Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,407
- 31,391
Sehemu ya I
MABADILIKO YA MWENENDO WA SIASA ZA NCHI
CCM WATUA, CDM/UKAWA WABEBA. LOWASSA 'FACTOR'
Mchakato wa wagombea Urais ndani ya CCM umebadili mwenendo wa siasa nchini
Kukatwa kwa jina la EL ni chimbuko la mbadiliko yanayoonekana
CCM wakionekana kutua' mzigo' uliowalemea , UKAWA wakiubeba kwa shangwe
Maswali ya kujiuliza, je, kuna aliyeondoa wawekezaji au aliyekaribisha wawekezaji?
Nini hatma ya siasa za nchi baada ya Oktoba 2015?
Tutafakari hoja tukiweka mbele maendeleo ya kuondoka na ujio wa Lowassa
Mtu anayeaminiwa kuwa na nguvu si tu kule anakotoka bali alikofikia
CCM NA KUONDOKA KWA EL
Hali ya kisiasa inaonyesha chama kikongwe kuelemewa.
Kuna hoja katika jamii iwapo CCM kipewe muda au ipumzishwe kama KANU na UNIP
Viashiria vya kuchokwa kwa CCM ni vingi,havihitaji akili ya ziada.
Vipimo kama chaguzi/serikali/mitaa unaosimamiwa serikali ya CCM vinaeleza hali ya CCM
Wingu la ufujaji na ufisadi ni gumzo la nchi, kidole huonyooshewa CCM
Kwa kutambua hilo, CCM ikawa njia panda.
Kukumbatia wanaoichafua au kukabiliana na ukweli wa kuwadhibiti bila kujali athari zake
Vikao vikaandaliwa kiufundi kukamilisha azma ya kujinasibu, chama kinavua gamba.
Kinachoitwa magamba ni nguvu kubwa iliyoachiwa ikastawi na kuchanua.
CCM ikachagua bega, kuwatosa ili kijinusuru mbele ya uso wa wananchi
Mwathirika mkubwa wa hatua za CCM ni EL, mwenye nguvu ndani ya chama
CCM ilitambua, kumuondoa Lowassa ni jambo la mawa 'risk'
Njia sahihi ya kurudi kwa wananchi ili kuwekeza tena kwa athari ndogo; Low risk investments' ni kumuondoa
Inaendelea..
CDM/UKAWA wambeba EL
MABADILIKO YA MWENENDO WA SIASA ZA NCHI
CCM WATUA, CDM/UKAWA WABEBA. LOWASSA 'FACTOR'
Mchakato wa wagombea Urais ndani ya CCM umebadili mwenendo wa siasa nchini
Kukatwa kwa jina la EL ni chimbuko la mbadiliko yanayoonekana
CCM wakionekana kutua' mzigo' uliowalemea , UKAWA wakiubeba kwa shangwe
Maswali ya kujiuliza, je, kuna aliyeondoa wawekezaji au aliyekaribisha wawekezaji?
Nini hatma ya siasa za nchi baada ya Oktoba 2015?
Tutafakari hoja tukiweka mbele maendeleo ya kuondoka na ujio wa Lowassa
Mtu anayeaminiwa kuwa na nguvu si tu kule anakotoka bali alikofikia
CCM NA KUONDOKA KWA EL
Hali ya kisiasa inaonyesha chama kikongwe kuelemewa.
Kuna hoja katika jamii iwapo CCM kipewe muda au ipumzishwe kama KANU na UNIP
Viashiria vya kuchokwa kwa CCM ni vingi,havihitaji akili ya ziada.
Vipimo kama chaguzi/serikali/mitaa unaosimamiwa serikali ya CCM vinaeleza hali ya CCM
Wingu la ufujaji na ufisadi ni gumzo la nchi, kidole huonyooshewa CCM
Kwa kutambua hilo, CCM ikawa njia panda.
Kukumbatia wanaoichafua au kukabiliana na ukweli wa kuwadhibiti bila kujali athari zake
Vikao vikaandaliwa kiufundi kukamilisha azma ya kujinasibu, chama kinavua gamba.
Kinachoitwa magamba ni nguvu kubwa iliyoachiwa ikastawi na kuchanua.
CCM ikachagua bega, kuwatosa ili kijinusuru mbele ya uso wa wananchi
Mwathirika mkubwa wa hatua za CCM ni EL, mwenye nguvu ndani ya chama
CCM ilitambua, kumuondoa Lowassa ni jambo la mawa 'risk'
Njia sahihi ya kurudi kwa wananchi ili kuwekeza tena kwa athari ndogo; Low risk investments' ni kumuondoa
Inaendelea..
CDM/UKAWA wambeba EL