Alexandry Nemesi
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,494
- 568
Wakuu ,
Kuelekea Chaguzi ndogo Tarehe 26/11/2017,Mengi yanajiri ikiwa ni Mkakati wa CCM Kuaminisha umma kuwa inakubabalika .Mkakati huo unatekelezwa kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea katika siasa za Tanzania.
Tumeshuhudia wengi wakijiunga na CCM wakati huu,Kimsingi nikuwa malengo ni Uchaguzi wa Jumapili na ule wa Maji
mbo ya Longido na Singida Kaskazini ambao utatangazwa muda mfupi ujao kuanzia sasa.
Ndani ya saa 48 Kuanzia sasa Madiwani wapatao 12 ,Watahamia CCM pamoja na baadhi ya Viongoz
i.
Hivyo hatupaswi kutoka katika malengo yetu kwa aina hii ya Wanasiasa Maslahi wanaotumia haki yao ya Kikatiba.Tarehe 26/11/2017 Yunapaswa kuwnyamazisha kwa kuwezesha ushindi kwa Chama chetu.Tusikubali kucheza ngoma yao tuwatakie kila la heri wahusika huko waendako kisiasa.
Kuelekea Chaguzi ndogo Tarehe 26/11/2017,Mengi yanajiri ikiwa ni Mkakati wa CCM Kuaminisha umma kuwa inakubabalika .Mkakati huo unatekelezwa kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea katika siasa za Tanzania.
Tumeshuhudia wengi wakijiunga na CCM wakati huu,Kimsingi nikuwa malengo ni Uchaguzi wa Jumapili na ule wa Maji
mbo ya Longido na Singida Kaskazini ambao utatangazwa muda mfupi ujao kuanzia sasa.
Ndani ya saa 48 Kuanzia sasa Madiwani wapatao 12 ,Watahamia CCM pamoja na baadhi ya Viongoz
i.
Hivyo hatupaswi kutoka katika malengo yetu kwa aina hii ya Wanasiasa Maslahi wanaotumia haki yao ya Kikatiba.Tarehe 26/11/2017 Yunapaswa kuwnyamazisha kwa kuwezesha ushindi kwa Chama chetu.Tusikubali kucheza ngoma yao tuwatakie kila la heri wahusika huko waendako kisiasa.