CHADEMA tusipowafukuza Mbowe na Mashinji tunaendelea Kufukuza Mikia yetu

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wakati CCM ikipunguza Madaraka Kwa Wananchama kwamba ukiwa Na Madaraka ya Ubunge hauruhusiwi kushika cheo chochote ndani ya CCM.

CHADEMA pia tunahitaji kubadili katiba Mbowe asiyesikia la Mhadhini swala wala la Mteka Maji msikitini amekua na Idea ambazo zimechoka Kwanini Wanachama tusifanye Mapinduzi Tumuweke Mtu kama Dr. Slaa mtu ambaye ana Msimamo Mzuri Mtu ambaye Si Muoga Mtu ambaye anaweza kukinzana na Mafisadi kama akina Lowassa na Sumaye.

Tunahitaji Overhaul ya system ya Chama chetu tunateendelea Kufukuza Mikia yetu na 2020 inakaribia tunahitaji Mawazo Mapya
 
Vipi kuhusu Mwenyekiti wake wa CCM mwenye kofia mbili ya uenyekiti na urais at the same time?

Jamaa kila uzi uko na ni Pumba kwa kwenda front...sema kama vipi endelea tu kupiga maji ya UFIPA...sio [HASHTAG]#Fly2Kia[/HASHTAG] tu mwenyewe ndio apige
 
Mbowe ni kiongozi anaewakosesha usingizi Ccm. Na Ccm wameshindwa kujizuia na wanazidi kuonyesha huo udhaifu kila kukicha.
Kila siku asubui lazima vijana wa Ccm walete nyuzi zinazomponda Mbowe na Chadema yake.
Hakika Mbowe ni kiongozi anayeitesa Ccm.
 
Wakati CCM ikipunguza Madaraka Kwa Wananchama kwamba ukiwa Na Madaraka ya Ubunge hauruhusiwi kushika cheo chochote ndani ya CCM.

CHADEMA pia tunahitaji kubadili katiba Mbowe asiyesikia la Mhadhini swala wala la Mteka Maji msikitini amekua na Idea ambazo zimechoka Kwanini Wanachama tusifanye Mapinduzi Tumuweke Mtu kama Dr. Slaa mtu ambaye ana Msimamo Mzuri Mtu ambaye Si Muoga Mtu ambaye anaweza kukinzana na Mafisadi kama akina Lowassa na Sumaye.

Tunahitaji Overhaul ya system ya Chama chetu tunateendelea Kufukuza Mikia yetu na 2020 inakaribia tunahitaji Mawazo Mapya

Hivi mambo ya cdm yanakuhusu nini we bwakubakwu....?
Ile mision yenu ya kutaka kumchafua Mbowe kwa kutengeneza voice note fake baada ya kuwabumia, mnatafuta kila hila ili Mbowe atetereke! Hapo mmegonga mwamba...
Na bado Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti!!
Maccm mmepanic sana...!
 
MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI HATA SIKU MOJA KUIAMINI CHADEMA YA MBOWE YA MWAKA 2015. AJABU HATA MAPROFESA WAKO HUMO KWENYE LISACCOS LA MATAPELI.

HUYU MBOWE ALIYEJIFANYA ANAUBIA NA NHC NA MAHAKAMA KUU IKAMKATALIA KUWA NI MTAPELI ANATAKA KUDHULUMU MALI YA UMMA ETI BADO ANAAMINIKA.

VILAZA HAWA NDO WALIOSIMAMA KUTUAMINISHA HAO AMBAO LEO NDO VIONGOZI WAO WANAOWATEGEMEA KUGOMBEA URAIS KUWA MAFISADI ETI GHAFLA WAMEKUWA WATETEZI WA HAO MAFISADI NA BADO MNATAKA TUWAAMINI? NONSENSE...

NARUDIA KUSEMA KUWA KWA MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUIUNGA MKONO CHADEMA. HUYO NI WA KUPUUZWA HATA KAMA ANA PHD.

NA WENGI WENU SI RIDHIKI NDO MAANA MMEJIFICHA SACCOS YA CHADEMA. RIJALI HUWEZI KUWA CHADEMA.
 
Kila kukicha mnapinga mambo ya msingi ya taifa letu pambafuuu kabisa eti chadema chadema so what?
 
Chasing the tail!!
Si vema kubwaka kama kitu hakikuhusu.
Nashangaa watu walikuwa WANABWAKA kwenye uteuzi wa Anna Nghwira kuwa RC wakati ACT haiwahusu.

 
Pamoja na kwamba kuna haja ya Chadema kutekeleza demokrasia kwa vitendo na kukubali kuachiana nafasi za uongozi walau kila baada ya miaka kumi, ila siungi kabisa mkono mtu kama Slaa kurejea Chadema.

Dr.Slaa aliishaondoka pamoja na jitihada za kumsii asiondoke lkn bado aliamua kutii matakwa ya waliyomtuma hali inayoonyesha ni kiasi gani hakufaa kushika mamlaka ya juu iwe ktk chama au nchi.

