Huu ndio wakati muafaka kabisa wa CHADEMA kuwaupdate Watanzania hali ya Tundu Lisu huko Nairobi lkn kubwa zaidi kutuambia sisi wachangiaji wa matibabu kiasi gani kilichopatikana, kilichotumika, kisichotumika na makadirio ya gharama hadi apone kabisa..
Kama tunachanga ili kuprint t-shirt tujue, kama tunachanga ili kuwahudumia mafisi waliojazana Nairobi kwa mwamvuli wa huruma tujue, kama tunachanga kwa ajiri ya kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 tujue, n.k
Kumpiga picha na kusisitiza hali yake ni mbaya sana ili michango izidi kuende sambamba na kutoa taarifa ya mapato na matumizi, management yake, n.k
HAPA NDIO PA KUONYESHA UWAZI NA UTAWALA BORA KABLA YA KWENDA MAGOGONI, SISI WAPIGA KURA TUNAWAPIMA KWA MAMBO MADOGO TU AMBAYO NYIE HAMUWEZI KUYAWAZA
Kama tunachanga ili kuprint t-shirt tujue, kama tunachanga ili kuwahudumia mafisi waliojazana Nairobi kwa mwamvuli wa huruma tujue, kama tunachanga kwa ajiri ya kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 tujue, n.k
Kumpiga picha na kusisitiza hali yake ni mbaya sana ili michango izidi kuende sambamba na kutoa taarifa ya mapato na matumizi, management yake, n.k
HAPA NDIO PA KUONYESHA UWAZI NA UTAWALA BORA KABLA YA KWENDA MAGOGONI, SISI WAPIGA KURA TUNAWAPIMA KWA MAMBO MADOGO TU AMBAYO NYIE HAMUWEZI KUYAWAZA