Kama tulivyowaahidi, tutazungunga UK yote mpaka tuhakikishe kila mtanzania aishie UK anapata changamoto ya kujiunga na demokrasia ya ukweli na uhuru wa ukweli.
VUA GAMBA VAA GWANDA UGHAIBUNI.
Tutaingia LEICESTER 29/09/2012
we hujui kama DHAIFU anazunguka DUNIA nzima kuomba mishahara? Hujui M4C ni nini? WEE.....nihichokilicho kubana.mnasema serikali ombaomba nanyi mnafanya nini
wewe kwani huna habari kuwa CDM wanatembea na mikataba, hao wahindi wataambiwa wachague mkataba wanao utaka ili wachangie M4C.Chilisosi,
Sasa huko Leicester City. watanzania wengi ni wahindi sasa itakuaje.
Ni boss wake Molemo.Mkuu wangu majebere,
Hivi yule muhindi wa Chadema anaonekana kwenye vikao vya kamati kuu tu ni wa wapi?