Uchaguzi ujao wa Chadema, nafiri unakuwa 2019, itafaa zaidi kama uongozi wa sasa utawapisha kada nyingine ya uongozi Kama akina Tundu Lisu, John Mnyika, Peter Msigwa, Godbless Lema, David Kafulila, Hezekia Wenje, Laurence Masha, Halima Mdee, Esther Bulaya Nk ili waje na changamoto mpya kwani hao ndiyo wanaweza ku-absorb pressure ya utawala huu uliopo ambao as the days go by is becoming increasingly authoritarian.

Akina, Mbowe, Lowassa, Sumaye, Baregu, Safari, Mashinji Nk, wakae ktk New Advisory Board to be established.
 
MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI HATA SIKU MOJA KUIAMINI CHADEMA YA MBOWE YA MWAKA 2015. AJABU HATA MAPROFESA WAKO HUMO KWENYE LISACCOS LA MATAPELI.

HUYU MBOWE ALIYEJIFANYA ANAUBIA NA NHC NA MAHAKAMA KUU IKAMKATALIA KUWA NI MTAPELI ANATAKA KUDHULUMU MALI YA UMMA ETI BADO ANAAMINIKA.

VILAZA HAWA NDO WALIOSIMAMA KUTUAMINISHA HAO AMBAO LEO NDO VIONGOZI WAO WANAOWATEGEMEA KUGOMBEA URAIS KUWA MAFISADI ETI GHAFLA WAMEKUWA WATETEZI WA HAO MAFISADI NA BADO MNATAKA TUWAAMINI? NONSENSE...

NARUDIA KUSEMA KUWA KWA MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUIUNGA MKONO CHADEMA. HUYO NI WA KUPUUZWA HATA KAMA ANA PHD.

NA WENGI WENU SI RIDHIKI NDO MAANA MMEJIFICHA SACCOS YA CHADEMA. RIJALI HUWEZI KUWA CHADEMA.
Rijali hawezi kubana pua kama wewe
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wakati CCM ikipunguza Madaraka Kwa Wananchama kwamba ukiwa Na Madaraka ya Ubunge hauruhusiwi kushika cheo chochote ndani ya CCM.

CHADEMA pia tunahitaji kubadili katiba Mbowe asiyesikia la Mhadhini swala wala la Mteka Maji msikitini amekua na Idea ambazo zimechoka Kwanini Wanachama tusifanye Mapinduzi Tumuweke Mtu kama Dr. Slaa mtu ambaye ana Msimamo Mzuri Mtu ambaye Si Muoga Mtu ambaye anaweza kukinzana na Mafisadi kama akina Lowassa na Sumaye.

Tunahitaji Overhaul ya system ya Chama chetu tunateendelea Kufukuza Mikia yetu na 2020 inakaribia tunahitaji Mawazo Mapya

o_Oo_Oo_Oo_O
 
Ccm Hii Ya Ng'ombe Waliokatika Mikia Machungani Imejishindwa Leo Ushauri Uipe CDM
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kila kukicha mnapinga mambo ya msingi ya taifa letu pambafuuu kabisa eti chadema chadema so what?
Ukitaka vya mtelemko nenda sayari ya mars. Huko hautakutana na binadamu wa kukubughudhi au kukuambia usiyotaka kusikia. Umesikia wewe kijana wa Lumumba club?
 
Wakati CCM ikipunguza Madaraka Kwa Wananchama kwamba ukiwa Na Madaraka ya Ubunge hauruhusiwi kushika cheo chochote ndani ya CCM.

CHADEMA pia tunahitaji kubadili katiba Mbowe asiyesikia la Mhadhini swala wala la Mteka Maji msikitini amekua na Idea ambazo zimechoka Kwanini Wanachama tusifanye Mapinduzi Tumuweke Mtu kama Dr. Slaa mtu ambaye ana Msimamo Mzuri Mtu ambaye Si Muoga Mtu ambaye anaweza kukinzana na Mafisadi kama akina Lowassa na Sumaye.

Tunahitaji Overhaul ya system ya Chama chetu tunateendelea Kufukuza Mikia yetu na 2020 inakaribia tunahitaji Mawazo Mapya


Kutwa kucha uko nyumba ya jirani kutafuta umbea.Ya kwenu yanawashinda.Kama mnaubavu mwambieni Mwenyekiti wenu amuondoe Gambo na Makonda kwa kukosa Maadili.Huyo mwingine amegoma kulipa fine Mahakama kuu.Huyu mwingine naye hana vyeti.

Kama nyie kweli Chama kubwa fungueni mdomo tusikie.Mko busy na Mbowe. Na huwezi kulala bila kumtaja Chadema au Mbowe utakuja kabla ya Siku zako.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huu upuuzi hautawasaidia ccm kurudisha imani ya wananchi hasa wasomi!
Komaei na wajinga ila kwa wasomi mmedunda
 
Toka lini wewe msukule wa Lumumba ukawa cdm. Halafu si ndio nyie ccm 2020 mmeshampitisha Pombe tayari kuwa mgombea wenu. Katiba ccm imenajisiwa.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom