[h=4]Basic Information[/h]
Kampeni za ubunge na urais (Chadema) zikiendelea wilayani Ukerewe
Huu upigaji wa picha umejifunzia studio za gheto, yaani unampiga muongeaji tu bila kuonyesha anaongea na nani!? Kwa picha hii unataka kutuambia anaongea mwenyewe?
uyo jamaa acidanganye ukerewe chadema inakubalika kwani Jana tumefungua kampeni zetu rasimi natumefungulia muriti mkutano ulifana vibaya ataukifananisha na ufunguzi wao ccm walikosa watu kabisa isiookua wao walibeba watu kutoka kila kata na pia walianza kufarakana kutokana na waliobebwa toka asubuhi hadi jioni awakupewa chakula wakati waliaidiwa. Viva ukawa viva chadema
Kampeni za ubunge na urais (Chadema) zikiendelea wilayani Ukerewe
Kampeni za ubunge na urais (Chadema) zikiendelea wilayani Ukerewe
Ha ha ha aaah!!
Nina imani hata wewe wakati unaanda hii fix ulikuwa unacheka!!
Ha ha ha aaah!!