CHADEMA & UKAWA kwa sera hizi, mwaka 2020 lazima tumwangushe Magufuli

okonkwo jr

JF-Expert Member
Jun 14, 2015
2,419
1,737
Amani iwe nanyi wapendwa wangu katika Bwana,

Twende kwenye hoja moja kwa moja, nimekuwa nikitafakari kuhusu mustakabali na uelekeo wa UKAWA & CHADEMA kuhusu kubadili sera zao kutoka kwenye UTAIFA KWANZA hadi kwenye UBINAFSI.

Kwanini nasema hivyo? Hii inatokana na muungano huu kujikita kwenye kutetea maovu na kupinga maendeleo na juhudi zinazofanywa na mheshimiwa Rais mtukufu John Magufuli na nadhani na pengine huenda UKAWA na CHADEMA wameamua kubadili mlengo wa siasa zao pengine kutokana na ujio wa Lowassa ambaye kwake utaifa kwanza hauna maana.

Hivyo ni bora sera zao kwa mwaka 2020 ziwe
i/ Kutetea mafisadi
ii/ Kupinga kila hatua ya maendeleo inayofanywa nchini
iii/ Kutokushiriki shughuli zote za bunge(kususia) nk.

Pengine kwa kufanya hivyo wananchi tutawaelewa zaidi.
 
Amani iwe nanyi wapendwa wangu katika Bwana,

Twende kwenye hoja moja kwa moja, nimekuwa nikitafakari kuhusu mustakabali na uelekeo wa UKAWA & CHADEMA kuhusu kubadili sera zao kutoka kwenye UTAIFA KWANZA hadi kwenye UBINAFSI.

Kwanini nasema hivyo? Hii inatokana na muungano huu kujikita kwenye kutetea maovu na kupinga maendeleo na juhudi zinazofanywa na mheshimiwa Rais mtukufu John Magufuli na nadhani na pengine huenda UKAWA na CHADEMA wameamua kubadili mlengo wa siasa zao pengine kutokana na ujio wa Lowassa ambaye kwake utaifa kwanza hauna maana.

Hivyo ni bora sera zao kwa mwaka 2020 ziwe
i/ Kutetea mafisadi
ii/ Kupinga kila hatua ya maendeleo inayofanywa nchini
iii/ Kutokushiriki shughuli zote za bunge(kususia) nk.

Pengine kwa kufanya hivyo wananchi tutawaelewa zaidi.
Duh! Shule zetu hiziii!!!!!!
 
Amani iwe nanyi wapendwa wangu katika Bwana,

Twende kwenye hoja moja kwa moja, nimekuwa nikitafakari kuhusu mustakabali na uelekeo wa UKAWA & CHADEMA kuhusu kubadili sera zao kutoka kwenye UTAIFA KWANZA hadi kwenye UBINAFSI.

Kwanini nasema hivyo? Hii inatokana na muungano huu kujikita kwenye kutetea maovu na kupinga maendeleo na juhudi zinazofanywa na mheshimiwa Rais mtukufu John Magufuli na nadhani na pengine huenda UKAWA na CHADEMA wameamua kubadili mlengo wa siasa zao pengine kutokana na ujio wa Lowassa ambaye kwake utaifa kwanza hauna maana.

Hivyo ni bora sera zao kwa mwaka 2020 ziwe
i/ Kutetea mafisadi
ii/ Kupinga kila hatua ya maendeleo inayofanywa nchini
iii/ Kutokushiriki shughuli zote za bunge(kususia) nk.

Pengine kwa kufanya hivyo wananchi tutawaelewa zaidi.
Lishe bora ni muhimu kuanzia utoto hadi unapofikia Utu uzima.

Pia njaa humfanya mtu akose uwezo wa kufikiri Na kutoa mchango mzuri wa kimawazo kwa jamii.

Tatizo njaa(Hashim Rungwe)
 
Amani iwe nanyi wapendwa wangu katika Bwana,

Twende kwenye hoja moja kwa moja, nimekuwa nikitafakari kuhusu mustakabali na uelekeo wa UKAWA & CHADEMA kuhusu kubadili sera zao kutoka kwenye UTAIFA KWANZA hadi kwenye UBINAFSI.

