silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
CHADEMA mpaka Sasa wanaongoza kwa Majimbo,, na sijui hayo yaliyo baki kwani CHADEMA ilisimamisha asilimia 45 tu ya majimbo yote Tanzania,, lakini ninaimani kuwa Watanzania now wamekubali mabadiliko na wameamua kuchange system ya ufisadi kuja kwa system ya Democrasia,
nikifuatilia kwaukaribu sana humchakato,, Kwanza Safari hii hakuna mchakachua utakao tokea mimi namini hivyo kwani kunamajimbo ambayo CCM wameanguka chaliii
Nimesikia Ubungo,, Kinondoni,, Mbeya mjini na Iringa sinauhakika please twendeni pamoja wanajamii Uraisi tunachukua?
Vunjo jamani Mrema amepeta,,
nikifuatilia kwaukaribu sana humchakato,, Kwanza Safari hii hakuna mchakachua utakao tokea mimi namini hivyo kwani kunamajimbo ambayo CCM wameanguka chaliii
Nimesikia Ubungo,, Kinondoni,, Mbeya mjini na Iringa sinauhakika please twendeni pamoja wanajamii Uraisi tunachukua?
Vunjo jamani Mrema amepeta,,