zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
chadema- ni chama kinachotupeleka kwenye ukombozi wa ki fikra,kimatendo,kisiasa na kielimu pia.
CCM -imefanya mazuri mengi yaliowafikia wachache ndani ya 50YRS UHURU na kamwe hayakuweza kukidhi mahitaji ya WANANCHI waliopo TANZANIA,matokeo yake wameendelea kuwakumbatia wanaotuhujumu na kutuibia rasilimali zetu.
ONGEZA HAPO.......
CCM -imefanya mazuri mengi yaliowafikia wachache ndani ya 50YRS UHURU na kamwe hayakuweza kukidhi mahitaji ya WANANCHI waliopo TANZANIA,matokeo yake wameendelea kuwakumbatia wanaotuhujumu na kutuibia rasilimali zetu.
ONGEZA HAPO.......