Kwanini nasema hivyo? Hii inatokana na muungano huu kujikita kwenye kutetea maovu na kupinga maendeleo na juhudi zinazofanywa na mheshimiwa Rais mtukufu John Magufuli na nadhani na pengine huenda UKAWA na CHADEMA wameamua kubadili mlengo wa siasa zao pengine kutokana na ujio wa Lowassa ambaye kwake utaifa kwanza hauna maana.

Hivyo ni bora sera zao kwa mwaka 2020 ziwe
i/ Kutetea mafisadi
ii/ Kupinga kila hatua ya maendeleo inayofanywa nchini
iii/ Kutokushiriki shughuli zote za bunge(kususia) nk.

Pengine kwa kufanya hivyo wananchi tutawaelewa zaidi.
Heko mtoa mada kwa akili. Nadhani kila chadema/ukawa atazuka kusoma huu uzi
 
mnadhihirisha kufail,mnakubaliana wenyewe kwa wenyewe kwa utumbo wenu.
 
Serikali ya CCM haina maIT mpaka iwatoe Rwanda, had I wanachama mawazo ndio hayo
 
Amani iwe nanyi wapendwa wangu katika Bwana,

Twende kwenye hoja moja kwa moja, nimekuwa nikitafakari kuhusu mustakabali na uelekeo wa UKAWA & CHADEMA kuhusu kubadili sera zao kutoka kwenye UTAIFA KWANZA hadi kwenye UBINAFSI.

Kwanini nasema hivyo? Hii inatokana na muungano huu kujikita kwenye kutetea maovu na kupinga maendeleo na juhudi zinazofanywa na mheshimiwa Rais mtukufu John Magufuli na nadhani na pengine huenda UKAWA na CHADEMA wameamua kubadili mlengo wa siasa zao pengine kutokana na ujio wa Lowassa ambaye kwake utaifa kwanza hauna maana.

Hivyo ni bora sera zao kwa mwaka 2020 ziwe
i/ Kutetea mafisadi
ii/ Kupinga kila hatua ya maendeleo inayofanywa nchini
iii/ Kutokushiriki shughuli zote za bunge(kususia) nk.

Pengine kwa kufanya hivyo wananchi tutawaelewa zaidi.
Yaani kwa utumbo huu ndiyo unajiona umeleta thread kweli sisi Greathinkers tujadili huu ugoro wako labda matumbo thinkers wenzako???
Kakojoe ulale hata usidai malipo ya leo maana work done=0
Go to helld
 
Yaani kwa utumbo huu ndiyo unajiona umeleta thread kweli sisi Greathinkers tujadili huu ugoro wako labda matumbo thinkers wenzako???
Kakojoe ulale hata usidai malipo ya leo maana work done=0
Go to helld
Helld=hell,Punguza Jazba babu.
 
Amani iwe nanyi wapendwa wangu katika Bwana,

Twende kwenye hoja moja kwa moja, nimekuwa nikitafakari kuhusu mustakabali na uelekeo wa UKAWA & CHADEMA kuhusu kubadili sera zao kutoka kwenye UTAIFA KWANZA hadi kwenye UBINAFSI.

Kwanini nasema hivyo? Hii inatokana na muungano huu kujikita kwenye kutetea maovu na kupinga maendeleo na juhudi zinazofanywa na mheshimiwa Rais mtukufu John Magufuli na nadhani na pengine huenda UKAWA na CHADEMA wameamua kubadili mlengo wa siasa zao pengine kutokana na ujio wa Lowassa ambaye kwake utaifa kwanza hauna maana.

Hivyo ni bora sera zao kwa mwaka 2020 ziwe
i/ Kutetea mafisadi
ii/ Kupinga kila hatua ya maendeleo inayofanywa nchini
iii/ Kutokushiriki shughuli zote za bunge(kususia) nk.

Pengine kwa kufanya hivyo wananchi tutawaelewa zaidi.
Kwenye hii Karne, tukiwaza kijinga ujinga kama huu ulioandika Tanzania itaendeleaje?
 
Hii ni copy and paste .

Kweli Lumumba mnadandia mambo, yaani mdau mmoja kaja na thread ya kifasihi eti huyu nae kaja na matapishi yake hapa.
Lumumba zero brain.
 
Back
Top Bottom