Naomba kuwakumbusha Wana jukwaa MCHAKATO wa Katiba Mpya ni Ajenda ya CCM wakati wa awamu ya nne Chini ya Rais Mstafu Jakaya Mrisho Kikwete Chini ya utashi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kutufikisha katika hatua ya Katiba pendekezwa.
Lakini kwa Sasa linaonekana Jambo jimpya kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuifanya Ajenda hii Kama nguzo muhimu ya kumrudishia uhai wa Chama ambacho kimepoteza matumaini kwa Watanzania wanaotaka siasa za Maendeleo na si siasa za maneno na Matukio. Hivyo nitoe rai kwa vijana kutojiingiza katika maswala ya watu flani flani kwa maslahi yao na kufanya maslahi yaonekane ni takwa la Watanzania.
CHADEMA inapaswa kukumbuka kuwa maktaba ya Katiba Mpya hadi Sasa ipo na kwenye kabati lake Kuna Katiba PENDEKEZO. Hivyo wakati ukifika waliouanzisha wataumalizia.
CHADEMA nawakumbusha pia kurudisha uhai wa chama si kubeba kila Ajenda maana mmekuja na kila Ngoma mkademka nayo lakini mmegonga mwamba. Kaeni Chini mjiulize watanzania wanataka nini kwa Sasa. Si kingine siasa ya kuleta Maendeleo
Vijana msiingie katika huu mtego wa kukuza hizi Akaunti zao kwa manufaa yao kisiasa na si maslahi kwa watanzania usifollow wala kufungua hizo akaunti zao za KATIBA. MPYA TANZANIA MAANA NI USALITI KWA TAIFA
Lakini kwa Sasa linaonekana Jambo jimpya kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuifanya Ajenda hii Kama nguzo muhimu ya kumrudishia uhai wa Chama ambacho kimepoteza matumaini kwa Watanzania wanaotaka siasa za Maendeleo na si siasa za maneno na Matukio. Hivyo nitoe rai kwa vijana kutojiingiza katika maswala ya watu flani flani kwa maslahi yao na kufanya maslahi yaonekane ni takwa la Watanzania.
CHADEMA inapaswa kukumbuka kuwa maktaba ya Katiba Mpya hadi Sasa ipo na kwenye kabati lake Kuna Katiba PENDEKEZO. Hivyo wakati ukifika waliouanzisha wataumalizia.
CHADEMA nawakumbusha pia kurudisha uhai wa chama si kubeba kila Ajenda maana mmekuja na kila Ngoma mkademka nayo lakini mmegonga mwamba. Kaeni Chini mjiulize watanzania wanataka nini kwa Sasa. Si kingine siasa ya kuleta Maendeleo
Vijana msiingie katika huu mtego wa kukuza hizi Akaunti zao kwa manufaa yao kisiasa na si maslahi kwa watanzania usifollow wala kufungua hizo akaunti zao za KATIBA. MPYA TANZANIA MAANA NI USALITI KWA TAIFA