Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Pumbafff
Hahahaaaa........ Bwashee na nyie tutawakumbuka!
Hahahaaaa........ Bwashee na nyie tutawakumbuka!
We machale bwashee Mbowe ameshaitoa timu uwanjani anaenda Dubai kula bata we rudi kwenu ukapiganie bei ya korosho!Kwakuwa elimu yako ni ya kubangaiza utabakia kuosha masufuria
Wewe siyo bwashee........hao ni shemeji zako kwenu ntwara!Pumbafff
Taahira hilo mkuu achana naloIli chama kifutike lazima kiwe na uhaba wa rasilimali watu jambo ambalo sijui umepimaje kwa Chadema ambacho rasilimali watu siyo tatizo!
Kama unapima uimara wa Chadema kwenye chaguzi hizi za kihuni zinazoendeshwa kwa ukiukwaji mkubwa wa sheria na katiba ya nchi basi utakuwa una tatizo la ufahamu au mahaba na ushabiki ndio unakufanya ufikie hitisho kama hilo
Chaguzi ambazo mwananchi siyo mwenye maamuzi kwenye sanduku la kura utakujaje na hitimisho la kijinga kama hilo
RubbishUlitaka wapewe nafasi wafanye siasa zipi? wazunguke kutueleza kwamb tuliwanukuu vibaya Lowassa sio fisadi? watueleze kwamba hawakuwahi kutueleza wangeffua shirika la ndege la serikali? wazunguke watuelee kwamba awakuwahi utuahidi kutujengea reli ya kisasa ya kati? haya ni baadhi ya mambo ambayo yaliwafanya watanzaniawawe na imani nao, yote leo yanafanyika wanabedha na kudhihaki mtanzania gani aliye timamu atawaelewa? na wafe tu.
Kwisha habari yenu........kanyweni mbege sasa!Rubbish
Umeshapanic!Rubbish