CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

Achana nae huyu anaweweseka!Alitaka taarifa ziwafikie vipi walengwa?
 
myopic and lack of credible critical mind, you are just among those who are taken by the wind, nothing on the ground for them to stand for Shardcole, you are dis-honouring the JF, cause JF it meant to have critical thinkers not short minded like you instead of presenting your opinion you bring your empty mind to an important discussions. Dont chew out the bites we need them for good minded people.
 
Utajua uwezo wa mtu wa kufikiri kwa maneno yake na vitendo vyake,
Unataka wazee wahudhurie mikutano ya CDM wazee wameshakata tamaa, kumbuka mageuzi yote duniani yameletwa na hao unaowaita wamekata tamaa

Mmeona kuwa hakuna kijana anayeikubali CCM isipokuwa nyie wachace mnaopewa nguo na CCM Tshirt, kofia na Kanga, ila mmeliona hili mkaanzisha mkoa wa elimu ya juu, mnafurahisha, manasema siasa vyuoni marufuku huku bado mnajipanga kuzifanya, Kwanini awepo Katibu wa mkoa wa vyuo vikuu? UVCCM imekufa au waliopo vyuoni sio Vijana-------KUSHNEY
 
Ule ulikuwa ni uigizaji na kila mmoja alipewa muda mchache aoneshe kipaji chake cha maigizo. Kwi kwi kwi teh teh teh.

CSS - Chadema Star Search!

Kipi zaidi ya maigizo kilichokuwepo pale, ipi ni hoja ya maana iliyo-ongelewa, sijaiona!

hongera wewe kanumba kwa kuliona hilo,maana waigizaji wanajuana
 
Mimi challenge kubwa ninayoiona kwa CDM ni njisi gani CDM inaweza kuwafanya hao vijana wakajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. I might be wrong lakini I believe 50% of them hawako kwenye daftari la wapiga kura.

kama CDM watafanikiwa kuwashawishi hao vijana at least 90% of them wakajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura and 80% of them wakaweza ku vote 2015, make no mistake CCM kitakuwa chama cha upinzani.

Sioni kabla ya 2015 kama kunaweza kutokea chama kingine chenye hamasa/mvuto kama CDM na Pia sioni kama CCM hii iliyochoka inaweza kukidhi matarajio ya hao vijana.

Infact upepo wa kisiasa unawa favour CDM kama vile Obana na McCain. Ni CDM wenyewe jinsi gani watacheza karatu zao hasa kuwafanya hao vijana 2015 waweze kupiga kura.
 
Waambie CUF au NCCM Mageuzi waitishe mkutano Jangwani, angalia mahudhurio then uje useme ni kuchoka kwa vijana au Chadema ina Nguvu.

Mwambie yeye na ccm yake waitishe mkutano hapo hapo alafu wasafirishe watu kwa magari na posho kama ambavyo huwa wamezoea kufanya alafu atupe jibu kama wamehudhuria idadi kama ya ilivyo kwa CHADEMA.
 
CCM watakosa usingizi kwa muda mrefu sana wakikumbuka picha ya jana pale jangwani...ni ngumu kwa wao kuelewa na kuamini nini kinaendelea lakini ukweli ndo huo kuwa CCM imepoteza ladha na mvuto
 
Profesa majimarefu waitishe kikao Magamba au Cuf tuone kama uwanja utajaa.
 
Umati uliojitokeza jana pale jangwani ulichangiwa na matangazo kupitia vyombo vya habari hilo halina ubishi na sidhani kama ule umati ulikuja kusikiliza sera mbadala
kunachama kinafanya promosheni zaidi ya CCM na kuita wasanii mbalimbali na kubeba watu, ifike mahala watu mtumie vichwa kufikilia na siyo makalio unaishusha hadhi Jamiiforums.
 
Mimi challenge kubwa ninayoiona kwa CDM ni njisi gani CDM inaweza kuwafanya hao vijana wakajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. I might be wrong lakini I believe 50% of them hawako kwenye daftari la wapiga kura.

kama CDM watafanikiwa kuwashawishi hao vijana at least 90% of them wakajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura and 80% of them wakaweza ku vote 2015, make no mistake CCM kitakuwa chama cha upinzani.

Sioni kabla ya 2015 kama kunaweza kutokea chama kingine chenye hamasa/mvuto kama CDM na Pia sioni kama CCM hii iliyochoka inaweza kukidhi matarajio ya hao vijana.

Infact upepo wa kisiasa unawa favour CDM kama vile Obana na McCain. Ni CDM wenyewe jinsi gani watacheza karatu zao hasa kuwafanya hao vijana 2015 waweze kupiga kura.

Fully agreed!
 
Mengi nimeyaona katika comments, ngoja nami niseme kidogo, kwanza sioni uhalisia wa heading na contents zako, nadhan 2015 vijana tutakapo jipanga foleni ndefu kwa ajili ya kupiga kura pia utasema vijana hatuka kazi ya kufanya ndio maana tunapoteza muda kwenye foleni
 
Sina haja ya kujiuliza kama hoja zina reflect title au lah ila napenda kukwambia kua raia waliochoshwa na uongoz mbovu wa magamba (vijana wakiwa wengi wao) ndio wanaounda Chadema. Chadema ni chama cha raia wasioridhishwa na uongozi mbovu(unaosababishwa na wizi,kulindana,kurithishana,kubebana hata kwa wasio na uwezo nk)wa CCM. Kuchoshwa kwetu na CCM ndio nguvu ya CDM.
U er right kua ni waliochoshwa lakin wrong kua ni vijana tu. Ukiangalia takwimu, esp last sensa utagundua katika watu eligible kupiga kura vijana ni wengi kuliko wazee so isikushangaze kuona vijana ni wengi kwe mkutano wa kisiasa.
M4C unstoppable.
 
Kuwa na mtazamo ni jambo la kawaida lakini ndugu yangu yawezekana umekurupuka maana kusema kufurika kwa watu jangwani si umaarufu wa cdm bali ni vijana kuchoka!

Hebu waambie wana jamvi ingekuwa vipi kama cck, nccr, tlp nk vingefanya mkutano pale mambo yangekuwa vile? Pia ukumbuke kauli mbiu ya 'nguvu ya umma' imekuwa moja ya chachu ya umaarufu wa cdm. Kwakifupi cdm kwa sasa ni maarufu na makundi mbali mbali ya jamii wanakikubali kwasababu kadhaa mnjawapo zikiwa:-
Misimamo ya wabunge wake ndani ya bunge ya kutetea wananchi.

Uongozi imara wa chama (mamluki wameshindwa kupenyeza rupia).

Utoaji wa elimu ya uraia kwa watanzania ni mojawapo wa mambo yanayo wafanya wapate heshima kwa jamii.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom