Natoa ushauri kwa CHADEMA kuongeza kasi katika ofisi za kanda na matawi.
Kila tawi linajua idadi ya wanachama na mahali walipo, watumike kueneza na kuhimiza kujiandikisha na kujiandaa kupiga kura 2014 Serikali za mitaa.
Wanachama na wananchi wapo tayari kuchangia katika harakati za kukomboa nchi.
Kila tawi linajua idadi ya wanachama na mahali walipo, watumike kueneza na kuhimiza kujiandikisha na kujiandaa kupiga kura 2014 Serikali za mitaa.
Wanachama na wananchi wapo tayari kuchangia katika harakati za kukomboa nchi.