Acha hasira logic ni kuwa if lowasa was bad with ccm ndio alikuwa anachafua chama. Je alivyohama alihama na uchafu wake na kuupeleka cdm!? Na ccm ikawa safi. Je hivi vyama ni taasisi au ni watu mpaka an individual abebe chama. Tujifunze kujenga taasisi ambayo bila mtu itaendelea kuwepo.Hoja yako ni nini hapa? Huu uzi hauhitaji ushabiki, lengo letu ni kuirudisha cdm yetu ilivyokuwa na hata zaidi. Kwa hiyo tunajadili tumefikaje hapa na kipi kifanyike tutoke hapa. Bado una muda wa kutosha, hata baada ya idd una nafasi kwani huu uzi utaendelea kuwepo. Kama ccm inaendelea vizuri au vibaya sio sehemu ya mada hii.