inakubalika mijini zaidi kwa sababu zifuatazo
1.mjini kuna wasomi wengi ambao ni wepesi wa kuchambua mambo
2. upatikanaji wa Vyombo vya habari vingi
3.Kampeni nyingi huwa zinaishia mijini hasa kwa sababu ya ufinyu wa budget
Ili CDM iweze kuchukua dola 2015 in wazi kuwa ni lazima iweke mkakati wa kwenda vijijini kwa muda huu ili kiweze kuweka mizizi huko kama ilivyo kwa CCM. Kazi hii ni ngumu na inaitaji fedha nyingi.
Napendekeza uongozi wa CDM waanzishe mfuko maalumu ambao wanachama na watanzania wote wenye mapenzi mema na wanaopenda kulikomboa taifa hill 2015 wachangie ili kufanikisha CDM kuenea vijijini. Pia mfuko huo uwezeshe CDM kuanzisha TV na Radio yake ili kiweze kunadi sera zake zaidi. katika kurahisisha uchangiaji utaratibu wa M-Pesa, Tigo pesa nk, etc utakua mzuri sana kutumika.
nawasilisha
hahaha,Chapombe anazisubiri tuHuo mfuko msimkabidhi Mbowe kwasababu mtakuta hela zote zipo counter Bilicanas
Wakati watu wanaongea mambo ya msingi kuhusu ukombozi wewe unaongelea ushoga. hakika pesa za nape zitawapa ujauzito hata mkitumiwa kwa nyuma.Huo mfuko msimkabidhi Mbowe kwasababu mtakuta hela zote zipo counter Bilicanas